TANZIA Afisa Ugavi wa mgodi wa Geita, Milembe Suleiman auawa na viganja vyake kukatwa

TANZIA Afisa Ugavi wa mgodi wa Geita, Milembe Suleiman auawa na viganja vyake kukatwa

Mwanamke anayelaghaiwa mpaka anasagwa ana tofauti gani na msagaji?
Kuna wengine wanadanganywa na fedha na kujikuta wameingia kwenye mtego. Trust me. Yaani unakuta mwanamke siyo msagaji, ana watoto na ni mke wa mtu lakini anasomeshwa kwa kishawishi mpaka anaingia kingi. Mwanamke kusagwa siyo lazima na yeye awe msagaji. Ni kama vile unavyokuta mwanaume anavyoweza kudanganyika mpaka akaingia kwenye ushoga. Na wakati mwingine kuna hivi vitoto vya kike, ndiyo vimevunjwa ungo, vile navyo ni rahisi sana kulaghaiwa na wanawake wasagaji.
 
Watalamu wamekosa dawa,kilichobaki ni sisi watalamu wa mtaa kuwa uwa kimya kimya,yes kazi imeanza tutawaua sana qumamake
Hawajakosa dawa ila wanaona ugonjwa wenyewe sio hatarishi!
Kuna kesi moja hapa jirani bwana ana basha wake anamzibua mtaro!; mkewe anamsaga mwanamke mwenzie hadi mtaani imekuwa [emoji56][emoji56][emoji15]
 
Hawajakosa dawa ila wanaona ugonjwa wenyewe sio hatarishi!
Kuna kesi moja hapa jirani bwana ana basha wake anamzibua mtaro!; mkewe anamsaga mwanamke mwenzie hadi mtaani imekuwa [emoji56][emoji56][emoji15]
Usagaji ni kitendo gani?
 
Kafanana mmoja yuko dar,anatumiaga gari alphard nyeusi
Anamsaga dem mmoja mkali anafanya kazi kwenye kampuni moja ya sim
Mapigo yake ymefanana

Ova
Aisee , kuna mhuni mmoja nimekaa naye kitaa majirani alikuwa Mwanza kwenye kampuni flani akahamia GGM na yupo hapo mpaka sasa kama staff , ngoja nitamcheki nimpeleleze kuhusu hili tukio
 
Mi pia nahisi hivyo sidhani kama ni mambo ya usagaji itakuwa wamepiga dili wakadhulumiana labda wakawa wanajibishana shit wakaona isiwe shida na kama unavyojua serikali ina mkono mrefu sana watawakamata tu wauwaji japo inaweza kuchukua muda kama hawakuacha simu maana waliokamatwa ni mafundi sasa sidhani kama wana issue sababu wao asubuh wamefika site ndio wakakuta ya kukuta
Wamekamatwa watu 4, kwa ajiri ya uchunguzi. Kila kitu kika kamilika, taarifa itatolewaa.
 
Yaani usage wake zetu wafike home hata hawana hamu za sisi tukuache hivi hivi?!

Kama una kibamia lazima usaidiwe na wasagaji na mashababi.

Mkeo hapendi kibamia ndio maana amekukimbia kawafwata wasagaji wakamkune kindakindaki [emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Pambana mzee wangu, pokea maujuzi ya magwiji utashinda vita.
 
mods naomba msiunganishe uzi huu na uzi mwingine.

Kupitia ukurasa wake wa instagram, Likud wa Jf ambae ni member mkongwe hapa JF ametoa maoni yake kuhusu tukio la kuuwawa kwa mwanadada kemilembe Suleiman huko mkoani Geita.

