Afrika inaongozwa na wanasiasa uchwara

Afrika inaongozwa na wanasiasa uchwara

Viongozi wa Africa ni wajinga wa kupindukia! limtu kama Paul Biya, Kisekedi, Tinubu,Mnangagwa, Kirr, Ndayishimiye na lile li Bongo walilolipindua kule Gabon.

Binafsi namkubali sana General Paul Kagame yule jamaa ni akili kubwa sana, kidogo na Hichilema wa Zambia na yule mtumishi wa Mungu wa Malawi H.E Lazarius Chakwera.
Best African Leaders currently:
1. Capt. Ibrahim Traolè, Burkinabe President
2. H.E Paul Kagame of Rwanda
3. Wale jamaa waliopindua Niger (kwa taarifa tu ni kwamba uchumi wa Niger unakua kwa asilimia zaidi ya 8 hadi sasa!)
Labda na hao wengine uliowasema kina Hichilema na Chakwera.
 
Viongozi wa Africa ni wajinga wa kupindukia! limtu kama Paul Biya, Kisekedi, Tinubu,Mnangagwa, Kirr, Ndayishimiye na lile li Bongo walilolipindua kule Gabon.

Binafsi namkubali sana General Paul Kagame yule jamaa ni akili kubwa sana, kidogo na Hichilema wa Zambia na yule mtumishi wa Mungu wa Malawi H.E Lazarius Chakwera.
Best African Leaders currently:
1. Capt. Ibrahim Traolè, Burkinabe President
2. H.E Paul Kagame of Rwanda
3. Wale jamaa waliopindua Niger (kwa taarifa tu ni kwamba uchumi wa Niger unakua kwa asilimia zaidi ya 8 hadi sasa!)
Labda na hao wengine uliowasema kina Hichilema na Chakwera.
 
Poa mkuu Burkinabe
Huwa nakukubali sana Mkuu.
Maana mtizamo wako na wangu huwa vinaendana kwa asilimia kubwa sana hasa linapokuja suala la uzalendo kwa nchi yetu na bara letu la Afrika kwa ujumla.
Eti mtu kwa mfano, ni Rais wa Cameroon, lakini maskani yake ya kuishi ni Switzerland!
Afrika kazi tunayo akyanani
 
Tunawataka kina Benjamin Netanyau wengi zaidi Afrika.
Tunawataka kina Paul Kagame wengi zaidi Afrika.
Tunawataka kina Vladimir Putin wengi zaidi Afrika.
Tunawataka kina Xi Jinping wengi zaidi Afrika, n.k
 
Back
Top Bottom