Tetesi: Afrika Kusini: Rais Magufuli adaiwa kutunukiwa Tuzo ya Amani ya Mandela (Mandela Peace Prize)

Tetesi: Afrika Kusini: Rais Magufuli adaiwa kutunukiwa Tuzo ya Amani ya Mandela (Mandela Peace Prize)

Status
Not open for further replies.
Amani ya kummiminia Lissu risasi, amani ya kuota miili ya watu kwenye viroba, amani ya kuambia tusiseme vyuma vimekaza.
Hongera kwa UK ulistahili, wewe ni Baba wa Demokrasia hapa EAC.
Kichwa maji wa Bawacha unataka kutuambia kwa UK hakukuwa na matukio ya mauaji au hakuna uhalifu?
Unamkumbuka mkurugenzi wa IT bwana msando?
Mauaji yanayotokea kenya hasa kwa wapinzani?
hahahaha hakuna kipimo kimoja kwenye hiyo tuzo...
Pole sana dada
 
Tuzo imepotea thamani yake.

Hawajui issue ya Lissu?
Hawajui wapinzani wanavyofinywa?
Hawajui misuse ya state resources?

Kuna amani gani kaiendeleza au ku promote? Wapumbavu in Mkapa's words.
 
Kichwa maji wa Bawacha unataka kutuambia kwa UK hakukuwa na matukio ya mauaji au hakuna uhalifu?
Unamkumbuka mkurugenzi wa IT bwana msando?
Mauaji yanayotokea kenya hasa kwa wapinzani?
hahahaha hakuna kipimo kimoja kwenye hiyo tuzo...
Pole sana dada

Kwavile nilimpa mama yako mimba ndio unaniita dada?
 
Hivi yule mwandishi wa habari amepatikana?
Ili nijue kweli kuna amani!
Huu ni uzushi, hakuna cha tuzo hapo, tundu lissu mwenyewe hajapona bado, ben wa saanane mpaka leo hajapatina, hiyo itakuwa tuzo ya lumumba🙂)😀
Kama mnawapoteza akina chacha wangwe mtaaminika vp!Akili za makarai wanazijuaga wenyewe
 
Ni kama zile tuzo za kina Ali Kiba na Daimond wanazogombaniaga huko marekani na ulaya.

Ni kama vile siku hizi hata chekechea kuvaa joho. zimekosa dhamani kabisa.
===thamani. hoja yako naikubali pia.
 
Bavo JPM Hata yesu alikataliwa na wayahudi lakini ndo mkombozi wao...ni wachache wasiokukubali narudia tena ni wachache sababu kupinganisha na mamilioni unaowaongoza piga kazi my president..
 
Magufuli ni chaguo la Mungu wasiopenda wahame nchi maana bado ana miaka 7 ya kuingoza nchi hii
umeanza,vizuri..lakini,hapo..pakusema..bado..ana..miaka..7..ndo..umeharibu,wakati..Mungu,anafahamu..kuna..uchaguzi
mwaka..2020..hivyo..si..ajabu,likatokea..chaguo..lake..jingine.Usimpangie..Mungu
 
bravo JPM ..Hata yesu alikataliwa na wayahudi lakini ndo mkombozi wetu...ni wachache wasiokukubali..narudia ni wachache ukilinganisha na mamilioni ya unaowaongoza piga kazi my President
 
hapa najiuliza sijui ataenda na gari SA au watamletea alipo
 
Hakuna kitu mchina hawezi kutengeneza! Hata amani ukimpa tenda ya kuitengeza anaweza, ni wewe tu umejipangaje kwenye pochi yako!
Wanaweza hata kutengeneza malaika wanaoweza kuzima mitandao ya kijamii! chezea macho madogo weye!
Aisee unajua nimecheka mpk basi. Ungesubiri uitoe tarehe mosi. Yaani wewe chiboko kuliko
 
Acheni utani...kiswahili bado ni kigumu, waandaaji huenda hawajui kwa ufasaha maana ya amani!
 
hii ndio shida kubwa ya viongozi wa afrika sasa tuzo kwa lipi hasa,shida ya watawala wengi wa afrika na wananchi wake wengi ni wanafiki sana
 
Kwa taarifa yako tuzo zimeandaliwa na ubalozi wa Tanzania huko afrika kusini, sasa hivi balozi nyingine nazo zinaandaa matuzo mbalimbali ili aonekane anakubalika, kama yule mtangulizi wake alivokuwa anaandaa udokita na uporofesa
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom