TANZIA Afisa Ugavi wa mgodi wa Geita, Milembe Suleiman auawa na viganja vyake kukatwa

TANZIA Afisa Ugavi wa mgodi wa Geita, Milembe Suleiman auawa na viganja vyake kukatwa

Jibu swali nililo kuuliza.

Naam kiingereza kigumu kwangu na mimi nina matini ya aya na tarjama ya Kiswahili. Hii ndiyo tofauti yetu na nyinyi, wewe huna marejeo ya asili kwenye vitabu vyenu ndiyo maana hawajulikani waandishi wa Vitabu vyenu na bado mnaviamini.

Sasa kipi bora kati ya tarjama na maneno ya asili ?

Ukijibu maswali niliyo kuuliza, unistue nije kuendelea hapa nilipo ishia.
Sio Mimi nimetoa tafsir ya verse ni skola nguli wa waislamu

4;16. If two men among you are guilty of lewdness, punish them both. If they repent and amend, Leave them alone; for Allah is Oft-returning, Most Merciful.
Tafsir al-Jalalayn 4:16 .... act adultery or homosexual intercourse punish them both with insults and beatings with sandals;

Sasa unapo jibu kawabishie al jalalayn usinihusishe kabisa

Watukane jalalayn kwa kupotosha maandiko yenu
 
Muuza ubuyu sio fukara hujui kama Bakharesa anauza Chapati na Maandazi!?

Mkiitwa Mafukara mnalalamika ona akili zenu zilivyo nusu.
Kwahiyo chapati na maandazi ndio ubuyu!

We e muuza ubuyu huna kiburi cha kuja kuita wenzako ni masikini na mafukara.


Njaa imekujaa
 
My Queen Dream Queen salute kwako, long live The Queen 🙌

Umejua kunikomeshea watu aise, nimesoma kila comment dah sijui kwanini sikukuita yule ajuza alivyoanza kunichokonoa 😂😂😂

Lakini nina Zawadi yako 🎁
 
Kama kauawa kweli basi itakua ni ishu nyingine nje ya huo usagaji,, sioni ni namna gani mtu atachukua hatua za namna hiyo kwa lesbo,, kwa kipi hasa yani,, tena kwa Geita,, hapana
Huenda alifumaniwa na mke wa mtu.
 
Salam
Ndo nimeskia Hapa hii tetesi , kua yule dada bwana kauliwa na aliyekua mkewe yule walokua wanaishi wotee na yasemekana Yuko mbele ya mamwera Kwa uchunguzi
Kama kweli ni mhusika baasii,
Daaahhh ..nimechokaa aseeehh,alijua atasalimika kirahisi hvyo wakati yule mtu watu walikua wanamtumia kupitisha mambo Yao...tamaa mbaya sana ,amekosa Mwana na Maji ya moto,Kwani alilazimishwa kuolewa na yule dada au ndo alichoka kuishi na mwanamkee mwenzie!!

Watu fikra zilitupeleka kwenye kudhulumiana na mambo yake kumbe Kuna ukweli mwingine tulishindwa kuuwaza
cocastic njoo kwanza Hapa maana najua weye hukosi la kusema

NB;Mungu amesema muishi nasi Kwa akili mjue

JamiiForums mobile app
 
Aiseee naona wamedakwa..... Mliokua mnawajaza upepo muwe mstari wa mbele kuwatetea mahakamani
 
Kemirembe aliuawa na viongozi mkoa wa geita wakishirikiana na polisi na viongozi wa Chama Cha Majambazi kwa sababu ya fedha zilzotolewa na kampuni ya uchimbaji madini geita gold mine ili pajengwe stendi ya mabasi ya kisasa kama ilivyo nyegezi mwanza pia GGM walitoa fedha kwa viongozi wa geita wajenge uwanja wa kisasa wakazitafuna pesa hakuna uwanja
 
Back
Top Bottom