ESPRESSO COFFEE
JF-Expert Member
- Sep 6, 2014
- 6,170
- 7,665
Q3
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
AhaaaaaAl Ahly tulikuwa tunawatafuta sana hatimaye leo wameingia kwenye 18 zetu
Aje aone nyau anavyolowa majiGYAN anakuja Tanzania kuangalia Game Ya Simba
Hatujawahi bisha,kikubwa hamna kombe lolote la maana kimataifaIle Historia Ambayo Yanga Walikuwa Wanaibisha Ya Simba Kufika Fainal Imesomwa hapa na CAF
WAELEWE HILO
Al Ahyl shikamoo I in advancewaliopanga hizo droo saluti.kilakibonde kawekwa naanae jiweza
Aahaaaaa,Ile ilikuwa ni bahati na sibuKwenye hii draw game nzuri ni moja tu
Na ndio sababu CAF waliamua kuiweka Simba iwe mwenyeji na mfunguzi wa mashindano kwasababu waliangalia timu ya kum challenge Al Ahly ni Simba tu.
ahali atalia sanaAl Ahyl shikamoo I in advance
Simba haijawahi kumtoa Al Ahly, haijawahi kumzuia Al Ahly isibebe kombe. Sasa sijui ni kipi cha kujivunia mpaka useme ndio timu ya kum challenge Al AhlyKwenye hii draw game nzuri ni moja tu
Na ndio sababu CAF waliamua kuiweka Simba iwe mwenyeji na mfunguzi wa mashindano kwasababu waliangalia timu ya kum challenge Al Ahly ni Simba tu.
Ile Historia Ambayo Yanga Walikuwa Wanaibisha Ya Simba Kufika Fainal Imesomwa hapa na CAF
WAELEWE HILO