Afrika Kusini kuwaondoa Wanadiplomasia kutoka Israel

Afrika Kusini kuwaondoa Wanadiplomasia kutoka Israel

Dah!...kaburu kuwafanyia unyama raia weusi wa Africa Kusini sababu ya rangi yao ya ngozi ndio kuwawezea huko?...tena unaona bora wangeendelea kuwatawala?

Anyway... serikali ya kikaburu ya Africa Kusini ilikuwa mshirika mkubwa wa Israel.

Wewe huuoni huo unyama wa hao hao raia wa Africa Kusini weusi wanaowatendea raia wa kigeni tena wenye rangi nyeusi kama wao?
 
Haibadilishi chochote kuwa viongozi wa S.Africa chini ya ANC wamefail vibaya sana kuiongoza Nchi yao.Kama wanasikitika na madhira yanayowapata Wapalestina iweje wao wawe ni vìnara wa kuwabagua raia wa kigeni wanaojitafutia mkate wa kila siku kwa kufanya kazi halali kabisa nchini kwa😵therwise punguza jazba na uwe unajibu hoja maswala ya sijui nimelala na njaa huku Buza ni non of ur b'ness.Jikite kwenye hoja.
Suala ANC kudhindwa kuongoza nchi haliwezi kuhalalisha kile kilicho kuwa kinafanywa na makaburu mpaka kuja kuwasifia hapa.

Kuna kiongozi wa makaburu alipo ona organization za watu weusi zimeanza kuwa na nguvu miaka ya 1980, alitoa wazo la kuanzisha mpango wa siri wa chanjo ya razima kwa watu wote weusi ya kuuwa kizazi ili watu weusi wasiendelee kuzaliana na mwishowe kizazi cha watu weusi kifutike ili S.afrika iwe nchi ya kizungu lakini Marekani na Wingereza ambao walikuwa washirika wao wakubwa wakalipinga hilo ,na hiyo siri ilikuja kufichuka baada ya utawala wao kuanguka.

Si bora hata hao ANC wana waruhusu hao waafirika kuingia licha ya baadhi ya raia hawa pendi,ungekuwa utawala wa makaburu weusi wote ambao wangekuwa wanajaribu kuvuka mpaka wangekuwa wanauawa.
 
Wewe huuoni huo unyama wa hao hao raia wa Africa Kusini weusi wanaowatendea raia wa kigeni tena wenye rangi nyeusi kama wao?
Hayo ni matokeo ya kufeli kwa sera za ANC, Ila bado haihalalishi udhalimu wa utawala wa kikaburu.
 
Afrika Kusini inasema utawarejesha nyumbani Wanadiplomasia wake wote kutoka Tel Aviv kufuatia mashambulizi makali yanayofanywa na Israel kuelekea Gaza.

Shambulio la bomi lililotokea Novemba 5, 2023 lilikuwa moja ya shambulizi zito zaidi kwa Israel tangu vita baina ya pande hizo ianze mwezi mmoja uliopita.

Kulingana na Hospitali ya Al-Shifa ya Gaza City, takriban watu 200 wameuawa.

Serikali ya Afrika Kusini, ambayo kwa muda mrefu imekuwa ikiunga mkono hoja ya Palestina, ililaani vikali Israel na kutaka kufutwa kazi kwa Balozi wa Israel, Eliav Belotsercovsky ikimtuhumu kwa kutoa "maoni ya kudharau" kuhusu Afrika Kusini.

Taarifa hiyo ilieleza kuwepo kwa Balozi Belotsercovsky nchini Afrika Kusini kuwa "kutokubalika", na kuongeza kuwa itafuata njia za Kidiplomasia kukabiliana na mwenendo wake Nchini humo.

Waziri wa Mambo ya Nje, Naledi Pandor alisema Serikali inaamini "Hali ya kukabiliana na Israel imekuwa moja ya adhabu ya pamoja".

Israel inasema inajaribu kupunguza vifo vya raia na inashutumu Hamas kwa kutumia wasio wapiganaji kama ngao za binadamu.

Mamia ya raia wa Afrika Kusini wameandamana kupinga mashambulizi ya Israel dhidi ya Gaza katika wiki za hivi karibuni.

Mapema Mwaka 2023 Ubalozi wa Afrika Kusini Nchini Israel ulishushwa hadhi na kuwa ofisi ya mawasiliano.

########

South Africa says it will recall all of its diplomats from Tel Aviv following Israel's intense air strikes on Gaza on Sunday night.

