African Football League Draw: Simba kuanza na Al Ahly

African Football League Draw: Simba kuanza na Al Ahly

Hata mwaka jana target ya kwanza ilikuwa makundi Shirikisho lakini yaliyotokea hamkuamini.
we huna akili, uliweka target ya kwanza makund shirikisho wakati hyo unayoisema kwanza ulikuwa CAFCL na ukafuzu raund ya kwanza kwa goli tisa au umechanganyikiwa maana haiwezekan uwe umesahau leo tu

Sent from my TECNO RC6 using JamiiForums mobile app
 
kuna mambo yananishangaza

1. Kwan hamjui kuwa port 1 alipaswa akutane na port 2, kama mlijua, mnahisi kwenye port 1 kuna kibonde? fact ni kwamba ili uwe mkubwa lazima upambane na mkubwa, ktk misim 5 hii simba kacheza na al ahly mech 4, simba kashinda 2 ahly kashinda 2. Hapo hashinda 1 dhid na WAC na kufungwa 1 na WAC, hivyo wanasimva kwa hayo wajue timu yao ni kubwa.

2. Kuna watu wanasema sawa CAF wamesema simba kacheza fainali lakin hana kombe la maana, kwan tanzania kuna tim ina kombe la maana huko CAF zaid ya kuongeza tu ubora kwenye rank ambap simba ndiye mbabe?

3. Kuna watu wanaisema haya ni mashindano ya viti maalumu, kwan si kuna vigezo vilitumika kuwapata viti maalumu, timu yako ilikidhi vigezo?



Sent from my TECNO RC6 using JamiiForums mobile app
Hv unadhani aliyewaita utopwinyo alikosea
 
kuna mambo yananishangaza

1. Kwan hamjui kuwa port 1 alipaswa akutane na port 2, kama mlijua, mnahisi kwenye port 1 kuna kibonde? fact ni kwamba ili uwe mkubwa lazima upambane na mkubwa, ktk misim 5 hii simba kacheza na al ahly mech 4, simba kashinda 2 ahly kashinda 2. Hapo hashinda 1 dhid na WAC na kufungwa 1 na WAC, hivyo wanasimva kwa hayo wajue timu yao ni kubwa.

2. Kuna watu wanasema sawa CAF wamesema simba kacheza fainali lakin hana kombe la maana, kwan tanzania kuna tim ina kombe la maana huko CAF zaid ya kuongeza tu ubora kwenye rank ambap simba ndiye mbabe?

3. Kuna watu wanaisema haya ni mashindano ya viti maalumu, kwan si kuna vigezo vilitumika kuwapata viti maalumu, timu yako ilikidhi vigezo?



Sent from my TECNO RC6 using JamiiForums mobile app
Hv unadhani aliyewaita utopwinyo alikosea????
 
Pole sana mkuu … huu msiba sijui mtazika au mtasafirisha
Kutoka 2018 mpaka leo tumekutana mara 4 na Al Ahly

Kashinda mara mbili

Nimeshinda mara mbili.

Na kikosi nilichonacho msimu huu sina wasiwasi wowote na timu yeyote.
 
Back
Top Bottom