Wewe ndio mbwiga kwani SA hawauzi Zambia na DRC?!
Bavicha mna viburi sana!
Tuliza akili dogo acha mihemko! up countiries mna viherehere sana kuisemea Bandari ya bongoland sijui kwa nini? hauishi bongoland but unaisemea Bandari za Bongoland hivi unajua kwa nini uzalishaji kwa TAZARA ulishuka sana, na unaendelea kushuka mpaka leo?
Lusaka commercial Centre, Bandari salama na Durban ni wapi bei nafuuu, salama na karibu? kwa akili za geografia ya drs la nne sasa hizi! tuanzie hapo! hata kama ulisikia ITV huwezi tumiakichwa chako kutafakari? how possible?
Unayabeba ya wanasiasa wa maji nanii ... Bongo land km yalivyo unayakalia!! unayaleta humu. dogo!! dogo utachina wakati siyo muda wako !!! yaani huelewiiii!! eti wapi vile DRC hivi bado tu unaamini DRC ni salama kweli kwa biashara? za nini
kwanza watu wenyewe kucha kutwa wanakimbia kimbia wale!! hawajatulia wale, watauza nini? na kununua saa ngapi? kwa nani? ili Taifa lolote Duniani liendelee linahitaji vitu vinne au ukilaza wako hukusoma hii shule ya msingi?;
!1.Watu,- jiulize wapo au walikimbia, na wanaendelea wanakimbia? hata hao wachache hawana ulinzi pili hawajiamini km kesho itafika, hana hela halafu wewe umpelekee mafuta ya gari! hii akili au kopo?
2.Ardhi, ipo je inatumika kuzalisha ipasavyo wkt hkn watu?
3.Siasa safi - zipo DRC juzi kati hapa zimepigwa bungeni au hukuona weye? na
4. Uongo... bora s
asa je hayo yapo- DRC? si ndivo mlivofundishwa huko katani kwenu au hukuhudhuria wewe? ulikuwa mtoro? hiyo shule yako ya nyuma huko itumie hapa au ulitupa daftari?
sasa km haya yote hayapo DRC eti weye sijui muarabu unaenda fanya biashara huko, sijui utanya na nyani? elimu ya Mkapa haikukusaidia kitu! rudi drsani!
kwanza shughuli za uzalishaji mali wale hawafanyi ni chupi mkononi mda wowote kinanuka!! wewe yohana mbatizaji wa wapi sijui upeleke Mimali yako hapo ukauze kwa usalama wakati wenyeji hawapo upate faida urudi bongo sijui south ule na kunywa?
oK biashara ajili ya nani? wewe ukiona Siraha rasmi ya kikundi rasmi zinapita Bongo to kongo unashangilia na kudhani ni biashara ya kawaida ile DRC kumekucha siyo? sasa gusa ufe!!! Utumiwe kama chambo kwanza nikuulize wewe ni mzungu au!!!
Zambia ni sawa kuna utulivu hii kwanza hata usingeisema sababu tangia JK nyerere tuanayo hii!! lkn hawatumii bandari zetu finyu!! Wana siasa wanasemaga kwa watu km nyie mnayachukua km yalivo mnaenda kusambaza kwa watu wenye akili zao! tunasem noooooo!