The bombardment was one of Israel's heaviest since the war began a month ago.
According to Gaza City's Al-Shifa hospital, about 200 people were killed.

South Africa's government, which has long been a vocal supporter of the Palestinian cause, staunchly condemned Israel on Monday.

The government indicated that it might call for the removal of Israeli Ambassador Eliav Belotsercovsky accusing him of making "disparaging comments" about South Africa.

The statement described Ambassador Belotsercovsky's presence in South Africa as "untenable", adding it would pursue diplomatic channels to deal with his conduct in the country.

Foreign Minister Naledi Pandor said the government believes "the nature of response by Israel has become one of collective punishment".

Israel says it is trying to minimise civilian casualties and accuses Hamas of using non-combatants as human shields.

Hundreds of South Africans have protested against Israeli attacks on Gaza in recent weeks.

Earlier this year the South African embassy in Israel was downgraded to a liaison office.


Source: BBC
hiyo haina madhara yeyote kwa israel. south africa imekuwa adui wa israel tangu enzi za nyerere. kwahiyo sio jambo la ajabu hata wayahudi wenyewe alijua hilo litatokea na hawaihesabii sana afrika kusini kama mshirika wao muhim hapa duniani, hivyo hawajamuumiza israel kwa chochote, zaidi sana wamewaumiza raia wao.

why? kwasababu ni waisrael wachache sana wanaenda south africa, kuliko wasouth wanaoenda israel. south africa ni nchi ya kikristo, wakristo wengi sana pasaka na chrismass huwa wanaenda kuhiji israel, kwasababu hii itabidi wakachukulie visa nchi nyingine, hiyo itakuwa garama sana kwao. hata kama kutokwenda israel kunawakosesha pesa waisrael zile ambazo wangekaa kwenye mahotel n.k, lakini inawaumiza sana wale ambao kwa garama yeyote wanataka kwenda hata kama ni kwa kuchukulia visa nchi nyingine. pia, uchumi wa israel huwa unakuwa boosted na vyanzo vingine kama marekani, na umoja wa wayahudi duniani, na ndio hao huwa wanamimina mipesa kujenga makazi mapya westbank na maeneo mengine. hii pia inaamsha hisia kwa raia dhidi ya serikali, kwasababu, hakuna mkristo duniani asiyeipenda israel, hata ukiona haongei ni kwasababu hataki tu fujo ila moyoni anaipenda, unapoifukuza israel moyoni hapendi na kuna siku akichoka atakutosa. kuna siku wakristo south africa ambkao kuna makanisa makubwa sana wataacha kuwapa kura chama kinachoshabikia palestina kwasababu ya mlengo huu wanaouchagua.
 
Wanajichetua tu ili waonekane na wao wapo.Wameivuruga S.Africa chini ya ANC imekuwa vururu vururu na ubaguzi wa kutisha kutoka kwa hao hao weusi dhidi ya raia wa kigeni wanaojitafutia ridhiki zao. Walikabidhiwa nchi ikiwa na miundo mbinu safi kabisa lakini wamevurunda mpaka inafikia hatua inapata na mgao wa umeme kama sisi huku lakini wapo busy na mambo wasiyoyaweza.Bora wangeendeleaga kutawaliwa tu na kaburu ndiyo alikuwa anawawezea.
Upo sahihi mkuu. Wasouth Ni wa puuzi Sana Kama joz wameimaliza na upuuzi wao
 
Hizo kelele za Julius Makema na EFF yake, anuse pua pale kwenye migodi ya wayahudi alone moto wake, tuanze na kushinikiza hamasi iachie mateka wa Israel halafu ndo tushinikize Israel na Hamas na West Bank wakae pamoja waunde taifa lenye amani la wayahudi, warabu, wazungu waishi Kwa pamoja.
Hawezi kukuelewa
 
Walitaka mashambulio yatoke Hamas kwenda Israel? Watulie tu waache kupapatika mpaka kieleweke.
 
