Afrika Kusini: Imamu wa kwaza Duniani kutamka hadharani kujihusisha na ushoga auliwa kwa kupigwa risasi katika shambulio la kupangwa

Status
Not open for further replies.
Jamaa alifungisha ndoa kwa kiislamu ikiwa ni ndoa ya mashoga , kumbuka hakuna uhusiano wa dini maana hao jamaa wako kweny mashaka ya mauaji .
Why waislamu wanafurahia hili jambo as if dini ndio inataka hivo
 
Why waislamu wanafurahia hili jambo as if dini ndio inataka hivo
Sina uhakika ila katika uislamu hakuna manipulation wala kupotosha ...Hakuna imani shoga kwa sababu jinsiw mbili tu
 
Wapo sema hawajajitangaza ,usiseme hayupo
Automatically amejitoa hakuna iman wa hivyo labda ajifiche ,hata mganga hafai kuwa imani ..

Kiufupi mshirikina ,choko na mtu wa hovyo akiswalisha salah yote ni batili.
 
Hapa ndipo napoupendea Uislamu, Gusa imani yao uone cha mtemakuni, Tatizo huwa wanavuka kufanya walichofanya kwa dini nyingine kisa tu sio waislam

Uje wakristo sasa, kila kitu kinaruhusiwa, Papa anapitisha vitu vya kipuuzi anachekewa tu,
Umenena vyema
 
Makafiri na harakati za Kuba lance uovu wao.
 
Wamemla kichwa.. Wameongeza dhambi
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…