Afrika Kusini kuwaondoa Wanadiplomasia kutoka Israel

Wewe huuoni huo unyama wa hao hao raia wa Africa Kusini weusi wanaowatendea raia wa kigeni tena wenye rangi nyeusi kama wao?
 
Na kama Makaburu wangeendelea kushikilia usukani wa utawala, inawezekana Elon Musk angekuwa raia halali wa South Africa.
Yani hao viongozi wa sasa chini ya ANC ni bure kabisa.
 
Suala ANC kudhindwa kuongoza nchi haliwezi kuhalalisha kile kilicho kuwa kinafanywa na makaburu mpaka kuja kuwasifia hapa.

Kuna kiongozi wa makaburu alipo ona organization za watu weusi zimeanza kuwa na nguvu miaka ya 1980, alitoa wazo la kuanzisha mpango wa siri wa chanjo ya razima kwa watu wote weusi ya kuuwa kizazi ili watu weusi wasiendelee kuzaliana na mwishowe kizazi cha watu weusi kifutike ili S.afrika iwe nchi ya kizungu lakini Marekani na Wingereza ambao walikuwa washirika wao wakubwa wakalipinga hilo ,na hiyo siri ilikuja kufichuka baada ya utawala wao kuanguka.

Si bora hata hao ANC wana waruhusu hao waafirika kuingia licha ya baadhi ya raia hawa pendi,ungekuwa utawala wa makaburu weusi wote ambao wangekuwa wanajaribu kuvuka mpaka wangekuwa wanauawa.
 
Wewe huuoni huo unyama wa hao hao raia wa Africa Kusini weusi wanaowatendea raia wa kigeni tena wenye rangi nyeusi kama wao?
Hayo ni matokeo ya kufeli kwa sera za ANC, Ila bado haihalalishi udhalimu wa utawala wa kikaburu.
 
hiyo haina madhara yeyote kwa israel. south africa imekuwa adui wa israel tangu enzi za nyerere. kwahiyo sio jambo la ajabu hata wayahudi wenyewe alijua hilo litatokea na hawaihesabii sana afrika kusini kama mshirika wao muhim hapa duniani, hivyo hawajamuumiza israel kwa chochote, zaidi sana wamewaumiza raia wao.

why? kwasababu ni waisrael wachache sana wanaenda south africa, kuliko wasouth wanaoenda israel. south africa ni nchi ya kikristo, wakristo wengi sana pasaka na chrismass huwa wanaenda kuhiji israel, kwasababu hii itabidi wakachukulie visa nchi nyingine, hiyo itakuwa garama sana kwao. hata kama kutokwenda israel kunawakosesha pesa waisrael zile ambazo wangekaa kwenye mahotel n.k, lakini inawaumiza sana wale ambao kwa garama yeyote wanataka kwenda hata kama ni kwa kuchukulia visa nchi nyingine. pia, uchumi wa israel huwa unakuwa boosted na vyanzo vingine kama marekani, na umoja wa wayahudi duniani, na ndio hao huwa wanamimina mipesa kujenga makazi mapya westbank na maeneo mengine. hii pia inaamsha hisia kwa raia dhidi ya serikali, kwasababu, hakuna mkristo duniani asiyeipenda israel, hata ukiona haongei ni kwasababu hataki tu fujo ila moyoni anaipenda, unapoifukuza israel moyoni hapendi na kuna siku akichoka atakutosa. kuna siku wakristo south africa ambkao kuna makanisa makubwa sana wataacha kuwapa kura chama kinachoshabikia palestina kwasababu ya mlengo huu wanaouchagua.
 
Upo sahihi mkuu. Wasouth Ni wa puuzi Sana Kama joz wameimaliza na upuuzi wao
 
Hawezi kukuelewa
 
Walitaka mashambulio yatoke Hamas kwenda Israel? Watulie tu waache kupapatika mpaka kieleweke.
 
Yes free Palestine from Hamas terror
وَلَنْ تَرْضَىٰ عَنْكَ الْيَهُودُ وَلَا النَّصَارَىٰ حَتَّىٰ تَتَّبِعَ مِلَّتَهُمْ ۗ قُلْ إِنَّ هُدَى اللَّهِ هُوَ الْهُدَىٰ ۗ وَلَئِنِ اتَّبَعْتَ أَهْوَاءَهُمْ بَعْدَ الَّذِي جَاءَكَ مِنَ الْعِلْمِ ۙ مَا لَكَ مِنَ اللَّهِ مِنْ وَلِيٍّ وَلَا نَصِيرٍ
Al-Baqarah 120
Mayahudi hawawi radhi nawe, wala Wakristo, mpaka ufuate mila yao. Sema: Hakika uwongofu wa Mwenyezi Mungu ndio uwongofu. Na kama ukifuata matamanio yao baada ya ujuzi ulio kwisha kujia, hutapata mlinzi wala msaidizi kwa Mwenyezi Mungu.

وَإِذَا قِيلَ لَهُمُ اتَّبِعُوا مَا أَنْزَلَ اللَّهُ قَالُوا بَلْ نَتَّبِعُ مَا أَلْفَيْنَا عَلَيْهِ آبَاءَنَا ۗ أَوَلَوْ كَانَ آبَاؤُهُمْ لَا يَعْقِلُونَ شَيْئًا وَلَا يَهْتَدُونَ
Al-Baqarah 170
Na wanapo ambiwa: Fuateni aliyo yateremsha Mwenyezi Mungu; wao husema: Bali tutafuata tuliyo wakuta nayo baba zetu. Je, hata ikiwa baba zao walikuwa hawaelewi kitu, wala hawakuongoka?
 
Walitaka mashambulio yatoke Hamas kwenda Israel? Watulie tu waache kupapatika mpaka kieleweke.


