Afrika Kusini waanza kupitishia mizigo yao yakiwemo magari katika bandari ya Dar es Salaam

Afrika Kusini waanza kupitishia mizigo yao yakiwemo magari katika bandari ya Dar es Salaam

South Africa wanaanzaje kutumia bandari ya Dar es salaam na wakati wamezungukwa na bandari kubwa sana tena eneo kubwa kwao ni bandari kutushinda sisi?!

Hii haimake sense
 
Ngoja tukuwekee Map......

images%20(25).jpg
 
Naomba niwakumbushe tu, Afrika Kusini Kuna almost viwanda vyote vya kutengeneza magari hasa yale unayoyajua wewe. Kwahiyo hii habari ya kuagiza kutoka Japan sijui wapi we umeisikia wapi? Nchi zinazopitishia magari hapa kwa kiasi ni Congo, Zambia, Malawi
 
Nchi ya Afrika Kusini imeanza kupitishia mizigo yake katika bandari ya Dar es salaam baada ya ufanisi kuongezeka bandarini hapo.

Msemaji wa TPA amesema jambo kama hili zamani lisingewezekana lakini sasa shughuli za kutoa mzigo bandarini hazichukui zaidi ya siku tatu jambo lililowavutia sana wafanyabiashara wa South Africa

Chanzo: ITV habari
Mizigo bila namba?
 
Umeambiwa shughuli za kutoa mzigo bandarini hazichukui zaidi ya siku tatu na wasauzi wamefurahishwa na jambo hilo!
Hebu tukubaliane kwamba baada ya siku tatu mzigo inatoka bandarini. Baada ya hapo siku ya nne unaanza safari ya kupelekwa huko SA. Toka hapa kwetu, pitia mipaka ya Zambia, Zimbabwe hadi Afrika Kusini si chini ya siku tatu. Je, hi inalipa kweli kwa wafanyabiashara wa Afrika Kusini kwa maana ya muda na gharama za usafirishaji?
 
Post # 123 yupo sahihi na ndicho msemaji wa TPA alichosema.
 
Mizigo bila namba?
Hawa vichaa wapuuze tu wamechanganyikiwa.

Ukiwa pale Cape town kuna freezer ship zinatoka direct ni port to port to Cape town, meli zile zingewahi kuja Bongo hata siku moja nadhani lingepitishwa azimio bungeni Magu atangazwe kuwa mwenye umungu mmoja sawa na Baba.

Na kama kuna mtu wa South Africa anayeweza kupitishia mzigo wake Tanzania basi ujuwe kuna mtandao mpya wa wizi na upigaji.
 
South African business men who have interests in countries like DRC, Zambia, Malawi. Tanzania is a better option than South Africa, Tanzania imependelewa kijiografia kuliko nchi nyingi za Afrika natumahi uko unafahamu hilo.
Kama ni hivyo hii haikupaswa kuwa habari. Ni sawa tu na kusema Vodacom Tz (ni ya wa South Africa), wanatumia Bandari ya Dar! Isn't it just a logical thing to do? Actually, itakuwa habari kama nikisikia Vodacom Tz wanapitisha mizigo yao Durban badala ya Dar. Ama?
 
Hapo durban meli ikifika ikitoa mizigo muda huo huo unapokea yaani mnavuka mipaka ya uongo wenzenu wapo kwenye kiwango cha juu mno mnajifananisha nao na hawana tozo nyingi Kama daslm port...
 
Kama ni hivyo hii haikupaswa kuwa habari. Ni sawa tu na kusema Vodacom Tz (ni ya wa South Africa), wanatumia Bandari ya Dar! Isn't it just a logical thing to do? Actually, itakuwa habari kama nikisikia Vodacom Tz wanapitisha mizigo yao Durban badala ya Dar. Ama?
Kazi kweli kweli!
 
Nchi ya Afrika Kusini imeanza kupitishia mizigo yake katika bandari ya Dar es salaam baada ya ufanisi kuongezeka bandarini hapo.

Msemaji wa TPA amesema jambo kama hili zamani lisingewezekana lakini sasa shughuli za kutoa mzigo bandarini hazichukui zaidi ya siku tatu jambo lililowavutia sana wafanyabiashara wa South Africa

Chanzo: ITV habari
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] south Africa ya Chato itakuwa hiyo
 
Wana bandar kubwa karbu 4 afu ipo ya jiran ya Beira kule ipo pale Namibia jiran kabisa sasa Dar na SA tena duuu
 
Back
Top Bottom