Likud amesema yafyuatayo:

1. Siungi mkono mauaji ya mtu yoyote yule kwa sababu mwenye mamlaka ya kutoa uhai wa mwanadamu ni Mwenyezi Mungu pekee, lakini Wasagaji na mashoga ni wahalifu wa mfumo wa kijamii ( wahalifu wa mfumo wa asili ambao umekuwa established na nature itself) na kwamba mfumo ambao jamii inautambua na ambao umekuwa established na Mungu mwenyewe ni (ME + KE) na sio ( ME +ME) au (KE + KE) Kwa hiyo msagaji au shoga anapo uwawa most of the time inakuwa ni act of nature. Ni nature yenyewe ndio ime dictate huyo mtu awe neutralized kwa sababu ana defy mfumo. Wewe mwanadamu ni the highest part of nature. Wewe ni the conscious part of nature. Unapo chukizwa na usagaji na ushoga sio wewe, ni nature ndio inachukia huo mfumo kupitia wewe kwa sababu wewe ndio the conscious part of nature.. Mtu anapo fanya mambo kinyume na nature, na anapo enda mbali zaidi kwa kutangaza hadharani kushindana na nature ( kama alivyo kuwa anafanya marehemu Milembe Suleiman) anakuwa ametangaza vita na nature yenyewe na nature haijawahi kushindwa na kitu.


Likud anaendelea kwa kusema kwamba " Zamani wasagaji na mashoga walifanya mambo yao kwa uficho mkubwa sana, lakini siku hizi hali imekuwa mbaya zaidi kwa sababu wanafanya mambo yao hadharani, unapo fanya mambo hayo hadharani maana yake ni kwamba una ya promoti, na unapo ya promote hayo mambo unakuwa unazidi kutengeneza idadi ya wahalifu wa mfumo wa kijamii/ mfumo dhidi ya nature. Inapo tokea situation kama hii, reaction ya nature siku zote huwa ni ku kuneutralize. Kwanini nature humuondoa mtu anaefanya na kupromote matendo kama hayo hadharani? kwa sababu huyu mtu anakuwa anasimama kama " virus". virus dhidi ya mfumo imara wa jamii.

Ukiwa na computer yako halafu virus mmoja akaingia basi unacho takiwa kufanya ni kumuondoa huyo virus haraka iwezekanavyo kwa sababu usipo fanya hivyo kitakacho fuata baada ya hapo ni kwamba huyo virus ata corrupt mfumo computer nzima na computer nzima itakufa. Mfano wakati wa Sodoma na Gomora, vitendo vya ushoga na ulawiti havikuanza kufanywa na wana sodoma na gomora wote kwa pamoja, nope vilianza na watu wawili then baadae vika spread sodoma yote baadae vikaamia Gomora, mwisho wa siku nature ikaamua kuteketeza Sodoma na Gomora yote kwa sababu tayari ilikuwa corrupted.


Nchi kama Saudi Arabia wamefanikiwa sana katika kuweka sheria kali dhidi ya wahalafu wote dhidi ya mfumo wa kijamii. Sio mashoga na wasagaji tu bali hata wazinzi na waasherati nao wanauwawa. Hivi ndivyo ilivyo kuwa katika Israel ya kale pia.

Narudia tena, siungi mkono mauaji ya Milembe, lakini kama wasemavyo wenye hekima kwamba kuna jambo chanya katika kila jambo hasi, ni matumaini yangu kuwa awe ameuwawa kwa sababu ya yeye kuwa msagaji au sababu nyingine yoyote , wanawake wengine wenye tabia kama yake wata ogopa kufanya mambo hayo hadharani ( kwa hofu ya kuuwawa na watu wanao chukizwa na mambo hayo). Watafanya kwa uficho. Advantage ya kutokufanya mambo hayo hadharani ni kwamba itasaidia kuto ku corrupt watu wengine.

Mungu ibariki Tanzania, Mungu ibariki Africa.

SOURCE: UKURASA WA INSTAGRAM WA LIKUD.

Nimeshindwa ku uandika hapa kwa sababu najua ni kinyume na kanuni za jf kuquote pages na link hapa mtandaoni.


WHAT DO U THINK WADAU? IS LIKUD RIGHT OR WRONG?
Andiko lake limejaa bias, sijawahi elewa kwann wabongo wanakua wanafiki kiasi hiki. Lol.
 
