Africa Cup of Nations (AFCON) 2015 updates

FT. Zambia 1 DR Kongo 1
Tunisia vs Cape Verde saa 4 usiku kwa saa za Afrika Mashariki.
 
Ni wewe tu Mkuu. sembo, Masuke na wengine wengi wako wapi?

Tena wengine hawapatikani humu mpaka wasikie simba imeshinda, hebu angalieni mpira wa watu wanaojua sio kila siku kelele kwa kumsifia mkude wakati hata hajawahi kupata offer ya kwenda kufanya majaribio hata fc leopard au tp mazembe???? acha akina Bolasie wafanye mambo ninyi bakini na sserunkuma wenu.
 
Last edited by a moderator:
Mkuu tupo, chama langu la Zambia limeshindwa kufurukuta mbele ya wakongo wa Kabila.

Hamia cape verde chama la wana, hao zambia wamechoka sasa, karibu sana mkuu Masuke uone mwarabu wa Tunisia atavyopigwa nyingi.
 

CC. Masuke, ilimela iti li gongola.
 
Last edited by a moderator:
Hamia cape verde chama la wana, hao zambia wamechoka sasa, karibu sana mkuu Masuke uone mwarabu wa Tunisia atavyopigwa nyingi.

Cape Verde wanapiga soka la Kifaransa wanaweza kumkalisha kweli Tunisia lakini nao si haba, ila ingekuwa ni betting, mimi nampa Tunisia kushinda kwa mechi hii ya leo.
 

Ningekuwa wewe ningekuwa more concerned na fowadi yenu butu inayopata
nafasi 10 na kushindwa kufunga hata kagoli kamoja.Tambwe alijaribu kufunga kwa mkono akapewa kadi ya njano.
 
Maana yake? Nimejaribu Google translator ina'respond' "Filipino detected", lakini inashindwa kutafsiri.

Obheja-Asante
namhala-Mzee
bhujikhu-usiku
ng'waka-Mwaka
leka-ngoja
nagadelengeje-Nikabembeleze(Citation needed) maana tunatoka sehemu tofauti tofauti kama sehemu ninayotoka mimi hili neno halipo lakini nimetafsiri kulingana na sentensi iliyopo.
banigini-watoto.

'Bhujiku ng'waka' tafsiri yake ni hiyo lakini maana yake ni kumtakia mtu usiku mwema maana usiku ni mrefu na lolote linaweza kutokea.
 
Hola Hola AFCON 2015 theme song:

these are the African artists who collaborated on the theme song: Cano, Molare, Toofan, Eddy Kenzo, Singuila, Arielle T, Wizboyy.


 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…