Yes free Palestine from Hamas terror
وَلَنْ تَرْضَىٰ عَنْكَ الْيَهُودُ وَلَا النَّصَارَىٰ حَتَّىٰ تَتَّبِعَ مِلَّتَهُمْ ۗ قُلْ إِنَّ هُدَى اللَّهِ هُوَ الْهُدَىٰ ۗ وَلَئِنِ اتَّبَعْتَ أَهْوَاءَهُمْ بَعْدَ الَّذِي جَاءَكَ مِنَ الْعِلْمِ ۙ مَا لَكَ مِنَ اللَّهِ مِنْ وَلِيٍّ وَلَا نَصِيرٍ
Al-Baqarah 120
Mayahudi hawawi radhi nawe, wala Wakristo, mpaka ufuate mila yao. Sema: Hakika uwongofu wa Mwenyezi Mungu ndio uwongofu. Na kama ukifuata matamanio yao baada ya ujuzi ulio kwisha kujia, hutapata mlinzi wala msaidizi kwa Mwenyezi Mungu.

وَإِذَا قِيلَ لَهُمُ اتَّبِعُوا مَا أَنْزَلَ اللَّهُ قَالُوا بَلْ نَتَّبِعُ مَا أَلْفَيْنَا عَلَيْهِ آبَاءَنَا ۗ أَوَلَوْ كَانَ آبَاؤُهُمْ لَا يَعْقِلُونَ شَيْئًا وَلَا يَهْتَدُونَ
Al-Baqarah 170
Na wanapo ambiwa: Fuateni aliyo yateremsha Mwenyezi Mungu; wao husema: Bali tutafuata tuliyo wakuta nayo baba zetu. Je, hata ikiwa baba zao walikuwa hawaelewi kitu, wala hawakuongoka?
 
Walitaka mashambulio yatoke Hamas kwenda Israel? Watulie tu waache kupapatika mpaka kieleweke.


وَلَنْ تَرْضَىٰ عَنْكَ الْيَهُودُ وَلَا النَّصَارَىٰ حَتَّىٰ تَتَّبِعَ مِلَّتَهُمْ ۗ قُلْ إِنَّ هُدَى اللَّهِ هُوَ الْهُدَىٰ ۗ وَلَئِنِ اتَّبَعْتَ أَهْوَاءَهُمْ بَعْدَ الَّذِي جَاءَكَ مِنَ الْعِلْمِ ۙ مَا لَكَ مِنَ اللَّهِ مِنْ وَلِيٍّ وَلَا نَصِيرٍ
Al-Baqarah 120
Mayahudi hawawi radhi nawe, wala Wakristo, mpaka ufuate mila yao. Sema: Hakika uwongofu wa Mwenyezi Mungu ndio uwongofu. Na kama ukifuata matamanio yao baada ya ujuzi ulio kwisha kujia, hutapata mlinzi wala msaidizi kwa Mwenyezi Mungu.

وَإِذَا قِيلَ لَهُمُ اتَّبِعُوا مَا أَنْزَلَ اللَّهُ قَالُوا بَلْ نَتَّبِعُ مَا أَلْفَيْنَا عَلَيْهِ آبَاءَنَا ۗ أَوَلَوْ كَانَ آبَاؤُهُمْ لَا يَعْقِلُونَ شَيْئًا وَلَا يَهْتَدُونَ
Al-Baqarah 170
Na wanapo ambiwa: Fuateni aliyo yateremsha Mwenyezi Mungu; wao husema: Bali tutafuata tuliyo wakuta nayo baba zetu. Je, hata ikiwa baba zao walikuwa hawaelewi kitu, wala hawakuongoka?
 
Hawezi kukuelewa

وَلَنْ تَرْضَىٰ عَنْكَ الْيَهُودُ وَلَا النَّصَارَىٰ حَتَّىٰ تَتَّبِعَ مِلَّتَهُمْ ۗ قُلْ إِنَّ هُدَى اللَّهِ هُوَ الْهُدَىٰ ۗ وَلَئِنِ اتَّبَعْتَ أَهْوَاءَهُمْ بَعْدَ الَّذِي جَاءَكَ مِنَ الْعِلْمِ ۙ مَا لَكَ مِنَ اللَّهِ مِنْ وَلِيٍّ وَلَا نَصِيرٍ
Al-Baqarah 120
Mayahudi hawawi radhi nawe, wala Wakristo, mpaka ufuate mila yao. Sema: Hakika uwongofu wa Mwenyezi Mungu ndio uwongofu. Na kama ukifuata matamanio yao baada ya ujuzi ulio kwisha kujia, hutapata mlinzi wala msaidizi kwa Mwenyezi Mungu.

