Afrika Kusini kuwaondoa Wanadiplomasia kutoka Israel

Duh kweli urokole umekuja kuwa tatizo kubwa kwa waafrika,yaani leo hii ww mtu mweusi umekuwa mtetezi wa makaburu ili tu uhalalishe upuuzi unao fanywa na Israel?

Ili kumaliza ubishi sasa hivi nenda kwenye mtaa wa Soweto alafu uwaite watu wote pale uwakusanye alafu useme kuwa makaburu walikuwa ni bora kuliko watawala wa sasa tuone kama hujatandikwa lisasi 1000.
 
Hizo kelele za Julius Makema na EFF yake, anuse pua pale kwenye migodi ya wayahudi alone moto wake, tuanze na kushinikiza hamasi iachie mateka wa Israel halafu ndo tushinikize Israel na Hamas na West Bank wakae pamoja waunde taifa lenye amani la wayahudi, warabu, wazungu waishi Kwa pamoja.
 
Kichapo kimekolea mkuu 🤣🤣
 
Ujinga pia ni ugonjwa wahi haraka hospitali ukatibiwe pole sana
 
Hao Afrika Kusini wanasumbuliwa tu na ule unafiki wa kiafrika hamna kitu hapo. Wao nchi za kiafrika zilijitoa muhanga kwa ajili yao lakini leo kila mwaka wanawashambulia na kuwauwa kibaguzi.

Wanafiki wakubwa hao hamna wanachoongea.
Ujinga pia ni ugonjwa wahi haraka hospitali ukatibiwe pole sana
 
Hao Afrika Kusini wanasumbuliwa tu na ule unafiki wa kiafrika hamna kitu hapo. Wao nchi za kiafrika zilijitoa muhanga kwa ajili yao lakini leo kila mwaka wanawashambulia na kuwauwa kibaguzi.

Wanafiki wakubwa hao hamna wanachoongea.

Kwahiyo ulitaka awe upande wa kafiri wa kiyahudi? Ndio umpongeze sio!!


Free palestine 🇵🇸
 
Bora wangeendeleaga kutawaliwa tu na kaburu ndiyo alikuwa anawawezea
Dah!...kaburu kuwafanyia unyama raia weusi wa Africa Kusini sababu ya rangi yao ya ngozi ndio kuwawezea huko?...tena unaona bora wangeendelea kuwatawala?

Anyway... serikali ya kikaburu ya Africa Kusini ilikuwa mshirika mkubwa wa Israel.

 
Wewe unaongea nadharia halafu unapinga ukweli aliozungumza mwenzako.
Inamaana Cyril Ramaphosa alichoongea Arab Peace summit ni utumbo wewe una akili kuliko wewe???
Hiyo Afrika Kusini mpaka sasa ni kama inatawaliwa kiukoloni mambo Leo maana maendeleo wanafaidi weupe wachache kuliko weusi wengi.
 
Na kama Makaburu wangeendelea kushikilia usukani wa utawala, inawezekana Elon Musk angekuwa raia halali wa South Africa.
 
Alafu wengine husema Halafu sio Harafu Ila neno sahihi ni Alafu sio Halafu
Upo sahihi kwa neno 'halafu' lakini si kweli kuwa neno sahihi ni 'alafu'Ukisoma comment ya niliyemquote ana tatizo kubwa la matumizi ya herufi 'h' na ndiyo maana hata neno 'huruma' yeye anaandika 'uruma'.
 
Haibadilishi chochote kuwa viongozi wa S.Africa chini ya ANC wamefail vibaya sana kuiongoza Nchi yao.Kama wanasikitika na madhira yanayowapata Wapalestina iweje wao wawe ni vìnara wa kuwabagua raia wa kigeni wanaojitafutia mkate wa kila siku kwa kufanya kazi halali kabisa nchini kwa😵therwise punguza jazba na uwe unajibu hoja maswala ya sijui nimelala na njaa huku Buza ni non of ur b'ness.Jikite kwenye hoja.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…