Kilimbatzz
JF-Expert Member
- Feb 11, 2023
- 9,134
- 14,593
Mpigie Gyan,abadilisheIla kiukweli simba bora angepangiwa na Tp mazembe,Petro Atletico au Enyimba
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpigie Gyan,abadilisheIla kiukweli simba bora angepangiwa na Tp mazembe,Petro Atletico au Enyimba
Haha kwani kuingia makundi ndio guarantee ya kubeba kombe, sasa kama kuingia makundi tu kunawashinda hiyo robo fainali si ndio itakuwa kizungumkuti sheikh wangu, sisi hatuna haja ya kuwaombea baya lolote ninyi ingieni tu hayo makundi muone mtafika wapiWe omba tu tusiingie makundi
Makundi kwanza,na nyie shindeni dhidi ya Power DynamosHaha kwani kuingia makundi ndio guarantee ya kubeba kombe, sasa kama kuingia makundi tu kunawashinda hiyo robo fainali si ndio itakuwa kizungumkuti sheikh wangu, sisi hatuna haja ya kuwaombea baya lolote ninyi ingieni tu hayo makundi muone mtafika wapi
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] teseka taratibuuu mwayaaa, habari ndo hiyoo.Si kombe la CAF? Au ni kitu gani hujaelewa?
Hilo Bonanza alitowa pesa Chief Mashood Abiola.
Kuvuka makundi jee? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]We omba tu tusiingie makundi
Wale wala hawatuumizi vichwa mkuu, sisi tumekubali ni wazee wa robo fainali na tumeshawaonesha jinsi ya kutinga robo fainali cafcl, tunawasubiri ninyi 'mabingwa' sasa mkatuoneshe namna ya kubeba kabisa kombe hiloMakundi kwanza,na nyie shindeni dhidi ya Power Dynamos
Kombe letuKuvuka makundi jee? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
AahaaaaaWale wala hawatuumizi vichwa mkuu, sisi tumekubali ni wazee wa robo fainali na tumeshawaonesha jinsi ya kutinga robo fainali cafcl, tunawasubiri ninyi 'mabingwa' sasa mkatuoneshe namna ya kubeba kabisa kombe hilo
Nimeongelea mchakato na sio kutaka kolo apangwe na nani.We ulitaka upangee na nani?
Halafu kombe akabeba aliyekufa. Kweli ujinga ni mzigo, mwenzio anabeba kombe wewe unafurahia kumfunga.Alishakufa mara kibao hadi kuna mwaka alishika nafasi ya pili kwenye group nyuma ya Simba
View attachment 2736911
AahaaaaNimeongelea mchakato na sio kutaka kolo apangwe na nani.
Makolo furaha yao ni kushiriki,siyo kushinda kombeHalafu kombe akabeba aliyekufa. Kweli ujinga ni mzigo, mwenzio anabeba kombe wewe unafurahia kumfunga.
Huwezi kuacha kufurahia matokeo. Utopolo leo wanafurahia mechi mbili za ligi kwa kuwa ndizo zilizopo kwa sasa, hakuna haja ya kukumbuka kuwa wiki mbili zilizopita wamefungwa na mnyama 😁Halafu kombe akabeba aliyekufa. Kweli ujinga ni mzigo, mwenzio anabeba kombe wewe unafurahia kumfunga.
Hamsa home and awayAl Ahly tulikuwa tunawatafuta sana hatimaye leo wameingia kwenye 18 zetu
Mashudu Abiola CupIle Historia Ambayo Yanga Walikuwa Wanaibisha Ya Simba Kufika Fainal Imesomwa hapa na CAF
WAELEWE HILO
Tena vya ccm vigeno kuvua vyupiMPAKA NA TP MAZEMBE TULIYEGONGA MPAKA UKWENI YUPO KWELI HUKU NI VITI MAALUMU
Pengine mlikuwa hamjui kinachoongelewa. Caf cup ilikuwa ni mashindano ya CAF lakini ni shindano la tatu baada ya shindano la klabu bingwa na kombe la shirikisho. Kombe la shirikisho ilikuwa inaitwa African cup winner's cup na klabu bingwa ilikuwa inaitwa African cup of champions clubs.Ndio walikuwa wanasema eti hayakuwa mashindano ya caf, yalikuwa mashindano ya Moshood Abiola wakati ni kitu kile kile, sema huyo alikuwa mdhamini ndio mashindano yakapewa jina lake
Mashudu Abiola CupKuna uto mmoja hii inamuhusu maana huwa kila akiamka anakujaga kubishia takwimu za CAF