Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Noma sana hiyo nchiMajambazi na wezi wanakwida watu, wanawapukutisha hadharani na kufanya mauaji kiholela sana kama vile hakuna kitu kinaitwa police au magereza.
View attachment 3241151
Hawawezi kuendelea sawa na jamii nyingine kwa sababu wakati hizo jamii nyingine zinaendelea wao walikuwa watumwa mashambani na hawatambuliki kama binadamu.Sorry
Hivi watu weusi huko marekani wameendelea sawa na jamii zingine zilizopo huko marekani mfano jamii ya wazungu,wayahudi,wachina,wahindi ?
Kuna kitu nataka kuona hapa
O.k o.k o.k o.k wahindi walienda marekani kama watu gani ningependa kujua ?Hawawezi kuendelea sawa na jamii nyingine kwa sababu wakati hizo jamii nyingine zinaendelea wao walikuwa watumwa mashambani na hawatambuliki kama binadamu.
Watumwa.Wahamiaji wa hiyari wasaka fursa
Afrika kusini kuna wageni wengi sana waliochukua uraia wa nchi hiyo, wengine ni raia wa kigeni ila wanaishi kihunihuni bila kuwa na maelezo ya kueleweka. Sasa kwa mazingira ya ile nchi kuna vitu huwezi kupambana navyo na kuvimaliza.Labda kama kwako dira sahihi ni kuwa taifa kinara katika ujambazi, mauaji, rushwa, ubakaji na maambukizi ya Ukimwi.