Tetesi: Afrika Kusini: Rais Magufuli adaiwa kutunukiwa Tuzo ya Amani ya Mandela (Mandela Peace Prize)

Status
Not open for further replies.
Mbona hizi habari zimekanushwa kwamba sio kweli na huo mchakato haujafanyika???
 
Wewe tindo unafikiri siasa zenu maji taka za hapa bongo unataka kuzivusha nje ya mipaka?
Wale waliochagua hawa viongozi na kuwapa tuzo si model yenu, ni watu wabobezi wa siasa za kimataifa.

Sasa Wewe endelea kukaririshwa na Dutch welle, mliambiwa Gaddafi mbaya wanaingia kuikomboa Libya, matokeo yake Sasa Libya ndo hiyo imekombolewa, vyombo vya kimagharibi hata kuripoti kinachoendelea huko wanaona aibu baada ya Kuisambaratisha nchi hiyo


Akili ya kuambiwa changanya na zako
 
Mhhh Hata kwenye mazishi ya wazalendo hatukufika (kutoa heshima za mwisho)

Tittle hii nimeipataje? Amani bila uchumi wala demokrasia ?
hivi hujui anaogopa kuona maiti mubashara huyoooooo
 
Kwa hiyo malikia akikuambia ww ni mpumbavu utafurahia coz yeye ni mzungu?
Ukunielewa hapo imetumika fasihi ndo maana nikasema kuna mtu alisema "Miafrika ndivyo tulivyo"
 

Nina uelewa wa kutosha, najua kipi kinatangazwa kwa usahihi na kipi kinatangazwa kwa kupakana matope. Ila kushabikia rais wetu kupewa tuzo na taasisi ambayo na Nkurunzinza kapewa pia huu ni ujuha.

Huo mfano wa suala la Gadaffi na Libya hebu liache maana najua viwango vyako vya uelewa, utaishia kujichanga tu. Hebu tubaki kwenye haya ya kwetu unayoyafahamu wangalau tutaelewana hata kama hatutakubaliana.
 
This is too fake to trust, hakuna tuzo vijana wa lumumba wapo kazini
 
Ikiwa Mugabe, Museveni na Kagame hawajapewa hizi Tuzo basi watakuwa hawajatendewa haki hata kidogo![emoji41]
 
Wakfu wa Nelson Mandela umebainisha kuwa haukuandaa, kusimamia wala kutoa tuzo za “Nelson Mandela”, ambazo zimeripotiwa katika vyombo mbalimbali ya habari Tanzania, Kenya na Burundi Disemba 27, 2017. Habari hiyo pia haikutajwa na vyombo vya habari nchini Afrika Kusini. Swahili Times on Twitter

Source:Swahili Times Twitter

Ushauri wangu:Vyombo vya habari nchini viwe vinajiridhisha kama habari ina ukweli wasikimbilie kuwa wa kwanza kuripoti,kuna media kubwa tunazoziamini nazo ziliingia ktk mkumbo huo wa kutoa fake news.
 
U missed the point..Ngoja kiloba kikiisha kichwani utafakari upya.
Sasa wewe hata spelling tu ni shida tena kwa kiswahili sijui nikuweke wapi mwanangu wa tisa.

Elimu ya kiLOba itakuachaje hapa duniani?
 
Kazi ya tbc km kaiwaida yao wazee wakuandaa fake news kwajili ya kumsifu mfalme mwenye enz
 
mmmmmmmmmm
 
CCM iko mwishoni sasa, watatupisha katika vipindi vigumu sana ila ni vifupi..
 
Tatizo la Nkurunzinza ni Nini, ina maana Wewe unamjua Nkurunzinza kuliko hao jamaa?
Sasa underline list ubaya wa Nkurunzinza unaoujua ambao hao jamaa hawaujui mpaka wakaamua kumpa tuzo
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…