Africa needs a second wave of armed struggle to gain independence from fellow black dictators, murderers, human rights violators and colonialists!

Africa needs a second wave of armed struggle to gain independence from fellow black dictators, murderers, human rights violators and colonialists!

Ni kweli kabisa! Imagine, mtu alikuwa mwizi wa magari sugu - halafu anakuwa mbunge na kupewa uongozi mkubwa ndani ya chama!
Maana yake, karata zikichangwa vingine kuna uwezekano hata wa kuukwaa uraisi! Imagine! Na wakati wote tunajua hizo tabia zao! Sasa kiko wapi si amekimbia mwenyewe?
True wengine wana roho za uuaji hadi kupewa u-DC kama fadhila ya kutishia kuwauwa wapinzani.
 
Tatizo la waafrika awajui mbinu za kupambana na Askari ambao ndio tools za madikteta kuumizia waafrika.
Waafrika wakiweza wadhibiti Askari udikteta utakoma afrika.Kuwadhibiti Askari au wanajeshi vibaraka wa madikteta ni kulia wote wao wanalia na raia wanalia at the end mnafika conclusion. Amani haiji bila upanga.
 
Basically my focus and reference was Tanzania. I doubt I missed the very leader of human rights violator
 
Mbona hujaitaja Tanzania?
Nililenga Tanzania has a kama reference point/country, machunhu yananifanya kusahau. Niliilenga Tanzania nika avoid kuiweka kwenye heading maana wangelifuta Uzi.
 
Kila mtu hum naona ankubal tuu hata haitaj kila.kitu ww unafuata iko hvy mnao ona kam mnateseka sio kwa maon yen yangekuwa yenu hata mim ningekuwa tayr Niko nanyi Koo weng wenu mnasikia saut za wazungu huu upuuz muache utasikia UN africa is under mine human rights na ww ndoo unaleta thread yako baada ya kusikia hata kufir mnakosea san kwnn hamjawaulz wao wanao fanya watuu weusi ubguzi hamuon hilo sioo kam huna acha kuongea kila siku wanazamisha boat za africa zinazo vuka kwenda huko kwao alafu unaongea unasem tunanyanyasan chanzo chake mbn inajulikan ni hao hao
 
Nililenga Tanzania has a kama reference point/country, machunhu yananifanya kusahau. Niliilenga Tanzania nika avoid kuiweka kwenye heading maana wangelifuta Uzi.
Ongeza Tanzania hapo kwenye maelezo,hakuna wa kufuta uzi kwa sababu hayo ni maoni yako
 
Kwa hii trend inayoshika kasi ya udikiteita among African nations, I can predict kutakuwa na second wave of liberation struggle among African nations to gain their independence from fellow black colonialists! Angalia aina ya serikali katika nchi za Rwanda, Burundi, Uganda, Ethiopia, Zimbabwe to mention but a few-(ongezea za West Africa), ni wazi kwa mwendendo huu kuna civil wars zitaibuka Africa.

Mauaji ya waafrika wenzano, kutoheshimu Katiba za nchi zao, ukandamizaji, kupuuza haki za binadamu etc etc utafika wakati hayatavumilika. Time will tell!
Huu sio ushauri mzuri, uongozi unatakiwa uondolewe madarakani kwa mujibu wa katiba kama haufai. Njia pekee ni boksi la kura.
 
Kwa hii trend inayoshika kasi ya udikiteita among African nations, I can predict kutakuwa na second wave of liberation struggle among African nations to gain their independence from fellow black colonialists! Angalia aina ya serikali katika nchi za Rwanda, Burundi, Uganda, Ethiopia, Zimbabwe to mention but a few-(ongezea za West Africa), ni wazi kwa mwendendo huu kuna civil wars zitaibuka Africa.

Mauaji ya waafrika wenzano, kutoheshimu Katiba za nchi zao, ukandamizaji, kupuuza haki za binadamu etc etc utafika wakati hayatavumilika. Time will tell!
...., until when we support each other. Ungesema ukombozi wa ki fikra, not otherwise. Most of us we are not free my friend, we have muzungu mentality, and mara nyingi compare etc wazungu mpaka our blood children know muzungu is better than black. Dkt Magufuli ni mtu pekee anajaribu kutukomboa toka utumwani.
 
Kwa hii trend inayoshika kasi ya udikiteita among African nations, I can predict kutakuwa na second wave of liberation struggle among African nations to gain their independence from fellow black colonialists! Angalia aina ya serikali katika nchi za Rwanda, Burundi, Uganda, Ethiopia, Zimbabwe to mention but a few-(ongezea za West Africa), ni wazi kwa mwendendo huu kuna civil wars zitaibuka Africa.

Mauaji ya waafrika wenzano, kutoheshimu Katiba za nchi zao, ukandamizaji, kupuuza haki za binadamu etc etc utafika wakati hayatavumilika. Time will tell!
You are wright. We see the trend from the time series.
 
Kwa hii trend inayoshika kasi ya udikiteita among African nations, I can predict kutakuwa na second wave of liberation struggle among African nations to gain their independence from fellow black colonialists! Angalia aina ya serikali katika nchi za Rwanda, Burundi, Uganda, Ethiopia, Zimbabwe to mention but a few-(ongezea za West Africa), ni wazi kwa mwendendo huu kuna civil wars zitaibuka Africa.