وَإِذَا قِيلَ لَهُمُ اتَّبِعُوا مَا أَنْزَلَ اللَّهُ قَالُوا بَلْ نَتَّبِعُ مَا أَلْفَيْنَا عَلَيْهِ آبَاءَنَا ۗ أَوَلَوْ كَانَ آبَاؤُهُمْ لَا يَعْقِلُونَ شَيْئًا وَلَا يَهْتَدُونَ
Al-Baqarah 170
Na wanapo ambiwa: Fuateni aliyo yateremsha Mwenyezi Mungu; wao husema: Bali tutafuata tuliyo wakuta nayo baba zetu. Je, hata ikiwa baba zao walikuwa hawaelewi kitu, wala hawakuongoka?
 
Upo sahihi mkuu. Wasouth Ni wa puuzi Sana Kama joz wameimaliza na upuuzi wao


وَلَنْ تَرْضَىٰ عَنْكَ الْيَهُودُ وَلَا النَّصَارَىٰ حَتَّىٰ تَتَّبِعَ مِلَّتَهُمْ ۗ قُلْ إِنَّ هُدَى اللَّهِ هُوَ الْهُدَىٰ ۗ وَلَئِنِ اتَّبَعْتَ أَهْوَاءَهُمْ بَعْدَ الَّذِي جَاءَكَ مِنَ الْعِلْمِ ۙ مَا لَكَ مِنَ اللَّهِ مِنْ وَلِيٍّ وَلَا نَصِيرٍ
Al-Baqarah 120
Mayahudi hawawi radhi nawe, wala Wakristo, mpaka ufuate mila yao. Sema: Hakika uwongofu wa Mwenyezi Mungu ndio uwongofu. Na kama ukifuata matamanio yao baada ya ujuzi ulio kwisha kujia, hutapata mlinzi wala msaidizi kwa Mwenyezi Mungu.

وَإِذَا قِيلَ لَهُمُ اتَّبِعُوا مَا أَنْزَلَ اللَّهُ قَالُوا بَلْ نَتَّبِعُ مَا أَلْفَيْنَا عَلَيْهِ آبَاءَنَا ۗ أَوَلَوْ كَانَ آبَاؤُهُمْ لَا يَعْقِلُونَ شَيْئًا وَلَا يَهْتَدُونَ
Al-Baqarah 170
Na wanapo ambiwa: Fuateni aliyo yateremsha Mwenyezi Mungu; wao husema: Bali tutafuata tuliyo wakuta nayo baba zetu. Je, hata ikiwa baba zao walikuwa hawaelewi kitu, wala hawakuongoka?
 
Gaidi anajulikana ni mwenyekiti wenu wa maisha Mbowe na mahakama ilisha lidhibitisha.
Kwa hiyo alifungwa miaka mingapi kwa kosa la ugaidi na hiyo mahakama.
 
وَلَنْ تَرْضَىٰ عَنْكَ الْيَهُودُ وَلَا النَّصَارَىٰ حَتَّىٰ تَتَّبِعَ مِلَّتَهُمْ ۗ قُلْ إِنَّ هُدَى اللَّهِ هُوَ الْهُدَىٰ ۗ وَلَئِنِ اتَّبَعْتَ أَهْوَاءَهُمْ بَعْدَ الَّذِي جَاءَكَ مِنَ الْعِلْمِ ۙ مَا لَكَ مِنَ اللَّهِ مِنْ وَلِيٍّ وَلَا نَصِيرٍ
Al-Baqarah 120
Mayahudi hawawi radhi nawe, wala Wakristo, mpaka ufuate mila yao. Sema: Hakika uwongofu wa Mwenyezi Mungu ndio uwongofu. Na kama ukifuata matamanio yao baada ya ujuzi ulio kwisha kujia, hutapata mlinzi wala msaidizi kwa Mwenyezi Mungu.

وَإِذَا قِيلَ لَهُمُ اتَّبِعُوا مَا أَنْزَلَ اللَّهُ قَالُوا بَلْ نَتَّبِعُ مَا أَلْفَيْنَا عَلَيْهِ آبَاءَنَا ۗ أَوَلَوْ كَانَ آبَاؤُهُمْ لَا يَعْقِلُونَ شَيْئًا وَلَا يَهْتَدُونَ
Al-Baqarah 170
Na wanapo ambiwa: Fuateni aliyo yateremsha Mwenyezi Mungu; wao husema: Bali tutafuata tuliyo wakuta nayo baba zetu. Je, hata ikiwa baba zao walikuwa hawaelewi kitu, wala hawakuongoka?
Yaani iko kitabu watanzania kinaita Matanzania? Maana naona wayahudi kinaita Mayahudi
 
Back
Top Bottom