Wewe ni uto square feetMPAKA NA TP MAZEMBE TULIYEGONGA MPAKA UKWENI YUPO KWELI HUKU NI VITI MAALUMU
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ni uto square feetMPAKA NA TP MAZEMBE TULIYEGONGA MPAKA UKWENI YUPO KWELI HUKU NI VITI MAALUMU
Aahaaaaa just ahaaaaaTulieni siku ya mechi mtaiona Simba halisi
Achana na hivi vimechi vya NBC ambavyo tunacheza kiuongo uongo
MPAKA NA TP MAZEMBE TULIYEGONGA MPAKA UKWENI YUPO KWELI HUKU NI VITI MAALUMU
Historia isiyo na kikombe Cha maana
Ahaaaa,anajifariji,walifikiri watakutana na kilazaSimba haijawahi kumtoa Al Ahly, haijawahi kumzuia Al Ahly isibebe kombe. Sasa sijui ni kipi cha kujivunia mpaka useme ndio timu ya kum challenge Al Ahly
Uchawi Kwa waarabu hauendiUnacho kikosi cha kumchalenge Al ahly kwa mpira wako huo wa papatu papatu, labda mlale mnaloga uwanja mpaka asubuhi
Caf cup finalist in 1993. Kwani kilichokuwa kinabishiwa ni Simba kutocheza fainali ya caf cup?
Alishakufa mara kibao hadi kuna mwaka alishika nafasi ya pili kwenye group nyuma ya SimbaAl Ahyl shikamoo I in advance
Kuna uto mmoja hii inamuhusu maana huwa kila akiamka anakujaga kubishia takwimu za CAFIle Historia Ambayo Yanga Walikuwa Wanaibisha Ya Simba Kufika Fainal Imesomwa hapa na CAF
WAELEWE HILO
Ila ubingwa alichukua nani!?Alishakufa mara kibao hadi kuna mwaka alishika nafasi ya pili kwenye group nyuma ya Simba
View attachment 2736911
Hivi unajua Yanga kupitia kwa rais na msemaji wa klabu wametamka hadharani studio za Wasafi FM kuwa malengo yao mwaka huu 2023 katika michuano ya kimataifa ni kufika hatua ya makundi ya CAF Champions League?Ila ubingwa alichukua nani!?
Mtabaki kuishia robo miaka nenda rudi
Kama ni makombe ya maana hata ninyi hamna, hapo kinachotaka kuoneshwa ni kwamba hamna sehemu yanga kafika ambapo simba hajafika kitu ambacho mlikuwa mnabisha awali, ilihali zipo sehemu ambazo simba kafika ila yanga bado hajafikaHistoria isiyo na kikombe Cha maana
Simba ya sasa hivi sio hiyo ya miaka ile ambayo wewe unaizungumzia hapa.Simba haijawahi kumtoa Al Ahly, haijawahi kumzuia Al Ahly isibebe kombe. Sasa sijui ni kipi cha kujivunia mpaka useme ndio timu ya kum challenge Al Ahly
Ndio walikuwa wanasema eti hayakuwa mashindano ya caf, yalikuwa mashindano ya Moshood Abiola wakati ni kitu kile kile, sema huyo alikuwa mdhamini ndio mashindano yakapewa jina lakeCaf cup finalist in 1993. Kwani kilichokuwa kinabishiwa ni Simba kutocheza fainali ya caf cup?