I like the way JPM is taking the fools for the ride
Which ride? A ventilator is not a locomotive dummy. Read the signs of the times nigga! How far are you willing to go with your sychophancy, are you a robot?
Kwa hakika ni wajinga wa kutupwa....Yaani eti JPM aende Kenya?! Mijinga imenasa kwenye mtego wa misinformation manouvers, an old trick of intelligence organizations...Nchi imejaa mapunguani, yaani yanaamini JPM anaweza enda kutibiwa Kenya, katika nchi zote njema za Ulimwengu huu ndio aende Kenya??
Leave alone JPM anaamini madaktari wake wazawa always na hata ingekuwa Kenya wana hiyo capacity ya kumtibu Rais (ambayo hawana) angeenda hata South Africa, China au India,
Yaani hata kwa akili ndogo tu useme Joe Biden akatibiwe Russia,
Mikenya ni Mijinga na haibadiliki miaka nenda rudi yaani. Inazeeka na ujinga wao.
Hivi wanaokataa kuwa hajatangulia hawaamini kama angekufa au?sasa naelewa kaa nini kulikuwa na kusifu na kuabudu, alifanywa mungu
So we are talking about Englisha Language now, You've been trapped in your own stupidity old man, as fool as typical Kenyans.You don't even understand simple, basic Grade 1 English. I don't know why I expected you to understand that alot of leaders who have enormous responsibilities, president Uhuru Kenyatta included, have handlers for their official social media accounts.
Yaani huwa ukiwatazama na Kingereza cha kikamba unawahurumia tu,Kwa hakika ni wajinga wa kutupwa....Yaani eti JPM aende Kenya?! Mijinga imenasa kwenye mtego wa misinformation manouvers, an old trick of intelligence organizations...
Ambia huyo Mkenya mwenzio Mwedawazimu hapo anasema hiyo like sio ya JPMNawahurumia sana mamilioni ya Watz huko kijijini ambao wanakusanyika makundi kwenye runinga za mighahawani.....
Afueni kwa MATAGA kama wewe kidogo naona "like" ya kwenye tweet imekutuliza presha.
Msiwe na hofu, huyo babu ni fighter, tena mbishi kweli kweli na nategemea kuona akiibuka kuzindua mradi sehemu.
Sema tu nahisi TISS na NIS wa Kenya wameshirikiana kwenye kuchanganya akili za watu.
Did you just use a like on Twitter as proof of life? [emoji1][emoji1][emoji1] I thought you were just faking it but I see now that you are definately a certified dunderhead. Even Babu wa Loliondo must have handlers for his social media accounts.
You can't see things in bigger picture despite your old age. Vijana tukiwadharau mnatuona jeuri.If that man is in a ventilator it means he's lost atleast 60% of his pulmonary functions.
If he does not show up for Sunday service today.... buckle up because this will be, at the very minimum, a month long saga
Yaani hadi mmegeuka witches, [emoji3][emoji3][emoji3]Hehehe!! Nimecheka sana, aki sikujua huyo game over ni punguani kiasi hicho, ila itabidi umuelewe maana MATAGA wote wamechanganyikiwa na kupoteana kwenye hili maana, wanahangaika wakitafuta chochote na popote yaani hata "like" ya tweet kwo ni habari kubwa sana kipindi hiki.
Ambia huyo Mkenya mwenzio Mwedawazimu hapo anasema hiyo like sio ya JPM
At this moment It takes stupidity to think JPM Acount can be handled by any other person and again think he is unconscious. Bure kabisa nyie watu wazima
Hehehe, hivi unachukuliaje huu mchezo mliochezewa safari hii ?Wewe ndiye unaonyesha ulivyo pimbi kwa kukaa ukitegemea "like" ya kwenye tweeter kuwa ndio chanzo chako cha habari....hehehe
Hehehe, hivi unachukuliaje huu mchezo mliochezewa safari hii ?
By the way Poleni Naskia Kirusi kinatandaka hapo Nairobi hatari,
Nawaombea mvuke salama. Demu wangu hapo Nairobi amefiwa ba baba yake..
Hata hio ban ya import ya mahindi ilkuwa suspect.Kama kuna mchezo unaochezwa, itakua kwa ushirikiano wa TISS na NIS ya Kenya, maana pale ilisemwa amelazwa kwetu hapa, hospitali yetu ingetoa press conference kukanusha, wewe kwa akili yako umevimbiwa ubwabwa hapo na kujiaminisha TISS itacheza mchezo kusema yuko Nairobi na NIS yetu wasijue kweli yupo au la.
Ikulu yetu iko kimya, hakuna hata kiongozi mmoja ametolea tamko, hospitali iko kimya.....nyie makajamba wa mtaani ndio mumechezewa gemu, na ili kuwadumaza ikachezwa ya kuzuia mahindi ili mkurupuke kama taifa na kuongea ongea lawama dhidi ya Kenya hadi ipite wiki moja au mbili ili muda upatikane wa kumpa mkulu wenu aibuke kuzindua kamradi sehemu na kuonyesha yupo yupo, sema naona imeshindikana na kuvuta muda sana zaidi ya walivyokisia na sasa zuio la mahindi limeondolewa.
Haya magemu huchezwa sana na hizi taasisi za intelijensia, kuna wakati hata CIA na KGB hushirikiana kwenye baadhi ya mambo.
Kuhusu wimbi la tatu au hata la kumi isikupe tabu maana walau kwetu tunafuatilia na kujuzwa, kwenu huko mumekaa mpo mpo tu hata hamna habari jua linachomozea wapi na kuzamia wapi, mumekaa kufuatilia nyuzi za tanzia tu.
Kuna alot of amref flight activities that has happened this week from tz to wilson
FDS04 Live Flight Tracker - Real-Time Flight Tracker Map | Flightradar24
He is just a dimwit, he believes Kenya and Tanzania are the worst of enemies, its always business nothing personalgame over nakuonea huruma kwa wewe ambaye umeimbishwa nyimbo za kizalendo dhidi ya corona wakati wenye hela wanatuibukia Nairobi....