TANZIA Afisa Ugavi wa mgodi wa Geita, Milembe Suleiman auawa na viganja vyake kukatwa

TANZIA Afisa Ugavi wa mgodi wa Geita, Milembe Suleiman auawa na viganja vyake kukatwa

Shida kama alikuwa anavunja ndoa za watu. Anyway, polisi watatupa mwelekeo
Hamna kitu, hii inawezekana ni mbinu ya serekale ya kuwatisha watu, kuchochea chuki na kuleta confusion miongoni mwa watu.

Hizi ndio mbinu zao siku zote, na kwa sababu pia hakuna SHERIA inayozuia usagaji nchini, kwahiyo wameamua kupita mlango wa nyuma ili kuchochea habari za ushoga na kuleta taharuki.

Majizi yanapeta tu, huku watu wasio na hatia wanaangamizwa na kutumiwa kama chaka la kuficha maovu ya majizi.
 
Bora wee umesemaa, kuna habari imepostiwa sio mda Fb kwa Fahari media,

Mlinzi wa eneo ktk frem 7 ameuawa na frem zimevunjwa watu wameibaa Mali.

Huko Geita, matukio ni kawaida.
Geita imeshachukuwa nafasi iliyokuwa inashiliwa Tarime , matukio ya mauaji na ukatili
 
Unahisi? Au ndivyo walivyosema? Majitu mengine huwa hamjui kujieleza! Wewe unaona kabisa habari inasema mfanyakazi wa GGM wewe unasema unahisi?
Mkuu we ndo unashida tuliokuwa na huu Uzi tangia asubuhi ndo tunaelewa,
Kipindi unaletwa ulikuwa kama tetesi ukapitia ups and downs nyingi Sana nahisi ungeachwa vilevile now ungekuwa na page buku
 
Ni yeye ameuwawa kweli ila chanzo hakijulikani wamemuuwa kwenye boma lake allokuwa anajenga jana usiku sasa kugundulika mafundi wamegundua asubuhi walivyofika maana unaambiwa jana jioni alienda kuwalipa mafundi na alikuwa amevaa zake dera na ndio hata picha akiuwawa zipo hivyo hivyo na pia ametokq juzi kati kujifungua katoto alikuwa na mimba kubwa tu japo wengine wanadai alikuwa hajajifungua ila mimi nimeambiwa kajifungua mtoto njiti wa miezi 7 na mtoto alikuwa yupo mwanza na yeye huku geita ndio kwao ila sasa yeye Ana mji mwanza hivyo na jana ndio alikuwa ameanza off kwa ajili ya kurudi mwanza ....na pia mafundi wakamwambia boss tupe lift turudi wote town akasema aah nyie tangulieni tu kuna mtu namsubiri ...sasa huyo aliekuwa anasubiriwa ndio hatujui na nasikia kachunwa hadi ngozi usoni japo picha ni amelala kifudifudi
Duh ! Hapa kuna syndicate imefanya huo umafia ,huyu bidada alijichanganya kwa wahuni wa hapo Geita ,aliingia cha kiume
 
ni machukizo makubwa sana, MUNGU azidi kuilinda jamii yetu kwa ujumla.
kuna watu wadai eti ni haki inashangaza kwa kweli
Hakuna cha haki hiyo ndo haki alokuwa akiitafuta ameipata.
Mungu kaumba mwanaume na mwanamke afu mwanamke anajifanya mwanaume lazima aonje adhabu ya Mungu.
Hilo tukio la mauaji ni unyama na uhalifu, hakuna adhabu ya Mungu hapo.

Unapinga dhambi ya usagaji huku unashangilia dhambi ya mauaji, huo ni unafiki.
 
Na ulimbukeni ni tatizo sana ,utakuta bidada kakulia maisha ya kifukara sana sasa kupata vichenji ndio kuamua kuvunga mbabe na tabia za ovyo ovyo ,anastahili alichopata ,tena sehemu yenyewe Geita ,lazima wamnyooshe
Kama ndiyo huyo milembe, wadau wanakuambia alikuwa ni mtu wa vurugu akiwa sehemu za matumiz
Kuvimba,ndiyo hiyo unaweza kuta kachukua manzi ya mtu na kebehi juu
Anawatolea [emoji1]
Mfano tu,ukiangalia hyo clip aliyokuwa
Akimvisha dem wake Pete,anasikika akitukana akiwambia zimeni mziki
Anyway pole yake,hii dunia ni uwanja wa fujo

Ova
 
Machukizo ni nini au mnajitungia tu maneno?

Machukizo [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Wewe ushindwe kula ugali unawaza machukizo ya watu kusagana?

Ukichaa tu, hakuna lolote.
Hivi unajua masaibu ya kusaga wake za watu? Huo ndio mshahara alikuwa anautafuta! Yaani usage wake zetu wafike home hata hawana hamu za sisi tukuache hivi hivi? Wahuni wa Geita wamefanya yao!
 
Hamna kitu, hii inawezekana ni mbinu ya serekale ya kuwatisha watu, kuchochea chuki na kuleta confusion miongoni mwa watu.

Hizi ndio mbinu zao siku zote, na kwa sababu pia hakuna SHERIA inayozuia usagaji nchini, kwahiyo wameamua kupita mlango wa nyuma ili kuchochea habari za ushoga na kuleta taharuki.

Majizi yanapeta tu, huku watu wasio na hatia wanaangamizwa na kutumiwa kama chaka la kuficha maovu ya majizi.
Eti hakuna sheria kama hujui uliza

USSR
 
2019 tu tulikuwa na wakina paul kabogi mwamba fulan hivi Bonge la mtu yani sema yupo poa sana jamaa katembea nchi zote za G20
Pale mwaka 2014 department ya Mining tukiwa field kuna
Mwana aliitwa Paul Nesphol mchaga mmoja akiwa Superintendent sijui bado yuko? Miaka hiyo tuliamini maisha/kupata kazi migodini ni vyepesi kumbe ni kunyume chake.

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom