Ni kweli nimewasiliana na watu wa ggm ameuwawa vibaya sana...
RIP hakuwah kuwa member humu kweli?Afisa ugavi wa mgodi wa Geita amekutwa akiwa ameuawa na viganja vya mikono yake vikiwa vimekatwa.
Mwaka 2017 zilitrend sana video zake akimvisha Pete ya uchumba msichana mwenzake huku wakinyonyana ndimi.
Dada huyu maarufu mkoani Geita na Kanda ya Ziwa kwa ujumla kifo chake kimeacha gumzo.
Tuta update uzi baada ya taarifa rasmi ya kutoka kwa msemaji wa jeshi la Polosi Geita
Huyo mtoto hupandikiza au hukutana na wanaume?Wameachana na bonge ?alimvisha hadi pete na insta walikuwa wanajirusha sana,sasa hivi yupo na nani?na alikuwa anataka kuzaa mtoto Milembe ukisikia kajifungua usishangae maana ana mtoto mmoja tu
Ana mtoto mkubwa mtu pia alikuwa anataka kuongeza mwingine kwa njia ya kawaida tu sasa wamemuua 🙆🏼♂️Hata kama hakustahili kuuawaHuyo mtoto hupandikiza au hukutana na wanaume?
Sio yule kemilembeSijajua ila nilikuwa tulikuwa tunafanya Field huko GGM kipind fulan kuna demu alikuwa msagaji alikuwa Ana hela chafu nakumbuka aliniibia na demu wangu ndyo michezo yake ile kama amekufa nitafurah sana
Pia Una hojaa mkuu,Inawezekana ni sababu nyingine kabisa iliyofanya wakamuua. Au mambo ya uganya wa kienyeji pengine. Waganga walivyo washenzi wanaweza kumwambia mteja nenda kalete viganjwa vya mtu mwenye haiba fulani.
Insta handle yake ipiPia Ana mabeef sana Milembe au kwa sababu huwa anagombaniwa pia anapenda kutukanana [emoji23][emoji23][emoji23] insta alikuwa anatukana sana
Insta handle yake ipi
Wameua asee.Kama kuua duh hiyo siyo sawa
Ova