Afrika Kusini waanza kupitishia mizigo yao yakiwemo magari katika bandari ya Dar es Salaam

Afrika Kusini waanza kupitishia mizigo yao yakiwemo magari katika bandari ya Dar es Salaam

Wachina hawakuwa wajinga kutaka kujenga Bandari ya Bagamoyo Tanzania, ndio maana Kenya wana haha kujenga LAMU port kabla ya Bandari ya Bagamoyo...

Pwani ya Tanzania ndio Eneo bora kabisa na Strategically kuingia Africa.

Warumi enzi hizo kabisa walijenga kituo chao cha Biashara Pwani Africa Mashariki (Mafia Island).

Kama tutakuwa na Bandari kubwa na Taifa la Viwanda Tanzania inaweza kukua kiuchumi kwa zaidi ya 8% kila mwaka.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama ndio hivyo, kwanini Serikali imekataa kujenga bandari ya Bagamoyo....sio kila kitu mwanasiasa anasema ni cha kweli mdau...
 
Huyo ni mungu wako! kwani miungu si iko miiingi tu? mfano mungu Baari, Zeus, Allah subuhana wataalah nk! hawana mfano wa kitu chochote hawa ooloh! sasa wako ni yupi kati ya hao! kwani amemtaja? sasa wapi ameonyesha amemsema miungu wako hao?

Unaumia hovyohovyo tu! km jini makata? nini sasa? acha hizo wewe jini mzee! ndivyo mungu wako alivo? huyo ni wa kwako hatuhusu sisi wana Jf! wacha ture burudani.

Kwa mujibu wa Biblia kuna watu wameumbwa kwa mfano wa Mungu! kabisaa yes! huyo ni wa kwao! wanamfurahia uwepo wao! kuna visheitwani pia vimeumbwa km shetani sasa hapa ni mizani kinzani! mungu wako huyo jua kabisa hawahusu wale wa Mungu wa Biblia!!

Acha jazba! na mungu wako huyo! ndivo alivo wafundisha? hizi anga nyingine utaja jifia bureee! na hako kamungu kako kanakula kona! kana kuacha peke yako Hayaaa!
Jinsi gani unaandika,Inaonekana stressed, na wala sikulazimishi kuandika kurasa lote hilo, nimesoma sentence ya kwanza tu nikaona utopolo wako.
 
Jinsi gani unaandika,Inaonekana stressed, na wala sikulazimishi kuandika kurasa lote hilo, nimesoma sentence ya kwanza tu nikaona utopolo wako.
Looh! pole!! jua mungu wako hatuhusu wote humu, hatumtaki kwanza! sasa Utopolo ndo nini Babu? ! au Imekugusa but any way kunywa panadol kwa mangi hapo!

Ka-mungu kako hako kanipe stress mimi? mwee! thubutu!!! kamekudanganya jioni kweupeee! na ndo vitabia vya miungu wa hivi! vinatoaga vimatumani fake mnoo ! kaache bana!! lkn ukisha bobea kuviabudu ndo km hivi...

siku kakikuzamisha mazima utanikumbuka haya weee!
 
Kama ndio hivyo, kwanini Serikali imekataa kujenga bandari ya Bagamoyo....sio kila kitu mwanasiasa anasema ni cha kweli mdau...
Hii sio Swala la Siasa ni swala Lililo wazi...

Africa Kusini haiwezi kuagiza Mizigo East Asia ikapitia Tanzania kwa sasa...

Lakini, kwa sababu nilozozisema it is possible Pwani yetu ikawa Mizigo inashushwa na Kuja kuchukuliwa na Meli za Africa Kusini au Waafrika Kusini wenye Biashara Baadhi ya Nchi za SADC wakatumia Bandari yetu...

Endapo Bagamoyo Port itakamilika Basi Ukanda wa Bahari Ya Hindi Bandari yetu ndio itakuwa Kinara...

Bandari ziko Artificially na Naturally Sehemu kubwa, mfano Bagomoyo ni aina zote hivyo ndio maana inawavutia wengi kuliendeleza hilo eneo kama Bandari

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Uongo utawaua aisee , Africa Kusini wenye bandari nyingi na bora wapitishie kwenye bandari ya Dar es Salaam vitu vyao dahhhh! Au wanapitisha bure ?
 
Hii sio Swala la Siasa ni swala Lililo wazi...

Africa Kusini haiwezi kuagiza Mizigo East Asia ikapitia Tanzania kwa sasa...

Lakini, kwa sababu nilozozisema it is possible Pwani yetu ikawa Mizigo inashushwa na Kuja kuchukuliwa na Meli za Africa Kusini au Waafrika Kusini wenye Biashara Baadhi ya Nchi za SADC wakatumia Bandari yetu...

Endapo Bagamoyo Port itakamilika Basi Ukanda wa Bahari Ya Hindi Bandari yetu ndio itakuwa Kinara...

Bandari ziko Artificially na Naturally Sehemu kubwa, mfano Bagomoyo ni aina zote hivyo ndio maana inawavutia wengi kuliendeleza hilo eneo kama Bandari

Sent using Jamii Forums mobile app
Nimekuelewa.... ''Ila Bandari ya Bagamoyo bado haijawa endelevu tangu awamu ya tano ilipoingia madarakani, sijui tatizo ni nini?
 
Wapiga debe punguzeni uongo Basi

Daaah eti Africa kusini

Mnatuoana mafala Sana etii eeeeh!!
 
Back
Top Bottom