Afrika inaongozwa na wanasiasa uchwara

George Bush mtoto alikuwa mvuta bangi na hakuwa na matokeo mazuri chuoni, lakini alikuwa Rais wa Marekani kwasababu ya connections za wazazi wake. Tusijidharau!!
Kwa hiyo kwako George Bush unamwonaje?
Nadhani kati ya watu ambao Marekani itawakumbuka milele ni pamoja na yeye ndo maana alipewa 2 terms
 
Viongozi wenyewe akina Kigwangala na akina Salma Kikwete
 
Kama magu hii ndo inathibitisha Africa bado Sana matumizi ya nguvu bila akili.
 
Mstaafu mmoja alipata kusema URais au Uwaziri hausomewi !
Nikajua kumbe hivi vyeo ni vya bahati bahati tu na kujuana juana !
Kwakweli nilishindwa kumuelewa !
Wakati anamaliza muhula wake walijitokeza wanasiasa zaidi ya 40 kutoka kwenye Chama chake wakiutaka URais !! 🙏🙏
 
Sijui Mzee wa watu alikukosea nini hicho ambacho akisameheki!!
Anyway, sisi tunajadili walioko hai, waliokufa tuachane nao maana hawawezi kutusaidia kwa lolote na wala hawawezi kujitetea pia
Kama magu hii ndo inathibitisha Africa bado Sana matumizi ya nguvu bila akili.
 
Sijui Mzee wa watu alikukosea nini hicho ambacho akisameheki!!
Anyway, sisi tunajadili walioko hai, waliokufa tuachane nao maana hawawezi kutusaidia kwa lolote na wala hawawezi kujitetea pia
Ni moja ya viongozi uchwara nimemtaja ili kunakisha mada yako
 
Viongozi wa Africa ni wajinga wa kupindukia! limtu kama Paul Biya, Kisekedi, Tinubu,Mnangagwa, Kirr, Ndayishimiye na lile li Bongo walilolipindua kule Gabon.

Binafsi namkubali sana General Paul Kagame yule jamaa ni akili kubwa sana, kidogo na Hichilema wa Zambia na yule mtumishi wa Mungu wa Malawi H.E Lazarius Chakwera.
 
Huyu sawa wengine wote ni hewa tupu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…