Chebukati alipatikana kupitia mchakato wa kikatiba- was not handpicked by Kenyatta. Usifikiri Kenya ni kama Tanzania ambapo mwenye kiti wa ccm anateua mwenyekiti wa neck, igp, majajii etc. Kenya wana judicial service commission, police service commission etc ambapo watu wanaotaka nafasi kama hizo wanaomba (application), wanapitia mchujo mkali (rigorous vetting), hatimae wanapatikana watu waadilifu na wasioegemea upande wote wanawekwa ofisini. Rais anapelekewa jina Moja au mawili kwaajili ya 'uteuzi rasmi'. Maofisa Hawa Wana kuwa huru kweli, sio kama hapa watu wanapewa vyeo Kwa kuangalia uswahiba na ukada.