Afrika Kusini ni pazuri ila ni hatari

Uko simnaishi kama wanyama maisha gani hayo una hela ila unaishi kama digidigi
Tanzania hakuna sehemu nzuri ila ukiwa na hela unaishi kwa aman sana
 
Acha uongo nchi zinaongoza kwa uhalifu ni mexico, brazili, colombia mostly ni zile za latin america
Marekani crime ni ndogo uki-take into account population ya million 340+
 
Acha uongo nchi zinaongoza kwa uhalifu ni mexico, brazili, colombia mostly ni zile za latin america
Marekani crime ni ndogo uki-take into account population ya million 340+
Acha ubishi riport nyingi zinaonesha Marekani kinala wa uharifu wa siraha. Mexico na Latini Amerika ni vurugu za makundi ya mihadarati
 
Je, polisi huwa wanafanikisha kuwakamata hao wahalifu, kuwafungulia mashtaka na hatimaye kufungwa jela au hao wahalifu huwa hawakamatiki?

Kazi ya polisi na mahakama huko ni nini?
 
Kila mji Sauz una informal settlement huko Ni balaa na nusu kmmk
 
Sijapenda uandishi wako. Una kiswahili cha mtu ambaye amejifunza kiswahili miezi nane na ni kama umeandika kwa kutumia google translator.

Umenikera zaidi kwenye mtiririko wako wa story yaani unaandika hiki unaachia njiani, unarukia kile unaachia hewani, unarudia cha kwanza haueleweki kwann umekirudia unaachia njiani tena. Yaani una haha.

Kwakweli umejua kukera.
 
Rushwa ndo tatizo thus makaburu walikuwa sahihi, huwezi ukaishi zizi moja na primitives
 
Police wa sauzi ndio uwachekia wahalifu.
Ukitumia bunduki vizur uhalifu huwa ni historia,sheria haina uwezo wa kumaliza uhalifu
 
Police ni wanufaika wa uhalifu mbona enzi za kaburu ujinga huo haukuwepo
 
Nilipigwaga ngeta na watu kama sita hivi wakaniibia kisimu changu sina hamu nao, ilikuwa jioni tu maeneo ya sunnypark shopping centre, hapafai kabisa
 
Hivi watu mnataka muandikiwe kiswahili gani? mbona anaeleweka,wazee hapa sio darasani mkitaka utaratbu wa Uandishi rudini mashuleni.

Huku duniani tunatafuta point za msingi tu ktk uandishi wa mtu mengine tunapotezea, watu kujifanya Walimu wakati hamna mwenye matokeo ya A kiswahili.
 
Nilipigwaga ngeta na watu kama sita hivi wakaniibia kisimu changu sina hamu nao, ilikuwa jioni tu maeneo ya sunnypark shopping centre, hapafai kabisa
Dah!...mshukuru Mungu aliulinda uhai wako.

uhalifu uko bondeni ndio penyewe.....ukosefu mkubwa wa ajira kwa wazawa, rushwa iliyokithiri na mengine mengi yanachafua nchi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…