Mauaji ya waafrika wenzano, kutoheshimu Katiba za nchi zao, ukandamizaji, kupuuza haki za binadamu etc etc utafika wakati hayatavumilika. Time will tell!

Mbona Tanzania hujai mention unaogopa nini?
Sema ongezea na Tanzania ya Magufuli dikteta uchwara. We need another armed struggle ili kujikomboa toka udikteta wa viongozi weusi wenye uchu,tamaa na uroho wa madaraka.
Is a time now to sing a song like our fellows in South Africa during a racist regime where they used to sung..."Where's my machine gun? Freedom is coming tomorrow..."
 
Hiki si kitu kizuri, ombea mambo mengine . Tuachie Tanzania yetu
Acha ujinga wewe. Unaposema hiki siyo kitu kizuri una maana gani??
Kitu kizuri kwako ni MAGUFULI na CCM yake kunyanyasa,kutesa na kuua Watanzania wasio wana CCM!!
 
Afrika ina shida sijui ni laana,Ukianzia nchi za Afrika Mashariki ni kelele tu,ni shida tu.

Hakuna utashi wa kuijenga Afrika ilio huru na yenye maendeleo.
Rwanda japo si demokrasia ya magharibi lakini imejikakamua kama nchi kwenye maendeleo makubwa kwa kipindi kifupi.

Sudan ya kusini iliopigania kujitenga na Sudan ya Kiarabu,sasa inapigania kujitenga kwa makabila.

Uganda ipo stable sababu of strong man Museveni, akitoka itajigawa vipande vipande na vita visivyoisha.

Kenya is cool because Kikuyu is in state house,wait when they have someone not supported by Kikiyu.

Tanzania nayo imevumiliwa lakini kuna sign of cracks.2025 inaelekea uchaguzi wenye katiba mpya.

Somalia imegeuka no man's land kwa miaka 30.hapo ni vita vya koo na sasa ni vita vya Alshababu na serikali.
 
JE HOTUBA ALIYOITOA RAISI TRUMP SEPTEMBER 2018 JUU YA AFRIKA KATIKA MKUTANO WA UMOJA WA MATAIFA NI MATUSI AU NDO UKWELI?
Ingawa Mimi ni mwanasiasa mdogo na sipendi upuuzi na uzandiki kwenye mambo ya msingi, Kuna post nilitumiwa ambayo imeandikwa kwa Kiingereza kuhusiana na hotuba aliyoitoa Raisi Trump Donald wa Marekani.
Nimeona niitafsiri kwa Kiswahili ili wengi tuweze kutoa maoni yetu kuhususiana na mtazamo wake juu ya bara letu la Afrika.
Kumbuka wakati huu karibu nchi 133 za dunia zimekutanika ikiwemo na Tanzania ambayo imewakilishwa na waziri wa mambo ya nchi za nje.
Haya ni mambo yaliyonukuliwa katika hotuba ya Raisi Trump akiongelea bara la Afrika. Naomba usome na utoe maoni yako. Akiwa anawasuta viongozi wa Afrika, Trump anahoji kwamba:
  • lkiwa sasa imefika miaka 50 ya uhuru na bado viongozi wengi wa Afrika wameshindwa kuwa na miundo mbinu thatbiti kwa ajili ya watu wao, je hao viongozi ni binadamu kweli?
  • Anaendelea kusema kuwa ikiwa ninyi viongozi mnakalia dhahabu, almasi, mafuta na uranium na watu wenu wanakosa chakula, je ninyi viongozi wa afrika ni watu kweli?
  • Kama mnakaa kwenye madaraka na kununua silaha kutoka kwa wageni na kuua watu wenu, je ninyi ni binadamu kweli?
  • Kama mnawaza kukaa madarakani mpaka mwisho wa maisha yetu, je ninyi ni binadamu kweli?
  • Ikiwa mnatumia maliasili ya nchi zenu kwa maendeleo ya familia zenu, je ninyi ni watu kweli?
  • lwapo hamjali kuweka miundo mbinu ya afya za watu wenu na badala yake mkiugua mnaenda kutibiwa nchi za nje, Je ninyi ni binadanu kweli?
  • Mtaheshimikaje katika mataifa yenu wakati mnapiga risasi raia wenu kama vile ni mchezo?
*Amemalizia kwa kusema kuwa viongozi wa Afrika wataendelea kuwa kama wanyama hadi watakapo badili mtazamo wao na kuheshimu watu wanaowaongoza.

NB: Hadi kufikia hapo, unadhani Raisi Trump inatakiwa alaumie kutokana na tabia zake za kutukana waafrika, au labda anachosema ni kweli tukubaliane na yeye?
Una maoni gani kutokana na hotuba aliyoitoa huko kwenye kikao cha umoja wa mataifa? Hizi ni dharau za wazungu au kuna ukweli ndani yake?
 
Watawala wanashindana kuibia wananchi kila mmoja anataka awe tajiri wa kwanza wa dunia kwa wizi.
 
Back
Top Bottom