Unapinga dhambi ya usagaji huku unashangilia dhambi ya mauaji, huo ni unafiki.

Aisee mpaka nimebaki mdomo wazi!

Hii mitandao nahisi hata kuna majini humu. Haiwezekani mtu ashangilie mauaji.

Yaani kuna watu wanaandika makorokocho na kutema pumba mpaka unahisi kichwa kinalipuka.
 

Geita majitu yanauma haswa ,hayatanii
 
Hamna natare hapo, jamaa kafurahia binti kuuawa ila anajificha kwenye kichaka cha nature.

Mambo yanayotokea kwasababu nature imeamua sio kama hili tukio lilivyotokea!! Na huyu ni mmoja tu, hata hivyo yeye si wa kwanza kuuawa, watu wengi wanakatwa mapanga utasema ni nature??
Hakuna nature hapo asituongopee.

Sodoma na Gomola ziliangamizwa na Muumba sio nature kama anavyodai yeye.
Na nimeshangaa kwann hajaleta JF hilo bandiko huyo LIKUD anajua atapopolewaa, akaona aandike huko insta.

Yaan watu wako bias kiasi kwamba hawaoni hata nm wanapigania. Unafiki umewajaa wabongo khaaah
 
Lawless society, mlianza na maalbino na vibibi kizee kwa imani zenu za kichawi, then vibaka na wezi wa vitumbua mnawaua na mnaona sawa tuu, leo mnaua mashoga bila kesi wala sheria, kesho itakuwa nini? ila nawahakikishia haitaishia hapo mpaka mmalizane wote
Kila siku tunasema hapa, watu wanashupaza shingo, iko siku kuna angle itaguswa ndipo watu akili itawarudiaa.
 
Andiko lake limejaa bias, sijawahi elewa kwann wabongo wanakua wanafiki kiasi hiki. Lol.
Anashabikia mauaji huyo, halafu huwa anajifanya yuko SPIRITUAL sana.

Mtu gani spiritual anashangilia mauaji?? unajua tunadanganywa sana na hawa wahuni wa mitandaoni!

Usikute kuna majini humu yanalaghai watu kwa kujifanya yanamjua mungu kumbe hewala.

Nimemuona na yule ASKOFU WA UFUFUO NA UZIMA yupo humu anashangilia mauaji.
 
Mungu tunusuru sisi na vizazi vyetu

Ukweli ni kwamba kukosa watoto ni huzuni na bila Mungu kusimama na sisi kuzaa watoto ni presha kubwa.
Viatu vya wazazi waliozaa na watoto wakaingia kwenye haya mambo havitoshi. Mungu atupe imani

Hivi baada ya kumu-engage yule binti 2017 na kukatwa na polisi aliendelea na ndoa au aliendelea kusagana!?

Kama kauwawa kweli familia yake na familia za aliokuwa anawasaga wanajua walichofanya.
Duuuh ni kuomba mungu aisee

Sent from my Infinix X665 using JamiiForums mobile app
 
Hakuna cha majambazi wala nini! Huyu demu alikuwa akisimama na demu mwenzake anamcontain asilimia 100 na lazima amle siku hiyo hiyo..Demu lilikuwa halilazi damu hili. Mwaka 2016 niliwahi kupata story zake yani kipindi hicho alikuwa amewala mademu wengi na wakali kuliko mimi shababi. Kuna mnyarwanda mmoja nilikuwa namnyatia alikuwa na mzigo halafu White siku moja namkuta kwa hili lisagaji kavaa khanga huku lisagaji likiwa limevaa pensi wamekaa wanakula ugali kwa mtindi aiseee huyu demu nilimvulia kofia. Inawezekana kabisa wana waliomuua watakuwa wamechapiwa na tomboy wakaona isiwe kesi! Mwana alikuwa mwingi yani anakupokonya live huku unaona akimpenda tu mtu wako wafwaaa.
Khaaaaah
 
Back
Top Bottom