Najalibu kujiuliza Timu ya taifa ya Congo kufuzu kuongoza kundi lake 2017 na hasa alikua na bingwa mtetezi Ivory Coast, Morroco lakini amefanikiwa kupenya na kuongoza uongozi wao wamewekeza kuhakikisha timu yao kutokua kichwa cha mwendawazimu tena hili ni funzo kwa TFF mbona mipango yao haionekani hebu acheni kupigania kupachikaviongozi ktk mikoa ili mje mchaguliwe kuwa viongozi, ukiangalia uchaguzi unavyoendelea kwenye mikoa ndivyo unavyoona tunasafari ndefu kufanikisha timu yetu kuweza kushiriki mashindano haya makubwa.