Wewe nae mhenga eehh..!Yaani umeniwahi
Mnataka Mwishekh ni legendary mkuuWewe nae mhenga eehh..!
Maana yake ndio hiyo hiyo movie jombaa!Tukio niliona lakini sidhani kama lilikuwa Movie.
Au tueleze kwanza ni nini maana ya Movie?
Georgina is my favourite songMarijani Rajab - Mtanzania halisi
[emoji12] [emoji12] [emoji12] [emoji12]Dudu baya
Kama Diamond ni muungwana sidhani kama ataruhusu iwekwe kumbukumbu yake aachwe jabali la muziki Marijani Rajabu.Diamond platnum
Kwangu jumlisha na UsiaGeorgina my favourite song
Ule mwimbo una maadili sanaKwangu jumlisha na Usia
Tanzania tumjengee Chid Benz![emoji53][emoji53][emoji53]
Remy ongala
Sana sana. Sidhani kama nyimbo za namna ile tutazipata tena kutoka kwa wasanii wetu wa sasaUle mwimbo una maadili sana