Afrika bana, nchi yote ya Tanzania umeme umekatika

Afrika bana, nchi yote ya Tanzania umeme umekatika

povuuuu,nenda ukachukue buku umalize njaa😀
Hilo gazeti ni la kipumbavu sana, ona lilivyoandika habari kishabiki, Ni wazi kabisa ni Gazeti la Kenya hili,
Eti world Heritage my foot, mnadhani ni zile zama za JK na ufala wa Serengeti watch, Huu ni utawala wa chuma, Tunajenga chochote, popote kwenye nchi yetu na hakuna yeyote wa kutuletea fyokofyoko, awe Mkenya au mzungu,
Halafu tupo na 1750MW sasa hivi sio 1500MW kama hilo gazeti la udaku linavyodai..
Na tukimaliza kinyerezi IV tutakuwa kwenye 2500MW hapo bado mradi mkubwa wa HEP tunaojenga kwenye GAME RESERVE!
 
Umeme safari hii ni unakatika sijawahi kuona sasa hivi saa 11:17 umeme hakuna na ni mara ya tatu unakatika na kurudi viwanda VIFUNGWE WAZUNGU MRUDI KWENU
 
East Africa's Third economy ndo Tanzania?
Una uhakika na takwimu zako za kiuchumi?
Halafu hapa nilipo mbona umeme upo!! au nipo nje ya Nchi yangu pendwa?
 
Hivi kwa mtindo huu tutafika kweli kwenda kwenye uchumi wa viwanda na treni za kutumia umeme ikiwa hitilafu moja inatia nchi yote kwenye kiza.

--------------------------------------------------------------

Tanzania was hit by a country-wide blackout early on Thursday due to a technical glitch in its national power grid, the country’s state-run electricity supplier said.

“A technical fault ... caused all regions connected to the national power grid to lose electricity supply,” the Tanzania Electric Supply Company (Tanesco) said in a statement.

The outage occurred at around 0400 GMT (7am local time) on Thursday, and it was still trying to fix the fault, the company said.

Partial blackouts occur regularly in Tanzania, which relies on hydro, natural gas and heavy fuel oil to generate electricity. Many businesses use power generators as backups, pushing up their operating costs.

Tanzania invited bids in August to build a 2,100-megawatt (MW) hydroelectric plant in a World Heritage site renowned for its animal population, despite opposition from conservationists to the long-delayed project.

Tanzanian president John Magufuli is personally backing the project at Stiegler’s Gorge in the Unesco-designated Selous Game Reserve and sees it as vital to diversify Tanzania’s energy mix and end chronic electricity shortages.



The project would more than double the country’s current power generation capacity of around 1,500MW. The government did not say how much the project would cost and how it would raise financing, but wants it completed within three years.

Tanzania’s energy infrastructure has suffered from decades of underinvestment, neglect and corruption allegations, and investors have long complained that the lack of reliable power hurts business in East Africa’s third biggest economy.

Tanzania suffers national power outage

Na huko kwenu Kenya vipi?? Nasikia eti mnataka tuje huko kuwekeza na tutumie National ID tu kuingia kwenu. Eti kweli mkuu lakini ardhi mnayo?? nasikia eti ardhi ya Kenya karibu robo tatu inamilikiwa na ukoo wa Kenyatta hayo ni kweli mkuu???. Mkuu eti hiyo habari ni ya Gazeti la Kenya au??
 
Habari imeandikwa na gazeti la The East African..

Hapo huna hata haja ya kujiuliza.. majirani kama kawaida wapo kazini kwenye propaganda..

Halafu angalieni hapo kwenye aya ya mwisho.. wamesema Tanzania ni 3rd largest economy.. wakimaanisha Ethiopia ni ya kwanza, Kenya ni ya pili..

Lakini tafuta article nyingine.. utaona Kenya imeandikwa 1st largest economy..

Hili gazeti lilipofungiwa kipindi kile sikushangaa..
 
Na huko kwenu Kenya vipi?? Nasikia eti mnataka tuje huko kuwekeza na tutumie National ID tu kuingia kwenu. Eti kweli mkuu lakini ardhi mnayo?? nasikia eti ardhi ya Kenya karibu robo tatu inamilikiwa na ukoo wa Kenyatta hayo ni kweli mkuu???. Mkuu eti hiyo habari ni ya Gazeti la Kenya au??

Hehehehe! Naona unatumia neno 'naskia' mara nyingi, jitutumue utoke hicho kitaa uone dunia, kuna Watanzania huku wanapiga misele kwa kwenda mbele. Njoo na kitambulisho chako ila ujiandae kuwa mchakarikaji, usije na huo uvivu wenu. Waulize watu wa Arusha na Kilimanjaro waliojazana huku.
 
Hehehehe! Naona unatumia neno 'naskia' mara nyingi, jitutumue utoke hicho kitaa uone dunia, kuna Watanzania huku wanapiga misele kwa kwenda mbele. Njoo na kitambulisho chako ila ujiandae kuwa mchakarikaji, usije na huo uvivu wenu. Waulize watu wa Arusha na Kilimanjaro waliojazana huku.
Hukuelewa logic yangu ya kutumia neno "nasikia" inahitajika ubongo wako uwe unafanyakazi vizuri ili uelewe nilikuwa na maanisha nini mkuu. Nimeishi na kufanyakazi Nairobi maeneo ya West Land kwa miaka kibao hivyo naijua Kenya na wakenya wenyewe kuliko uzaniavyo mkuu!!
 
Kweli tunaelekea kwenye uchumi wa kati, Tanzania ya viwanda, Utawala wa Magu!
 
Lakini tukinunua juice na hizo ndala kutoka mnalalamika hata juice na ndala tunaagiza? Najua hapo ulipo hata katoni moja ya juice huwezi nunua ila kupinga kila kitu unamudu


Nikishangilia kukosekana kwa stable power ndio nitaweza kununua carton ya juice? Pathetic

National grid imekaa miaka 56 kama national grid ikipata hitilafu basi kwa kuwa ni national grid tunyamaze huoni tatizo hapo? Hii grid ya taifa ikiamka na kulala hivi one month unajua kitachotokea?
 
Back
Top Bottom