joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Weka reference kutoka kwenye source zao wenyewe haya twende kisomi.Maana mpaka kwenye twitter page yao CAF wamekukataa hujawahi fika nusu fainal ya michuano yoyote ya CAF.joseph1989 mpaka leo anabisha
Haukuangalia draw ya upangaji wa plots ungeangalia wala usingesema kuwa hiyo sio reference.Weka reference kutoka kwenye source zao wenyewe haya twende kisomi.Maana mpaka kwenye twitter page yao CAF wamekukataa hujawahi fika nusu fainal ya michuano yoyote ya CAF.
Nimetizama draw mwanzo mwisho.Haukuangalia draw ya upangaji wa plots ungeangalia wala usingesema kuwa hiyo sio reference.
Ulielewa ile twitter?
Ndio maana nakuambia wewe huelewi na tatizo la kutoelewa halipo kwenye lugha.
Unaweza ukaiweka hapa hiyo Twitter tuijadili?
Commentator kakukataa na page ya CAF official nao wamekukataa.Haukuangalia draw ya upangaji wa plots ungeangalia wala usingesema kuwa hiyo sio reference.
Ulielewa ile twitter?
Ndio maana nakuambia wewe huelewi na tatizo la kutoelewa halipo kwenye lugha.
Unaweza ukaiweka hapa hiyo Twitter tuijadili?
Ipo wapi nipe na reference.Kwa hiyo kwa mujibu wa maoni yako hiyo screenshot kwako unaiona imefojiwa?
Umeelewa kilichoandikwa hapo?Commentator kakukataa na page ya CAF official nao wamekukataa.
View attachment 2830615
Twende kwa reference tuachane na story za vijiweni.Weka hapa reference.
Hii comment hujaielewa sababu ya lugha tu.Commentator kakukataa na page ya CAF official nao wamekukataa.
View attachment 2830615
Twende kwa reference tuachane na story za vijiweni.Weka hapa reference.
Nimekuwekea video ya yule commentator iki reference shirikisho na nimekuwa nahii iki reference championship.Umeelewa kilichoandikwa hapo?
Hapo Simba ilikuwa inashiriki michuano gani kati ya Shirikisho au Club Bingwa?
Simba ilisema imefika fainali ya Shirikisho au Club Bingwa?
Ndio maana nilikuambia unasoma bila kuelewa.
Zimba imefika fainali za CAF ambapo kwa hadi ya sasa ni shirikisho.
Kipindi cha hiyo tweet ni Simba akiwa kwenye Club Bingwa. Ni ukweli kuwa Simba hajafika fainali ya Club Bingwa hivyo ni sahihi kwa alichoandika admin wa page ya CAF.
Tatizo limekuwa ni wewe umeshindwa kuelewa.
After a long search hatimaye nimeipataIpo wapi nipe na reference.
Labda kama unajiongelea ww.....Hii comment hujaielewa sababu ya lugha tu.
Wanasema Simba anasaka kuweka rekodi ya kufika nusu fainali ya Cacl.
To make things clear ngoja nikuulize swali.Nimekuwekea video ya yule commentator iki reference shirikisho na nimekuwa nahii iki reference championship.
Hujihelewi sasa huo ukubwa wako unao uzungumzia upo wapi ambao unamzidi Yanga........ maana hata reference huna una kazi ya kuuza chai,maneno mengi kama unafanya kazi kwenye kiwanda cha kanga kitengo cha misemo.
Wewe sio mzima,hata nikikuuliza huyo demu alicho kiongea dk ya ishirini saba kwa Kiarab alikuwa anamaanisha nini huelewewi.After a long search hatimaye nimeipata
Sasa sikiliza kuanzia dakika ya 27
View: https://www.youtube.com/live/UyDS1Yj7uRk?si=S9NX34uuB9b4oe-a
Kwani ipo chini ya nani nani?To make things clear ngoja nikuulize swali.
Confederation Cup limeanzishwa mwaka gani?
Ipo chini ya nani ndio jibu la swali gani?Kwani ipo chini ya nani nani?
Level niliyofika mimi ww ushafika?
Labda ww ndiye uliye shindwa kuelewa.Ipo chini ya nani ndio jibu la swali gani?
Nimeona kuna sehemu unashindwa kuelewa ndio maana nataka nianze mwanzo.
Naomba uniambie haya mashindano ambayo nyinyi mlifika fainali yalianzishwa mwaka gani?
Na mazingira gani yaliyofanyika mpaka kupata mashindano hayo.
2004.Ipo chini ya nani ndio jibu la swali gani?
Nimeona kuna sehemu unashindwa kuelewa ndio maana nataka nianze mwanzo.
Naomba uniambie haya mashindano ambayo nyinyi mlifika fainali yalianzishwa mwaka gani?
Na mazingira gani yaliyofanyika mpaka kupata mashindano hayo.
Nisha kujibu kasome documents ile ya CAF then karudie kile kipande chako dk ya 27,uone jinsi gani ulivyo pwiyanga. Yaani binti anafunga droo ya makundi kwa kuwashukuru wahudhuriaji ww umeelewa vingine.Mbona swali langu hujibu?
Sawasawa2004.
Nimekuletea link kutokea website ya CAF.
Ina historia yote ya michuano iliyo anzishwa na CAF,hamjawahi kufika hatua ya nusu ya michuano yoyote ya CAF.
Haya kazi kwako kusoma husipo elewa hapo basi.