Hawezi kukitia mchanga kitumbua chake !! Ulitegemea aseme tofauti ipo kubwa ?? Sio Dunia ya tatu Mkuu !!Akiongea na kituo kimoja cha redio hapa nchini, mkurugenzi msaidizi wa elimu ya mpiga kura kuhusu tathimini yake ya uchaguzi uliomalizika hivi karibuni nchini Kenya, amesema hakuna tofauti kubwa ya namna tume ya uchaguzi ya Kenya inavyotekeleza hilo jukumu na tume yetu.
Inaonekana huyu afisa ana jinsi yake ya kutafsiri mfanano.
Tume ya Kenya ni ya kusimamia uchaguzi na ya kwetu ni ya kusimamia wizi wa kuraAkiongea na kituo kimoja cha redio hapa nchini, mkurugenzi msaidizi wa elimu ya mpiga kura kuhusu tathimini yake ya uchaguzi uliomalizika hivi karibuni nchini Kenya, amesema hakuna tofauti kubwa ya namna tume ya uchaguzi ya Kenya inavyotekeleza hilo jukumu na tume yetu.
Inaonekana huyu afisa ana jinsi yake ya kutafsiri mfanano.
Ww utakuwa ni afisa wa hii tume ya uchaguzi inayoratibu chaguzi za kishenzi kwenye nchi hii. Hapa kwetu tume yetu huwa haisimamii uchaguzi, bali husimamia maonyesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura.Hakuna tofauti kubwa kimsingi kwa sababu hizi nchi mbili tofauti kila nchi inaangalia namna nzuri ya kufanya mambo yake hivyo si lazima tufanane kila kitu hata kama kuna maboresho yanatakiwa kufanyika kwa Tume yetu ya uchaguzi ni sawa lakini sio kutaka tufanane kila kitu. Hata hao kenya nao wana changamoto vilvile ndio maana Odinga alienda mahakamani kulalamika kuwa ameibiwa kura ingekua mfumo wao ni mzuri kiasi hicho usingesikia malalamiko yoyote.
Rejea hata uchaguzi wa Marekani ambao ndio wanajiita mapapa wa demokrasia Trump nae alilalamika sana kuwa ameibiwa kura kwa hiyo tusitake copy and paste toka kenya hata Ruto wakati anatoa hotuba yake juzi alisema atazidi kuimarisha Tume yao maana yake ni kuwa anaona kuwa ina mapungufu. Hali ya amani na utulivu tulio nao sasa haivi ni matokeo ya kazi iliyofanywa na hii hii Tume kwa hiyo tusiwe wanyonge kiasi hicho ila tushauri namna bora ya kuboresha utendaji wa Tume yetu.
Kenya tume inaburuzwa mahakamani,je hapa inaburuzwa?aseme hiyo si tofauti?Akiongea na kituo kimoja cha redio hapa nchini, mkurugenzi msaidizi wa elimu ya mpiga kura kuhusu tathimini yake ya uchaguzi uliomalizika hivi karibuni nchini Kenya, amesema hakuna tofauti kubwa ya namna tume ya uchaguzi ya Kenya inavyotekeleza hilo jukumu na tume yetu.
Inaonekana huyu afisa ana jinsi yake ya kutafsiri mfanano.
Kwamba Wajumbe wote ni BinadamuAkiongea na kituo kimoja cha redio hapa nchini, mkurugenzi msaidizi wa elimu ya mpiga kura kuhusu tathimini yake ya uchaguzi uliomalizika hivi karibuni nchini Kenya, amesema hakuna tofauti kubwa ya namna tume ya uchaguzi ya Kenya inavyotekeleza hilo jukumu na tume yetu.
Inaonekana huyu afisa ana jinsi yake ya kutafsiri mfanano.
