Yuko kwenye ventilator hawezi kusafiri, ngoma iko hapo.Geza Ulole joto la jiwe The best 007 ichoboy01 tuusan eliakeem
Je, ni kweli kwamba rais wenu Magufuli hajaonekana hadharani kwa wiki mbili sasa? Inasemekana kwamba anapata matibabu Nairobi. Mimi sijui ukweli wa madai haya lakini tutajua ukweli very soon. Siamini madai haya unless walete evidence.
Rais amekua mwari haonekanimkuu, hivi unataka muuguzi atoe siri za mgonjwa??? hivi una akili timamu kweli wewe?
kama kweli Rais yuko nchini na anatekeleza majukumu yake, mbona hatumuoni wala kumsikia kwenye vyombo vya habari?
wewe jamaa unahitaji fimbo za kisawasawa na maombi juu yake ili akili zako zirudi sawa.
meanwhile, tuzidi kumuombea Rais wetu mpendwa apate uponyaji wa haraka.
Narudia tena , unapokuwa Mahututi wanaokuuguza ndio wanaoamua ni wapi wakupeleke ili wakunusuruNaweza kukubali kiongozi wangu labda atakuwa anaumwa lakini kutibiwa Kenya nitakuwa wa mwisho kuamini
🤣🤣🤣Tutachoma nyama kaka
Kuna wakati walimtamani awe wao wasijekuwa wamemuiba??Media za kenya kujeni hapa mtuambie ukweli. Maana uyu mtu tunamsaka kila kitaa hayupo kama kwel mmemficha huko na hamsemi tutawafungulia mashtaka mjue?
Kwan mnataka kumfanyia nini?
Kama malimao hata huku yamo, nyungu pia zimo..turudishie mtu wetu.ohooo. sisi hatutakubali kusikia story nyingine...ohooo...nyie chezen tu na akili zetu.
Nasema hiviii maana nyie hamjui kiswahili. Tunamtaka mtu wetu. Tena leo tumsikie...tuna miradi huku yakuzindua. La sivyo tusitafutane ubaya tukikiwasha. Uwezo tunao nguvu tunazo nia tunazo tusitishane.
leo tumsikie...tuna miradi huku yakuzindua. La sivyo tusitafutane ubaya tukikiwasha. Uwezo tunao nguvu tunazo nia tunazo tusitishane[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]Media za kenya kujeni hapa mtuambie ukweli. Maana uyu mtu tunamsaka kila kitaa hayupo kama kwel mmemficha huko na hamsemi tutawafungulia mashtaka mjue?
Kwan mnataka kumfanyia nini?
Kama malimao hata huku yamo, nyungu pia zimo..turudishie mtu wetu.ohooo. sisi hatutakubali kusikia story nyingine...ohooo...nyie chezen tu na akili zetu.
Nasema hiviii maana nyie hamjui kiswahili. Tunamtaka mtu wetu. Tena leo tumsikie...tuna miradi huku yakuzindua. La sivyo tusitafutane ubaya tukikiwasha. Uwezo tunao nguvu tunazo nia tunazo tusitishane.
Kwani kawa babakiwuTunataka kuchoma yeye kama viranga
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Akpona atakufanya vbayaa[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kuna mtanzania hapa amesema ukiwa mgonjwa hauna uwezo wa kuchagua hospitali, i thought that answers that question perfectly wellKwanza kwenye akili tu inakataa,apelekwe Kenya wakati alikua ataki kabisa na awa majirani wanaojifanya wao ni East Africa Super Power..
Ivi kujenga ukuta wa Merelani unadhani yeye ajui ni chukizo kubwa sana kwa Kenya?
Alafu augue eti apelekwe Kenya?
Rais wa Tanzania hawezi kupelekwa Kenya ambayo hawana hudumu nzuri zaidi yetu labda south afrika au ulaya.Kuna mtanzania hapa amesema ukiwa mgonjwa hauna uwezo wa kuchagua hospitali, i thought that answers that question perfectly well
Hujamuona leo alikuwa public?Huyu Ticha wangu wa uchumi mlimani namuonea huruma sana
Una uhakika?Rais wa Tanzania hawezi kupelekwa Kenya ambayo hawana hudumu nzuri zaidi yetu labda south afrika au ulaya.
Ndiyo wa asilimia 100 viongozi wa juu wa serikali hawawezi kwenda kutibiwa Kenya hamna jipya Kenya labda south afrika au ulaya India na China.Una uhakika?
Mtaweweseka Sana ila ndio hivyo baneni mbupu Jiwe apone vinginevyo watu wanaandaa vyomboThese are silly propaganda.
None of these reports have been precise about the actual name of the hospital he has been admitted, they simply say Nairobi hospital.
How many hospitals do you have in Nairobi?
They are going even further, claim doctors are weighing options, blah blah! If the have access to all these info why cant they give the hospital name??
Bila shaka wamemtoa hapo kuepusha kuvuja zaidi kwa taarifa za hali yake maana hapo kuna ma informer kibaoBasi yuko wapi Rais? Umesahau Lissu ni hasidi wa Pombe kisiasa. Unadhani hawezi kuwa na taarifa za kule Rais yupo?
Lissu baada ya kulishwa marisasi, alikuja tibiwa the same Nairobi Hospital where he made friends with staff there. Hawa marafiki wake wakiwemo madaktari ikiwa bado wanawasiliana hapo ndipo taarifa hizo zilivyovuja, jana lakini Rais kapelekwa India.
The smart thing to do is for your govt to come forward kuzima tetesi hizi.