BICHWA KOMWE -
JF-Expert Member
- Jul 21, 2022
- 6,373
- 16,073
Hamna kitu, hii inawezekana ni mbinu ya serekale ya kuwatisha watu, kuchochea chuki na kuleta confusion miongoni mwa watu.Shida kama alikuwa anavunja ndoa za watu. Anyway, polisi watatupa mwelekeo
TzshaderoomPage ya nani?
LGBTQ naona mpo kazini na Sisi tumesema mwaka huu lazima kielewekeHilo lishangazi lipuuze lina makasiriko sana, halijawahi kuolewa wala kuzaa kila siku linacheza amapiano kwenye harusi za wenzie,
Mashavu yamechuma kunde basi akikasirika mikunyanzi ya uso inatokeza linatia huruma, lipuuze tu
Wewe unawaza urithi tu!Sasa msagaji anajenga ili nyumba zilithiwe na nani?
Mimi nliacha Page 27 kurudi nakuta 17 hahahaaa
Geita imeshachukuwa nafasi iliyokuwa inashiliwa Tarime , matukio ya mauaji na ukatiliBora wee umesemaa, kuna habari imepostiwa sio mda Fb kwa Fahari media,
Mlinzi wa eneo ktk frem 7 ameuawa na frem zimevunjwa watu wameibaa Mali.
Huko Geita, matukio ni kawaida.
Mkuu we ndo unashida tuliokuwa na huu Uzi tangia asubuhi ndo tunaelewa,Unahisi? Au ndivyo walivyosema? Majitu mengine huwa hamjui kujieleza! Wewe unaona kabisa habari inasema mfanyakazi wa GGM wewe unasema unahisi?
Agent kauwawa so wanaomsema vibaya wote comments zao zimefutiliwa mbali
Nalijua vema wala silisingizii, linaishi Mwanza[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Nimecheka sana.
Yaani anasikitisha sana, amejaa makasiriko makali, kila mahali anatema chuki na huzuni.
Huyu ni kweli anaonekana ana matatizo binafsi kama unavyosema.
Duh ! Hapa kuna syndicate imefanya huo umafia ,huyu bidada alijichanganya kwa wahuni wa hapo Geita ,aliingia cha kiumeNi yeye ameuwawa kweli ila chanzo hakijulikani wamemuuwa kwenye boma lake allokuwa anajenga jana usiku sasa kugundulika mafundi wamegundua asubuhi walivyofika maana unaambiwa jana jioni alienda kuwalipa mafundi na alikuwa amevaa zake dera na ndio hata picha akiuwawa zipo hivyo hivyo na pia ametokq juzi kati kujifungua katoto alikuwa na mimba kubwa tu japo wengine wanadai alikuwa hajajifungua ila mimi nimeambiwa kajifungua mtoto njiti wa miezi 7 na mtoto alikuwa yupo mwanza na yeye huku geita ndio kwao ila sasa yeye Ana mji mwanza hivyo na jana ndio alikuwa ameanza off kwa ajili ya kurudi mwanza ....na pia mafundi wakamwambia boss tupe lift turudi wote town akasema aah nyie tangulieni tu kuna mtu namsubiri ...sasa huyo aliekuwa anasubiriwa ndio hatujui na nasikia kachunwa hadi ngozi usoni japo picha ni amelala kifudifudi
ni machukizo makubwa sana, MUNGU azidi kuilinda jamii yetu kwa ujumla.
kuna watu wadai eti ni haki inashangaza kwa kweli
Hilo tukio la mauaji ni unyama na uhalifu, hakuna adhabu ya Mungu hapo.Hakuna cha haki hiyo ndo haki alokuwa akiitafuta ameipata.
Mungu kaumba mwanaume na mwanamke afu mwanamke anajifanya mwanaume lazima aonje adhabu ya Mungu.
Kama ndiyo huyo milembe, wadau wanakuambia alikuwa ni mtu wa vurugu akiwa sehemu za matumiz
Kuvimba,ndiyo hiyo unaweza kuta kachukua manzi ya mtu na kebehi juu
Anawatolea [emoji1]
Mfano tu,ukiangalia hyo clip aliyokuwa
Akimvisha dem wake Pete,anasikika akitukana akiwambia zimeni mziki
Anyway pole yake,hii dunia ni uwanja wa fujo
Ova
Hivi unajua masaibu ya kusaga wake za watu? Huo ndio mshahara alikuwa anautafuta! Yaani usage wake zetu wafike home hata hawana hamu za sisi tukuache hivi hivi? Wahuni wa Geita wamefanya yao!Machukizo ni nini au mnajitungia tu maneno?
Machukizo [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wewe ushindwe kula ugali unawaza machukizo ya watu kusagana?
Ukichaa tu, hakuna lolote.
Kumuua mtu Kwa kosa lolote sio haki, lbda kama utakuwa unajiteteaHastahili kuuwawa wala kukatwa mkono. Waliohusika wachukuliwe hatua
Eti hakuna sheria kama hujui ulizaHamna kitu, hii inawezekana ni mbinu ya serekale ya kuwatisha watu, kuchochea chuki na kuleta confusion miongoni mwa watu.
Hizi ndio mbinu zao siku zote, na kwa sababu pia hakuna SHERIA inayozuia usagaji nchini, kwahiyo wameamua kupita mlango wa nyuma ili kuchochea habari za ushoga na kuleta taharuki.
Majizi yanapeta tu, huku watu wasio na hatia wanaangamizwa na kutumiwa kama chaka la kuficha maovu ya majizi.
Pale mwaka 2014 department ya Mining tukiwa field kuna2019 tu tulikuwa na wakina paul kabogi mwamba fulan hivi Bonge la mtu yani sema yupo poa sana jamaa katembea nchi zote za G20
jina KemilembeAliwahi kushikiliwa na Jeshi la Polisi huyu kwa hizi tabia zake hadi kufikishwa Mahakamani
View attachment 2600568