Uko sawa MkuuHuyu sawa wengine wote ni hewa tupu
Poa mkuu BurkinabeUko sawa Mkuu
Best African Leaders currently:Viongozi wa Africa ni wajinga wa kupindukia! limtu kama Paul Biya, Kisekedi, Tinubu,Mnangagwa, Kirr, Ndayishimiye na lile li Bongo walilolipindua kule Gabon.
Binafsi namkubali sana General Paul Kagame yule jamaa ni akili kubwa sana, kidogo na Hichilema wa Zambia na yule mtumishi wa Mungu wa Malawi H.E Lazarius Chakwera.
Best African Leaders currently:Viongozi wa Africa ni wajinga wa kupindukia! limtu kama Paul Biya, Kisekedi, Tinubu,Mnangagwa, Kirr, Ndayishimiye na lile li Bongo walilolipindua kule Gabon.
Binafsi namkubali sana General Paul Kagame yule jamaa ni akili kubwa sana, kidogo na Hichilema wa Zambia na yule mtumishi wa Mungu wa Malawi H.E Lazarius Chakwera.
Huwa nakukubali sana Mkuu.Poa mkuu Burkinabe
Msimamo wangu ni uzalendo kwanza kwa nchi yangu na siyo kwa mtu kisa shibe, lazima tutengeneze future ya watoto wetu na siyo kuwa chawa wa majangili ya mali za umma.Huwa nakukubali sana Mkuu.
Maana mtizamo wako na wangu huwa vinaendana kwa asilimia kubwa sana.
Kabisa Mkuu.Msimamo wangu ni uzalendo kwanza kwa nchi yangu na siyo kwa mtu kisa shibe, lazima tutengeneze future ya watoto wetu na siyo kuwa chawa wa majangili ya mali za umma.