Kilimbatzz
JF-Expert Member
- Feb 11, 2023
- 9,134
- 14,593
Tuombe na power Dynamos nao wakaze matako tumalizie shughuli kule kule NdolaPira papatu papatu jipangeni tena msimu ujao, safari yenu mwaka huu imeshafika mwisho
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tuombe na power Dynamos nao wakaze matako tumalizie shughuli kule kule NdolaPira papatu papatu jipangeni tena msimu ujao, safari yenu mwaka huu imeshafika mwisho
Na atajipigia mpaka achoke,halafu CAF wajanja wametuletea msiba nyumbani hapa hapa,Al ahly saiv kashapaka mkongo anamsubil my wake
AahaaaaKutoka 2018 mpaka leo tumekutana mara 4 na Al Ahly
Kashinda mara mbili
Nimeshinda mara mbili.
Na kikosi nilichonacho msimu huu sina wasiwasi wowote na timu yeyote.
Kabisa mkuu,hatutaki visingizioSimba wajiandae vyema ili wafanye vizuri, hatutaki aibu sisi.
Siku hiyo Simba atakuwa swalaHiyo siku Kuna kiumbe kitachapwa,kitapoteana uwanjani,hakuna kituko tutaacha kuona,kisago kitakuwa ni unlimited.. wakujiita mnyama ataliwa hiyo nyama anyamike...😂
🤣🤣 Mtalia kilio cha umbwa kokoSimba wajiandae vyema ili wafanye vizuri, hatutaki aibu sisi.
Mgongwe nyingi na Al AhylTaja jina la hiyo Michuano mliyofika fainali
Sio swala ni karungu yeyeSiku hiyo Simba atakuwa swala
Aahaaaa,karungu yeye Hana nyama nyingi mkuuSio swala ni karungu yeye
Sasa hawa makolo wananyama gani kwasasa si wanapoteana tu uwanjani sahivi...Aahaaaa,karungu yeye Hana nyama nyingi mkuu
Ongezaaa sautiiii wasikie had viziwi wa Avic town kibonde majikuna mambo yananishangaza
1. Kwan hamjui kuwa port 1 alipaswa akutane na port 2, kama mlijua, mnahisi kwenye port 1 kuna kibonde? fact ni kwamba ili uwe mkubwa lazima upambane na mkubwa, ktk misim 5 hii simba kacheza na al ahly mech 4, simba kashinda 2 ahly kashinda 2. Hapo hashinda 1 dhid na WAC na kufungwa 1 na WAC, hivyo wanasimva kwa hayo wajue timu yao ni kubwa.
2. Kuna watu wanasema sawa CAF wamesema simba kacheza fainali lakin hana kombe la maana, kwan tanzania kuna tim ina kombe la maana huko CAF zaid ya kuongeza tu ubora kwenye rank ambap simba ndiye mbabe?
3. Kuna watu wanaisema haya ni mashindano ya viti maalumu, kwan si kuna vigezo vilitumika kuwapata viti maalumu, timu yako ilikidhi vigezo?
Sent from my TECNO RC6 using JamiiForums mobile app
CAF ipi hebu eleza, wee mwenyewe kuna michuano ya CAF hata kuingia makundi ni mtihani, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hiyo unazungumzia fainali je nyie mnafurahia kumfunga Al Ahly kwenye fainali? Mna mingapi hamkugusa fainali za CAF interclub championship?
Tena kubwaa mnooo.Yaani kila mwaka lazima Simba ikutane na Bingwa Wa Afrika.
Mwakajana ilikipiga na Waidadi, Mwaka huu na Al-Ahly.
Simba kubwa.
Utopolooo mbna mna haha? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hiyo siku Kuna kiumbe kitachapwa,kitapoteana uwanjani,hakuna kituko tutaacha kuona,kisago kitakuwa ni unlimited.. wakujiita mnyama ataliwa hiyo nyama anyamike...[emoji23]
Ina mingapi kivipi wakati mwaka jana tu kacheza fainali wakati timu yako mwisho wake ni robo robo tu.CAF interclub championship simba haijawahi kushiriki hata mara moja, sijui timu yako ina mingapi?
Sent from my TECNO RC6 using JamiiForums mobile app
Kwani kuna CAF ngapi? Mashindano ya CAF interclub inahusisha champions league na confederation cup.CAF ipi hebu eleza, wee mwenyewe kuna michuano ya CAF hata kuingia makundi ni mtihani, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hiyo inaitwa zilipendwa, kwasasa tupo hapakama yanga wanalivyoupiga mwingi ngao ya jamii pale tanga
Sent from my TECNO RC6 using JamiiForums mobile app
Ndo useme hayo uliyofika final ni yapi, km ni CL au CC.Kwani kuna CAF ngapi? Mashindano ya CAF interclub inahusisha champions league na confederation cup.