Afrika Kusini wasijaribu kutaka kuzichapa na Rwanda. Watachakazwa vibaya sana

Afrika Kusini wasijaribu kutaka kuzichapa na Rwanda. Watachakazwa vibaya sana

Umeshindwa boya wewe useless man nenda kadeki huko. Hoja huwezi, English hujui umebaki kubweka tu nyeeenyee. I am more clever than you how could I be jealous to an ignoramus like you. We Osha deki vizuri omba tu Trump asikushike. Issue complex za Rwanda na South Africa tuachie sisi wenye uelewa mkubwa. We bishana kwenye topic za fagio moja linaweza fagia umbali gani kwa saa. Ni watu wangapi wanaweza Osha vyomba vya mgahawa siku nzimaa
Umeshindwa boya wewe useless man nenda kadeki huko. Hoja huwezi, English hujui umebaki kubweka tu nyeeenyee. I am more clever than you how could I be jealous to an ignoramus like you. We Osha deki vizuri omba tu Trump asikushike. Issue complex za Rwanda na South Africa tuachie sisi wenye uelewa mkubwa. We bishana kwenye topic za fagio moja linaweza fagia umbali gani kwa saa. Ni watu wangapi wanaweza Osha vyomba vya mgahawa siku nzimaa
 
Umeshindwa boya wewe useless man nenda kadeki huko. Hoja huwezi, English hujui umebaki kubweka tu nyeeenyee. I am more clever than you how could I be jealous to an ignoramus like you. We Osha deki vizuri omba tu Trump asikushike. Issue complex za Rwanda na South Africa tuachie sisi wenye uelewa mkubwa. We bishana kwenye topic za fagio moja linaweza fagia umbali gani kwa saa. Ni watu wangapi wanaweza Osha vyomba vya mgahawa siku nzimaa
Mbona una copy message Zangu useless man
 
Kagame anajiamini anajua anachofanya. Kumwambia SA kuwa "ukitaka kupigana njoo...... " Anajua kuwa SA. hawana jeshi lenye nidhamu na pia hawaifahamu Congo na Misitu yake. Huwezi pigana na Kagame katika misitu ya Congo atakuchapa. Anaifahamu vizuri.

Labda sasa mpigane kwa kurushiana mabomu tu juu kwa juu. Lakini mimi nimefanya kazi na jesh la SA. wa hovyo sana wale jamaa hawana nidhamu kabisa. Watu wa starehe kinyama. Piga sana pombe na mademu. Halafu hawataki shida.

Tofauti na M23 na Kagame.hawa jamaa ni wabishi sana. Nimeona kazi zao hasa huko maporini. SADC na MONUSCO wanapata kipigo sometimes hawaelewi wafanye nini. Wanachoka. Hali ni mbaya kwao.

Ramaphosa ni mmoja ya Maraisi Bwege sana. Ni kama tutusa tu. Ndo maana Kagame hamwogopi. Na hana uungwaji mkono mkubwa huko SA. Basi tu wananchi wa SA ndo wale wale wanaumizwa na ukabila.

Soma pia:
Nchi ya Rwanda ni sawa na Mkoa wa Tanga tu ,dakika 0 wanachakazwa.
 
Kagame ana watu huko SA. AMBAYO NI KAMA STATE ILIYO FAIL. NIMEKAA MIAKA 3 SA. naifahamu. Kagame alishaingia SA. AKAUA MTU ALIYETAKA NA AKAONDOKA BILA SHIDA. ANAIJUA SA. Wewe hujui kitu.

Nimefanya kazi mataifa makubwa 7 hapa Afrika na matatu madogo ikiwemo Rwanda. Naelewa. Kwa sasa nipo MAREKANI mwaka wa ...... Huu. Kagame nafahamu kwa nini anadindisha kwa Sa. Sasa wewe sema ni kahawa. Wala sikukatazi.
Mfuga ng'ombe yule hana maajabu ayq mnayo mpa
 
Huyo Rais wa SA apambane na matatizo ya nchi yake yakiwemo umasikini, magonjwa, ukoswfu wa ajira, ubovu wa miondo mbinu, mauaji, ujambazi, ukosefu wa umeme nk.
 
Umeshindwa boya wewe useless man nenda kadeki huko. Hoja huwezi, English hujui umebaki kubweka tu nyeeenyee. I am more clever than you how could I be jealous to an ignoramus like you. We Osha deki vizuri omba tu Trump asikushike. Issue complex za Rwanda na South Africa tuachie sisi wenye uelewa mkubwa. We bishana kwenye topic za fagio moja linaweza fagia umbali gani kwa saa. Ni watu wangapi wanaweza Osha vyomba vya mgahawa siku nzimaa
Duh JF mna vituko.
 
