TANZIA Afisa Ugavi wa mgodi wa Geita, Milembe Suleiman auawa na viganja vyake kukatwa

Ni kweli nimewasiliana na watu wa ggm ameuwawa vibaya sana...

Kisa nini wamemuuaa?
 
[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]

Hata km alikua anatoka na wake za watu, hao waume zao ilibidi wajitafakari na wakae na wake zao ili watatue suala mahusiano yao kwa huyo muhusika.

Hao wanawake km ni wasaliti watachepuka tyuuh kwa watu wengine.

RIP Milembe. [emoji24][emoji24][emoji24]
 
RIP hakuwah kuwa member humu kweli?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…