Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
Ya viti maalumuMichuano gani, hii msioshiriki au ile mnayoshiriki? [emoji16]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ya viti maalumuMichuano gani, hii msioshiriki au ile mnayoshiriki? [emoji16]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbna nyie kule kwa USMA, mlishinda na Kombe alichukua aliyefungwa? Tena jumla ya mabao ikiwa sawa.Halafu kombe akabeba aliyekufa. Kweli ujinga ni mzigo, mwenzio anabeba kombe wewe unafurahia kumfunga.
Nyie mnalooo?? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Makolo furaha yao ni kushiriki,siyo kushinda kombe
ambavyo vimekufanya ukeshe kwenye uzi huu 😁Ya viti maalumu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hata utopolo walifurahia ball possession wakaishia kulalamika kipa kutokea penati kwa wizi
Ndo mtokezee mwaka huu mashindano ya CL ili tuaminiHata mwaka jana target ya kwanza ilikuwa makundi Shirikisho lakini yaliyotokea hamkuamini.
kushiriki mjadala wa Africa Football League ambayo hatushiriki 😁Asanteni kwa kushiriki
Mbna wee hujapewa viti maalumu, maana yake sifa na kigezo cha kuteuliwa huna.Ya viti maalumu
Na haturingi wala nn? Vipii wee unashirikiii??Asanteni kwa kushiriki
NdyooohHivi hizi mechi zitapigwa kwa mkapa ama?
Robo imekuja kivinginePOT 3
YANGA
GWAMBINA
AVIC TOWN
MLANDEGE
Hiyo unazungumzia fainali je nyie mnafurahia kumfunga Al Ahly kwenye fainali? Mna mingapi hamkugusa fainali za CAF interclub championship?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mbna nyie kule kwa USMA, mlishinda na Kombe alichukua aliyefungwa? Tena jumla ya mabao ikiwa sawa.
Poleeee wee.
kumbuka malengo yako ni makundi, viongoz wako walioweka malengo wanaijua vizur CAFCL kuliko wewe unayejilopokea tuIla ubingwa alichukua nani!?
Mtabaki kuishia robo miaka nenda rudi
Hulijui uliloliandika na bora uachane na mpiraIla kiukweli simba bora angepangiwa na Tp mazembe,Petro Atletico au Enyimba
kama yanga wanalivyoupiga mwingi ngao ya jamii pale tangaHalafu kombe akabeba aliyekufa. Kweli ujinga ni mzigo, mwenzio anabeba kombe wewe unafurahia kumfunga.