Utofauiti ni kwamba matokeo Tanzania yanatangazwa kwa kadri yanavyopolewa lakini hayaoneshwi moja kwa moja kwenye runinga hadi yanapojumuishwa kwa pamoja na matokeo yakishatangazwa na tume hayapingwi sehemu yoyote mpaka mahakani wakati Kenya matokeo yanatangazwa kwa kadri yanavyohesabiwa huku yakioneshwa moja kwa moja kwenye runinga pia matokeo yanapingwa mahakani. Hata hivyo mahakama ya upeop ikishatoa uamuzi hakuna nafasi ya rufaa!!!! Maajabu ya duniaHakuna tofauti kubwa kimsingi kwa sababu hizi nchi mbili tofauti kila nchi inaangalia namna nzuri ya kufanya mambo yake hivyo si lazima tufanane kila kitu hata kama kuna maboresho yanatakiwa kufanyika kwa Tume yetu ya uchaguzi ni sawa lakini sio kutaka tufanane kila kitu. Hata hao kenya nao wana changamoto vilvile ndio maana Odinga alienda mahakamani kulalamika kuwa ameibiwa kura ingekua mfumo wao ni mzuri kiasi hicho usingesikia malalamiko yoyote.
Rejea hata uchaguzi wa Marekani ambao ndio wanajiita mapapa wa demokrasia Trump nae alilalamika sana kuwa ameibiwa kura kwa hiyo tusitake copy and paste toka kenya hata Ruto wakati anatoa hotuba yake juzi alisema atazidi kuimarisha Tume yao maana yake ni kuwa anaona kuwa ina mapungufu. Hali ya amani na utulivu tulio nao sasa haivi ni matokeo ya kazi iliyofanywa na hii hii Tume kwa hiyo tusiwe wanyonge kiasi hicho ila tushauri namna bora ya kuboresha utendaji wa Tume yetu.
"Alisikia mlevi mmoja akisema"Akiongea na kituo kimoja cha redio hapa nchini, mkurugenzi msaidizi wa elimu ya mpiga kura kuhusu tathimini yake ya uchaguzi uliomalizika hivi karibuni nchini Kenya, amesema hakuna tofauti kubwa ya namna tume ya uchaguzi ya Kenya inavyotekeleza hilo jukumu na tume yetu.
Inaonekana huyu afisa ana jinsi yake ya kutafsiri mfanano.
Malalamiko ni tabia ya binadamu hivyo, uzuri na ubora wa tume haupimwi kwa kukosekana kwa malalamiko ya aliyeshindwa/aliyeshinda bali hupimwa kwa kupima wingi wa malalamiko ya "wapiga kura".Hakuna tofauti kubwa kimsingi kwa sababu hizi nchi mbili tofauti kila nchi inaangalia namna nzuri ya kufanya mambo yake hivyo si lazima tufanane kila kitu hata kama kuna maboresho yanatakiwa kufanyika kwa Tume yetu ya uchaguzi ni sawa lakini sio kutaka tufanane kila kitu. Hata hao kenya nao wana changamoto vilvile ndio maana Odinga alienda mahakamani kulalamika kuwa ameibiwa kura ingekua mfumo wao ni mzuri kiasi hicho usingesikia malalamiko yoyote.
Rejea hata uchaguzi wa Marekani ambao ndio wanajiita mapapa wa demokrasia Trump nae alilalamika sana kuwa ameibiwa kura kwa hiyo tusitake copy and paste toka kenya hata Ruto wakati anatoa hotuba yake juzi alisema atazidi kuimarisha Tume yao maana yake ni kuwa anaona kuwa ina mapungufu. Hali ya amani na utulivu tulio nao sasa haivi ni matokeo ya kazi iliyofanywa na hii hii Tume kwa hiyo tusiwe wanyonge kiasi hicho ila tushauri namna bora ya kuboresha utendaji wa Tume yetu.
Wewe mjinga kama Mwi**luHamia Kenya.
Malalamiko ni tabia ya binadamu hivyo, uzuri na ubora wa tume haupimwi kwa kukosekana kwa malalamiko ya aliyeshindwa/aliyeshinda bali hupimwa kwa kupima wingi wa malalamiko ya "wapiga kura".
Kwa mfano Sasa hivi wametangaza kazi za makatibu wakuu wa wizara waanze kutuma maombi watu wenye sifaChebukati alipatikana kupitia mchakato wa kikatiba- was not handpicked by Kenyatta. Usifikiri Kenya ni kama Tanzania ambapo mwenye kiti wa ccm anateua mwenyekiti wa neck, igp, majajii etc. Kenya wana judicial service commission, police service commission etc ambapo watu wanaotaka nafasi kama hizo wanaomba (application), wanapitia mchujo mkali (rigorous vetting), hatimae wanapatikana watu waadilifu na wasioegemea upande wote wanawekwa ofisini. Rais anapelekewa jina Moja au mawili kwaajili ya 'uteuzi rasmi'. Maofisa Hawa Wana kuwa huru kweli, sio kama hapa watu wanapewa vyeo Kwa kuangalia uswahiba na ukada.
