African Football League Draw: Simba kuanza na Al Ahly

African Football League Draw: Simba kuanza na Al Ahly

Kutoka 2018 mpaka leo tumekutana mara 4 na Al Ahly

Kashinda mara mbili

Nimeshinda mara mbili.

Na kikosi nilichonacho msimu huu sina wasiwasi wowote na timu yeyote.
Aahaaaa
 
Hiyo siku Kuna kiumbe kitachapwa,kitapoteana uwanjani,hakuna kituko tutaacha kuona,kisago kitakuwa ni unlimited.. wakujiita mnyama ataliwa hiyo nyama anyamike...😂
 
kuna mambo yananishangaza

1. Kwan hamjui kuwa port 1 alipaswa akutane na port 2, kama mlijua, mnahisi kwenye port 1 kuna kibonde? fact ni kwamba ili uwe mkubwa lazima upambane na mkubwa, ktk misim 5 hii simba kacheza na al ahly mech 4, simba kashinda 2 ahly kashinda 2. Hapo hashinda 1 dhid na WAC na kufungwa 1 na WAC, hivyo wanasimva kwa hayo wajue timu yao ni kubwa.

2. Kuna watu wanasema sawa CAF wamesema simba kacheza fainali lakin hana kombe la maana, kwan tanzania kuna tim ina kombe la maana huko CAF zaid ya kuongeza tu ubora kwenye rank ambap simba ndiye mbabe?

3. Kuna watu wanaisema haya ni mashindano ya viti maalumu, kwan si kuna vigezo vilitumika kuwapata viti maalumu, timu yako ilikidhi vigezo?



Sent from my TECNO RC6 using JamiiForums mobile app
Ongezaaa sautiiii wasikie had viziwi wa Avic town kibonde maji
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hiyo unazungumzia fainali je nyie mnafurahia kumfunga Al Ahly kwenye fainali? Mna mingapi hamkugusa fainali za CAF interclub championship?
CAF ipi hebu eleza, wee mwenyewe kuna michuano ya CAF hata kuingia makundi ni mtihani, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hiyo siku Kuna kiumbe kitachapwa,kitapoteana uwanjani,hakuna kituko tutaacha kuona,kisago kitakuwa ni unlimited.. wakujiita mnyama ataliwa hiyo nyama anyamike...[emoji23]
Utopolooo mbna mna haha? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huku hakuwahusuu, woiiiiih
 
CAF ipi hebu eleza, wee mwenyewe kuna michuano ya CAF hata kuingia makundi ni mtihani, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwani kuna CAF ngapi? Mashindano ya CAF interclub inahusisha champions league na confederation cup.
 

Attachments

  • IMG_20230830_123237.jpg
    IMG_20230830_123237.jpg
    117.1 KB · Views: 1
Kwani kuna CAF ngapi? Mashindano ya CAF interclub inahusisha champions league na confederation cup.
Ndo useme hayo uliyofika final ni yapi, km ni CL au CC.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]sasa unashindwa kutaja michuano uliyofika final, woiiiiiih
 
Back
Top Bottom