Pia Kiswahili kina msemo "Kuuliza siyo ujinga"Ni swali tu. Nimesema kwamba mimi sijui ukweli upo wapi? Ni swali tu. Mtu akiuliza swali haimaanishi kwamba anaamini kilichoandikwa magazetini. Narudia tena ni swali tu. Kuna msemo inayosema kuuliza sio ujinga. So wewe kunitukana kwamba mimi ni mpumbavu kwa kukuuliza swali is not fair ni heri ungekaa kimya wengine wajibu swali. Swali ni swali kama huna jibu kaa kimya. Mimi mwenyewe siamini madai haya ya magazeti ndio maana nimeuliza swali.
Ulishawahi kufika Nairobi - Kenya? Je ulipofika ulitembelea hospitali ngapi?Ke-NYANIZ (a.k.a KE-MONKEYS) kwa kupenda sifa hamjambo.
Yaani JPM aje kutibiwa nairobi?????
You must be total fallaz
Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
Vipi kama yupo kwenye hali ya kutokuwa na ufahamu (kutojitambua)?Halafu kwa ego ya magufuli bado hawezi kufanya kitu kama hicho, na vile vile kwa ego ya wakenya, ni lazima wangeonyesha angalau picha ya ndege iliyomtelemsha.
Mungu hajaribiwi...
Mkuu iwe ukweli au tetesi, kwani nchi hii ya kipuzi aje? Hamna Govt Spokesperson to come clean? Madai kama haya sio upinge tu apa na mafeeling! There's a problem, where's is Tzs Presidential Press Unit to shed light? Ata kama yuko China watangaze??FYI hawezi kuja huko hata siku moja amekuwa akitibiwa Tanzania na ataendelea kutibiwa Tanzania! msijishaue! Yaani aache Mkapa hospital, MOI, Mloganzila na JKCI aje Kenya! seriously? mbona mna over exxagerate ur importance? Nyie ni wajinga kiasi gani?
Akizinduka utaona picha mitandaoni akipiga wali samaki kwa mama ntilie huko pande za mwanza. ..ana dogo huyu basiiKama ni kweli yuko hospitalized Nairobi! Hii aibu sijui Magu ataruka vipi hapa East Africa?
It will shows hospital facilities za Tanzania ni mediocre and local Kama nyimbo za Ken Wa Maria. [emoji16]
Sio kwamba anashida zingine za moyo? Sio mara moja naisikia hiyoCOVID-19 sio ugonjwa wa kutafutiwa msaada wa kitabibu nje ya nchi. Hakuna nchi ambayo inauwezea kuliko nchi nyingine!
Hivi ndivyo nchi zinazojifahamu huweka taarifa wazi! Sio kuficha mambo!
Media za Kenya zinamuogopa Magufuli maana Citizen TV ilipoleta habari yenye heading "ukaidi wa Magufuli" walilazimishwa kuomba msamaha kila siku kwa wiki nzima. Kwa hivyo usitegemee Nation media kumtaja Magufuli kwa jina maana Nation inaweza kuwa sued na gazeti lake la The East African kupigwa ban hapo Tanzania. Saa hii wamefanya vizuri kutomtaja jina ili wasilaumiwe baadaye na serikali ya Tanzania.
Kabisa mkuu , Hii Kenya hakika imeboreshwa mno !"Kaskazini mwa Afrika"?
Sidhani, wapi Sudan, atakwenda Egypt. Sioni Ethiopia akienda Kenya.
Libya, Tunisia, Algeria, wote hawawezi kwenda Kenya!
Hata Somalia kwa sababu maalum, hawezi kwenda Kenya.
Djibouti? Eritrea?; au Kaskazini tuiweke Sudan ya Kusini, na hata Afrika ya Kati?
Hawa jamaa majigambo huwa ni makubwa kwao. Tusubiri kama ni kweli.
Basi inaonekana na wewe pia hujui maana ya neno treatment ni nini. If you have a disease that has no cure, then there is no treatment for that disease!. Treatment and pain management are two different games in health science.Najua kizungu ni ngumu kwenu.
But let me correct you.
Covid has no cure.
But Covid has treatment.
Those who receive the best treatment have the best chance of surviving.
Misaba tenaFamilia ya ben saanane inasemaje)?
Ukweli ni Kama "Ushuzi" haufichiki !!Nakuelewa. Unajua habari za magazetini lazima tuwe makini nazo. Zinaweza kupotosha. Anyway time will tell. Ukweli utajulikana tu baadaye.
Basi inaonekana na wewe pia hujui maana ya neno treatment ni nini. If you have a disease that has no cure, then there is no treatment for that disease!. Treatment and pain management are two different games in health science.
Awamu ya 5 imeifanya Tanzania kuwa Nchi ya wapiga ramli...Hospitali kuu Tanzania inafunga tanuri la kujifukiza, unategemea nini zaidi. Heri kutibiwa Nairobi
Kuna mambo muhimu ya kushughulikia!!! Ukitolea ufafanuzi kila tetesi utafanya kazi saa ngapi!?Hamna Govt Spokesperson to come clean
Wew nae ni mpumbavu acha kutuabishaBasi inaonekana na wewe pia hujui maana ya neno treatment ni nini. If you have a disease that has no cure, then there is no treatment for that disease!. Treatment and pain management are two different games in health science.