Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
CAF CupLilikuwa linaitwaje?
we huna akili, uliweka target ya kwanza makund shirikisho wakati hyo unayoisema kwanza ulikuwa CAFCL na ukafuzu raund ya kwanza kwa goli tisa au umechanganyikiwa maana haiwezekan uwe umesahau leo tuHata mwaka jana target ya kwanza ilikuwa makundi Shirikisho lakini yaliyotokea hamkuamini.
Vigezo vya nan aanzie wapi vilishasemwa zamani sana wala hukupaswa kuuliza hiloMbona warabu wote wanaanzia ugenini?
CAF interclub championship simba haijawahi kushiriki hata mara moja, sijui timu yako ina mingapi?Hiyo unazungumzia fainali je nyie mnafurahia kumfunga Al Ahly kwenye fainali? Mna mingapi hamkugusa fainali za CAF interclub championship?
Dua ya kila timu ni kuomba isipangwe na Simba
Mna kisebusebu na kiroho papo??Simba wajiandae vyema ili wafanye vizuri, hatutaki aibu sisi.
Hv unadhani aliyewaita utopwinyo alikoseakuna mambo yananishangaza
1. Kwan hamjui kuwa port 1 alipaswa akutane na port 2, kama mlijua, mnahisi kwenye port 1 kuna kibonde? fact ni kwamba ili uwe mkubwa lazima upambane na mkubwa, ktk misim 5 hii simba kacheza na al ahly mech 4, simba kashinda 2 ahly kashinda 2. Hapo hashinda 1 dhid na WAC na kufungwa 1 na WAC, hivyo wanasimva kwa hayo wajue timu yao ni kubwa.
2. Kuna watu wanasema sawa CAF wamesema simba kacheza fainali lakin hana kombe la maana, kwan tanzania kuna tim ina kombe la maana huko CAF zaid ya kuongeza tu ubora kwenye rank ambap simba ndiye mbabe?
3. Kuna watu wanaisema haya ni mashindano ya viti maalumu, kwan si kuna vigezo vilitumika kuwapata viti maalumu, timu yako ilikidhi vigezo?
Sent from my TECNO RC6 using JamiiForums mobile app
Hv unadhani aliyewaita utopwinyo alikosea????kuna mambo yananishangaza
1. Kwan hamjui kuwa port 1 alipaswa akutane na port 2, kama mlijua, mnahisi kwenye port 1 kuna kibonde? fact ni kwamba ili uwe mkubwa lazima upambane na mkubwa, ktk misim 5 hii simba kacheza na al ahly mech 4, simba kashinda 2 ahly kashinda 2. Hapo hashinda 1 dhid na WAC na kufungwa 1 na WAC, hivyo wanasimva kwa hayo wajue timu yao ni kubwa.
2. Kuna watu wanasema sawa CAF wamesema simba kacheza fainali lakin hana kombe la maana, kwan tanzania kuna tim ina kombe la maana huko CAF zaid ya kuongeza tu ubora kwenye rank ambap simba ndiye mbabe?
3. Kuna watu wanaisema haya ni mashindano ya viti maalumu, kwan si kuna vigezo vilitumika kuwapata viti maalumu, timu yako ilikidhi vigezo?
Sent from my TECNO RC6 using JamiiForums mobile app
Unaona fahari kufa kiume....nliwaambia mtakuwa wa kwanza kuyaaga mashindano.POT 3
YANGA
GWAMBINA
AVIC TOWN
MLANDEGE
Dua ya kila timu ni kuomba isipangwe na Simba
Kombe la Washindi aka "Mashudu" Abiola CupCAF Cup
Watazikia hapo hapo kwa MkapaPole sana mkuu … huu msiba sijui mtazika au mtasafirisha
Taratibu.Vigezo vya nan aanzie wapi vilishasemwa zamani sana wala hukupaswa kuuliza hilo
Sent from my TECNO RC6 using JamiiForums mobile app
Ahaaaa!Aje aone nyau anavyolowa maji
Ni kubwa kweli,maana si kwa vipigo hivyoYaani kila mwaka lazima Simba ikutane na Bingwa Wa Afrika.
Mwakajana ilikipiga na Waidadi, Mwaka huu na Al-Ahly.
Simba kubwa.