Afrika hii tabia tutaacha lini?

Tuliongozwa na ........
Halafu akaja mwingine nae akasema " Sijui kwanini sisi masikini
Hao ndio walipewa nchi kucheka cheka tu
 
Sisi tunao wataalamu tena wabobezi shida ni hii tabia ya walio pewa dhamana kuahirisha kufikiri kwa nafsi a.k.a kujizima data , yaani unyumbu, unyumbu ni tabia ya wanao pewa dhamana kuahirisha kufikiri kwa nafsi kwasababu ya kujipendekeza ama kulitumikia kundi fulani kwa masilahi binafsi na uoga kwa viongozi wao bila utii, (unafiki), anaye sema ukweli, (kujutia), jibu lake alienda porini kuchimba dawa
 
"Black people are not complete human beings because THEY DON'T HAVE A GOOD BRAIN to govern the society as White people. They are still under the process of becoming the complete human beings."

Pieter W. Botha, a former President of South Africa during the Apartheid era.
 
"Let us agreed that Black people cannot rule themselves, Whites are born in order to rule and Blacks are born to be ruled.

Pieter W. Botha, a former President of South Africa during the Apartheid era.
 
Duh...!, yamekuwa hayo?.
P
Yap, matatizo yote haya ni sababu ya mifumo yenu ya hovyo, serikali ya Tanzania ina matumizi makubwa ya anasa kuliko serikali ya Marekani, bunge la Marekani lina kaa miezi 4 kujadili budget ya kutumika miezi 12? kuna misafara ya hovyo kama huku? kuna magari ya anasa kama Tanzania?
 
"Let us agreed that Black people cannot rule themselves, Whites are born in order to rule and Blacks are born to be ruled.

Pieter W. Botha, a former President of South Africa during the Apartheid era.
Mablack waonje Kwanza utawala wa kijeshi miaka 3 ili wanyoloke hakuna cha wabunge hapo jeshi mtaa kwa mtaa ole wako ukojoe kitandani hakuna mboko ni push ups na kichura chura
 
Huu ni upu Huu ni upumbavu ambao mara kadhaa nimekuwa nikiupinga hapa JF,kwa serikali kupenda starehe na matumizi ya anasa mfano ni bajeti ya Tamisemi ya kununua magari ni kubwa kuzidi ya baadhi ya wizara kama ya biashara na Viwanda.
 
Matendo yetu yamekuwa Sawa na maneno ya dhihaka toka kwa Kaburu Botha,kwamba hatuna akili ya kuongoza na kujiongoza.Yote haya sababu ya viongozi wetu wanao jali matumbo Yao tu.
 
Mablack waonje Kwanza utawala wa kijeshi miaka 3 ili wanyoloke hakuna cha wabunge hapo jeshi mtaa kwa mtaa ole wako ukojoe kitandani hakuna mboko ni push ups na kichura chura
Nchi kadhaa za Afrika mfano Nigeria,imepitia katika tawala nyingi za kijeshi,je,Kuna nini kilicho badilika zaidi ya kushamiri kwa rushwa.

Utawala wa kijeshi sio suluhu ya matatizo yetu,Sudan ipo katika utawala wa kijeshi,lakini hakuna amani na usalama.
 
Lengo watu waache kujitoa ufay
Lengo langu wanao pewa dhamana waache kuahirisha kufikiri kwa nafsi a.k.a kujizima data, wewe unadhani nini kifanyike ili wanaopewa dhamana waache kuahirisha kufikiri kizalendo
 
😭😭😭😭
 
Huu ni upu
Huu ni upumbavu ambao mara kadhaa nimekuwa nikiupinga hapa JF,kwa serikali kupenda starehe na matumizi ya anasa mfano ni bajeti ya Tamisemi ya kununua magari ni kubwa kuzidi ya baadhi ya wizara kama ya biashara na Viwanda.
Ndiyo hivyo mkuu, nchi imejaa rushwa kwenye ununuzi wa magari kuna rushwa kubwa sn
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…