Afrika Kusini ni pazuri ila ni hatari

Mkuu umetumia google translate.

Hatareee
 
Mtoa mada kashusha nondo,ila utakuta kuna mtu yupo bongo hajawahi hata kuvuka boda achilia mbali ku risk maisha kutafuta hela analeta comments za kis3nge!hapo katulia kwa shemeji yake anangoja dada yake na shemeji yake warudi kutoka kazini apige mzinga wa hela ya vocha!
 
We ni mchawi nini? Niko PRETORIA HAPA..... Njoo upate hata Rand 1000 Mwanangu, sema usiite mateja wenzako msije niletea upuuzi, ntawaua.
Unajichawia mwenyewe sasa unaona pretoria ni kiwanja bora kwako cha kutanua hahahha nipo Salt river
 
Umeuwa braza , nimecheka balaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]daaah ,umenikumbusha nikifanya masters USA ,way back ,one day nimechill tu kwa nyumba wezi waliingia na bunduki ,nlibaki kuomba wachukue chote watakacho ....bongo hatuna expirience na danger kabisa
 
Kwa maelezo yako hyo nchi haina usalama wwte ni gereza la utumwa
 
Kwanza ushajitibu gono ? Si ulikuwa ubatafuta dawa ya gono ww umu umu
Kutoingia kwangu humu Jf kumekusaidia sana wewe kushindwa kukushushia dhoruba zangu.

Hadi unaingia kaburini yasingelikutoka kichwani mwako maneno ambayo ningeliyatamka nikiwa nimechokozeka.

Mshukuru Mungu, pupa na munkari vilishanishuka baada ya kusoma comment yako na kuiona ni ya zamani.

Mtu anayejitambua na kujithamini aweza kufungua uzi wa kutafuta dawa ya gono humu Jf kweli?

Ni aina ya tusi uliloamua kulitumia kuwasilisha upumbaf wako siyo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…