وَلَنْ تَرْضَىٰ عَنْكَ الْيَهُودُ وَلَا النَّصَارَىٰ حَتَّىٰ تَتَّبِعَ مِلَّتَهُمْ ۗ قُلْ إِنَّ هُدَى اللَّهِ هُوَ الْهُدَىٰ ۗ وَلَئِنِ اتَّبَعْتَ أَهْوَاءَهُمْ بَعْدَ الَّذِي جَاءَكَ مِنَ الْعِلْمِ ۙ مَا لَكَ مِنَ اللَّهِ مِنْ وَلِيٍّ وَلَا نَصِيرٍ
Al-Baqarah 120
Mayahudi hawawi radhi nawe, wala Wakristo, mpaka ufuate mila yao. Sema: Hakika uwongofu wa Mwenyezi Mungu ndio uwongofu. Na kama ukifuata matamanio yao baada ya ujuzi ulio kwisha kujia, hutapata mlinzi wala msaidizi kwa Mwenyezi Mungu.

وَإِذَا قِيلَ لَهُمُ اتَّبِعُوا مَا أَنْزَلَ اللَّهُ قَالُوا بَلْ نَتَّبِعُ مَا أَلْفَيْنَا عَلَيْهِ آبَاءَنَا ۗ أَوَلَوْ كَانَ آبَاؤُهُمْ لَا يَعْقِلُونَ شَيْئًا وَلَا يَهْتَدُونَ
Al-Baqarah 170
Na wanapo ambiwa: Fuateni aliyo yateremsha Mwenyezi Mungu; wao husema: Bali tutafuata tuliyo wakuta nayo baba zetu. Je, hata ikiwa baba zao walikuwa hawaelewi kitu, wala hawakuongoka?
 
Hawezi kukuelewa

وَلَنْ تَرْضَىٰ عَنْكَ الْيَهُودُ وَلَا النَّصَارَىٰ حَتَّىٰ تَتَّبِعَ مِلَّتَهُمْ ۗ قُلْ إِنَّ هُدَى اللَّهِ هُوَ الْهُدَىٰ ۗ وَلَئِنِ اتَّبَعْتَ أَهْوَاءَهُمْ بَعْدَ الَّذِي جَاءَكَ مِنَ الْعِلْمِ ۙ مَا لَكَ مِنَ اللَّهِ مِنْ وَلِيٍّ وَلَا نَصِيرٍ
Al-Baqarah 120
Mayahudi hawawi radhi nawe, wala Wakristo, mpaka ufuate mila yao. Sema: Hakika uwongofu wa Mwenyezi Mungu ndio uwongofu. Na kama ukifuata matamanio yao baada ya ujuzi ulio kwisha kujia, hutapata mlinzi wala msaidizi kwa Mwenyezi Mungu.

وَإِذَا قِيلَ لَهُمُ اتَّبِعُوا مَا أَنْزَلَ اللَّهُ قَالُوا بَلْ نَتَّبِعُ مَا أَلْفَيْنَا عَلَيْهِ آبَاءَنَا ۗ أَوَلَوْ كَانَ آبَاؤُهُمْ لَا يَعْقِلُونَ شَيْئًا وَلَا يَهْتَدُونَ
Al-Baqarah 170
Na wanapo ambiwa: Fuateni aliyo yateremsha Mwenyezi Mungu; wao husema: Bali tutafuata tuliyo wakuta nayo baba zetu. Je, hata ikiwa baba zao walikuwa hawaelewi kitu, wala hawakuongoka?
 
Upo sahihi mkuu. Wasouth Ni wa puuzi Sana Kama joz wameimaliza na upuuzi wao


وَلَنْ تَرْضَىٰ عَنْكَ الْيَهُودُ وَلَا النَّصَارَىٰ حَتَّىٰ تَتَّبِعَ مِلَّتَهُمْ ۗ قُلْ إِنَّ هُدَى اللَّهِ هُوَ الْهُدَىٰ ۗ وَلَئِنِ اتَّبَعْتَ أَهْوَاءَهُمْ بَعْدَ الَّذِي جَاءَكَ مِنَ الْعِلْمِ ۙ مَا لَكَ مِنَ اللَّهِ مِنْ وَلِيٍّ وَلَا نَصِيرٍ
Al-Baqarah 120
Mayahudi hawawi radhi nawe, wala Wakristo, mpaka ufuate mila yao. Sema: Hakika uwongofu wa Mwenyezi Mungu ndio uwongofu. Na kama ukifuata matamanio yao baada ya ujuzi ulio kwisha kujia, hutapata mlinzi wala msaidizi kwa Mwenyezi Mungu.

وَإِذَا قِيلَ لَهُمُ اتَّبِعُوا مَا أَنْزَلَ اللَّهُ قَالُوا بَلْ نَتَّبِعُ مَا أَلْفَيْنَا عَلَيْهِ آبَاءَنَا ۗ أَوَلَوْ كَانَ آبَاؤُهُمْ لَا يَعْقِلُونَ شَيْئًا وَلَا يَهْتَدُونَ
Al-Baqarah 170
Na wanapo ambiwa: Fuateni aliyo yateremsha Mwenyezi Mungu; wao husema: Bali tutafuata tuliyo wakuta nayo baba zetu. Je, hata ikiwa baba zao walikuwa hawaelewi kitu, wala hawakuongoka?
 
Gaidi anajulikana ni mwenyekiti wenu wa maisha Mbowe na mahakama ilisha lidhibitisha.
Kwa hiyo alifungwa miaka mingapi kwa kosa la ugaidi na hiyo mahakama.
 
Yaani iko kitabu watanzania kinaita Matanzania? Maana naona wayahudi kinaita Mayahudi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…