Kuna tofauti kubwa sana.Akiongea na kituo kimoja cha redio hapa nchini, mkurugenzi msaidizi wa elimu ya mpiga kura kuhusu tathimini yake ya uchaguzi uliomalizika hivi karibuni nchini Kenya, amesema hakuna tofauti kubwa ya namna tume ya uchaguzi ya Kenya inavyotekeleza hilo jukumu na tume yetu.
Inaonekana huyu afisa ana jinsi yake ya kutafsiri mfanano.
Assume kuwa babu tale ndie mbunge wako!Hakuna tofauti kubwa kimsingi kwa sababu hizi nchi mbili tofauti kila nchi inaangalia namna nzuri ya kufanya mambo yake hivyo si lazima tufanane kila kitu hata kama kuna maboresho yanatakiwa kufanyika kwa Tume yetu ya uchaguzi ni sawa lakini sio kutaka tufanane kila kitu. Hata hao kenya nao wana changamoto vilvile ndio maana Odinga alienda mahakamani kulalamika kuwa ameibiwa kura ingekua mfumo wao ni mzuri kiasi hicho usingesikia malalamiko yoyote.
Rejea hata uchaguzi wa Marekani ambao ndio wanajiita mapapa wa demokrasia Trump nae alilalamika sana kuwa ameibiwa kura kwa hiyo tusitake copy and paste toka kenya hata Ruto wakati anatoa hotuba yake juzi alisema atazidi kuimarisha Tume yao maana yake ni kuwa anaona kuwa ina mapungufu. Hali ya amani na utulivu tulio nao sasa haivi ni matokeo ya kazi iliyofanywa na hii hii Tume kwa hiyo tusiwe wanyonge kiasi hicho ila tushauri namna bora ya kuboresha utendaji wa Tume yetu.
We unaejifanya unajua kumbe ndo zwazwa kabisa.Tume zote linatekelezwa majukumu yake kwa mujibu wa katiba na sheria zake isipokuwa tunatifautiana kwenye maneno machache ambayo nayo yanatekelewa kwa mujibu wa katiba na sheria zilizotungwa kwa maslahi ya nchi husika
ACHA UONGONadhani haina tofauti na wewe unavyotafsiri hiyo kauli yake. Katiba ya Kenya imetoa mamlaka kwa Tume ya Kenya kwa namna ilivyoonelea inafaa sambamba na Katiba ya Tanzania ilivyokasimisha mamlaka kwa Tume ya Tanzania.
Execution ya majukumu inaweza kuwa sawa kulingana na maelekezo ya sheria mama.
Wafuasi wa Raila kule Kenya hawaitaki hata kuisikia hii Tume unayoiona wewe supa...
have you ever witnessed this? au unasikia tu vijiweni? vetting ni vetting na ndio utaratibu unaotumiwa kila mahali(rigorous vetting),
Nikukumbushe tu kuwa hata hao kenya baada ya mahakama ya upeo kutoa uamuzi hakuna mahakama nyingine tena yenye uwezo wa kuhoji na ndipo alipoishia Odinga. Kama wana uhuru wa kiasi hicho si wangeruhusu mlalamikaji kukata rufaa baada ya mahakama ya upeo? Watz sijui nani katuloga kiasi kwamba kila tunachokifanya wenyewe tunakiona hakifai. Ndio maana mara zote nasema suala la msingi ni kutoa maoni na mapendekezo ya namna ya kuboresha ya kwetu lakini sio kuabudu vya watu ambavyo hata wenyewe hawavitaki leo wafuasi wa Odinga wote wanalia na uhuru wa Tume yao halafu sisi huku ndio tuko busy kuililia hiyo nadhani hata wao wanatuona mazwazwa wa kiwango cha lami.Kenya tume inaburuzwa mahakamani,je hapa inaburuzwa?aseme hiyo si tofauti?
ukweli ni upi?ACHA UONGO
Jinga kabisa huyu afisa. Analingamisha tume ya Kenya na vitu vya hovyo hovyo??