- Thread starter
- #41
Siku Zote wanaaemaga haya mambo ni ya kanisa katoliki, lakini sijuhi kwa hili watasemaje.Habari mbaya Sana hii kwa wavaa kobazi watakuja kupinga na kauli zao za k*f
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siku Zote wanaaemaga haya mambo ni ya kanisa katoliki, lakini sijuhi kwa hili watasemaje.Habari mbaya Sana hii kwa wavaa kobazi watakuja kupinga na kauli zao za k*f
Mmtafute mumukate kichwa.Msikit kwanza haumilikiwi wala kuanzishwa na imam hao watu sio waislam ni propaganda na pia hakika ya muislam ni mtu ambaye anajizuia na maovu na pindi afanyapo basi hujificha si wazi wazi
"A gay imam's story: 'The dialogue is open in Islam – 10 years ago it wasn't' | World Economic Forum" A gay imam's story: 'The dialogue is open in Islam – 10 years ago it wasn't'Hao Ni makafiti wa west wanajarribu kufix wajinga wao kuonyesha uislamu upo hapo,
Hii dini ilishakamilika haiwezi kuvurugws na Kim's yoyote, nyie endeleeni na ushoga wenu huko mwisho mtauona
"A gay imam's story: 'The dialogue is open in Islam – 10 years ago it wasn't' | World Economic Forum" A gay imam's story: 'The dialogue is open in Islam – 10 years ago it wasn't'Uislamu unakataza huu uchafu, kuna mengi yamejificha nyuma ya pazia, huenda anatumiwa kuuchafua uislamu, au yeye sio muisilamu, au muislamu jina kwa maana haufuati uislamu. Hapo kuna mengi yamejificha. So msikimbilie kushabikia vitu bila kujua chanzo ni nini
Kwa sasa imekuwa hatari zaidiUshoga ktk mashariki ya kati ulianza enzi na enzi sasa nashangaa kama leo mtu anaongelea ushoga wa Ulaya tu wakati leo hii hata Tanzania mashoga ni wengi.
Hii ni dhambi tu kama dhambi nyingine ambayo haina mpaka na haibagui dini, kabila wala jinsia.
Biblia imeyasema haya kwamba ktk siku za mwisho dhambi zitaongezeka na ktk nchi za kiislamu hii dhambi haiwekwi wazi na inafichwa sana. Itakumbukwa kwamba walioleta mambo ya ushoga ktk Afrika Mashariki walikuwa ni waarabu wakati wakifanya biashara haramu ya utumwa.
Imekuwaje wakashindwa kuwakata vichwaKaka dunia imekuwa ya kishenzi sana,nikumuomba mwenyezi Mungu atuepushie kizazi chetu na mabalaaa haya,sio dini tena.hebu cheki taka taka hizo.View attachment 2304988
Bibi Faiza Foxy hapa hawezi kupita hata kwa kubundukiUmemsahau na yule bibi kizee..anajiita faizafox.
#MaendeleoHayanaChama
Huku mnakoenda mnavuka mipaka. yaani ina maana unataka kusema kila mwanaume mtu mzima aliyenyoa ndevu zote ni fala?Ukishaona mwanaume wa makamo kanyoa ndevu zote na mustachi usimuangalie mara mbili, PIGIA MSTARI
Nikiwa nae itabadilisha nini? Sisapoti mtu kuwa shoga lkn siwezi kupoteza muda kupinga kitu ambacho hakuna mwenye uwezo wa kubadili.Una mtoto wa kiume?
Utakuwa neutral ukigundua mtoto wako wa kiume ni hasara?Nikiwa nae itabadilisha nini? Sisapoti mtu kuwa shoga lkn siwezi kupoteza muda kupinga kitu ambacho hakuna mwenye uwezo wa kubadili.
Lea mtoto wako wa kiume vzr ili asiingie huko, ukifanikiwa ni jambo zuri .
Mungu mwenyewe kashindwa sembuse mimi?
Unadhani nitaweza kumrudisha kawaida ikitokea? Nimnyonge au nijinyonge? Nitasikitika lkn sitaweza kufanya chochote.Utakuwa neutral ukigundua mtoto wako wa kiume ni hasara?
Utasikitika lakini hapohapo unasema uko neutral sasa hivi?Unadhani nitaweza kumrudisha kawaida ikitokea? Nimnyonge au nijinyonge? Nitasikitika lkn sitaweza kufanya chochote.
Nipo neutral kwenye kukemea yaani sioni sababu ya kupinga kitu kilichoshindikana, kama ni dhambi na Mungu yupo kama mnavyo amini basi tumwachie yeye, watawajibika kwake. Tunapoteza mudaUtasikitika lakini hapohapo unasema uko neutral sasa hivi?
Mzazi kuwa neutral juu ya huu upuuzi ndio mwanzo wa kupoteza mtoto wake especially wa kiume.
Nipo neutral kwenye kukemea yaani sioni sababu ya kupinga kitu kilichoshindikana, kama ni dhambi na Mungu yupo kama mnavyo amini basi tumwachie yeye, watawajibika kwake. Tunapoteza muda
Sawa mkuu , upo sahihi sana.Itashindikana siku kila mtu akiacha kupinga huu ujinga.
Hawa mafala wanachofanya ni kuinfluence na kufanya hichi kitu kionekane kawaida madhara yake ni pale jamii na watoto wakianza kukubali na matokeo yake hadi watoto wako nao watakuwemo humo.
Na hiyo ndio maana ni muhimu kupinga ili watoto waone kwamba hichi kitu sio sahihi na kuokoa kizazi kijacho.
Anyway fukc it!
Yeah ila usichoshe vidole vyako, nililitambua hilo siku nazaliwa.Sawa mkuu , upo sahihi sana.
😃😃 sijakuelewa ujueYeah ila usichoshe vidole vyako, nililitambua hilo siku nazaliwa.
Well ulisema niko "sahihi sana" lakini mimi nilitambua kuwa niko sahihi tangu siku nazaliwa.😃😃 sijakuelewa ujue