Kagame ana watu huko SA. AMBAYO NI KAMA STATE ILIYO FAIL. NIMEKAA MIAKA 3 SA. naifahamu. Kagame alishaingia SA. AKAUA MTU ALIYETAKA NA AKAONDOKA BILA SHIDA. ANAIJUA SA. Wewe hujui kitu.

Nimefanya kazi mataifa makubwa 7 hapa Afrika na matatu madogo ikiwemo Rwanda. Naelewa. Kwa sasa nipo MAREKANI mwaka wa ...... Huu. Kagame nafahamu kwa nini anadindisha kwa Sa. Sasa wewe sema ni kahawa. Wala sikukatazi.
Unasubiri kurudishwa maana hata miaka hujaiandika kuonesha kwamba kwa vle hatukujui unaongopea watu sijui mataifa saba sijui dah aisee watz kwa kujipakulia
 
Kagame anajiamini anajua anachofanya. Kumwambia SA kuwa "ukitaka kupigana njoo...... " Anajua kuwa SA. hawana jeshi lenye nidhamu na pia hawaifahamu Congo na Misitu yake. Huwezi pigana na Kagame katika misitu ya Congo atakuchapa. Anaifahamu vizuri.

Labda sasa mpigane kwa kurushiana mabomu tu juu kwa juu. Lakini mimi nimefanya kazi na jesh la SA. wa hovyo sana wale jamaa hawana nidhamu kabisa. Watu wa starehe kinyama. Piga sana pombe na mademu. Halafu hawataki shida.

Tofauti na M23 na Kagame.hawa jamaa ni wabishi sana. Nimeona kazi zao hasa huko maporini. SADC na MONUSCO wanapata kipigo sometimes hawaelewi wafanye nini. Wanachoka. Hali ni mbaya kwao.

Ramaphosa ni mmoja ya Maraisi Bwege sana. Ni kama tutusa tu. Ndo maana Kagame hamwogopi. Na hana uungwaji mkono mkubwa huko SA. Basi tu wananchi wa SA ndo wale wale wanaumizwa na ukabila.

Soma pia:
According to the Global Firepower Index, the following African countries ranked highest at the start of 2025:
RankCountryGlobal Rank (2024)Global Rank (2025)PwrIndx Score
1Egypt15th19th0.34
2Algeria26th26th0.35
3Nigeria39th31st0.57
4South Africa33rd40th0.68
5Ethiopia49th52nd0.93
6Angola55th56th1.09
7Morocco61st59th1.12
8DR Congo73rd66th1.3
9Sudan76th73rd1.47
10Libya79th76th1.44
Although Egypt dropped slightly from 15th to 19th globally, it maintained its position as the top-ranked African nation in the Global Firepower Index.
Algeria maintained its position as 2nd in Africa and 26th globally, with a stable PowerIndex score of 0.35, reflecting consistent influence.
 
Mbona mnamkuza sana kagame, ana uwezo na mbinu gani za kuipiga south africa?
Hujagundua kitu? Sema Nchi yetu imelala sanaaa sijui tuna shida gani ila siasa ikiingia maeneo nyeti ndio hivi,,

Acha tu nikupe nyepesi, kuna watu wa propagands kutoka kule chigali kazi wameipiga kweli kweli mpaka baadhi ya Nchi kujiona si lolote si chochote

Inaonekana wakati m23 wanajiandaa kufanya manuva kitendo cha propaganda nacho kilikua kinajaza mabando ,

Ndio maana walipoishika tu Goma angalia mtiririko wa kumsifu Paka na Jeshi lake zilivyoanza , haya yote sio bahati mbaya watu wamekaa mezani
 
Hujagundua kitu? Sema Nchi yetu imelala sanaaa sijui tuna shida gani ila siasa ikiingia maeneo nyeti ndio hivi,,

Acha tu nikupe nyepesi, kuna watu wa propagands kutoka kule chigali kazi wameipiga kweli kweli mpaka baadhi ya Nchi kujiona si lolote si chochote

Inaonekana wakati m23 wanajiandaa kufanya manuva kitendo cha propaganda nacho kilikua kinajaza mabando ,

Ndio maana walipoishika tu Goma angalia mtiririko wa kumsifu Paka na Jeshi lake zilivyoanza , haya yote sio bahati mbaya watu wamekaa mezani
kama ni hivyo wanajeshi wetu walioko huko kunako vikosi vya kimataifa bora warudi nyumbani tu waache hao waasi waitwae congo yote. Sasa kama jeshi la congo ni dhaifu, la kazi gani?
 
Mda huu huko South Africa wako kwenye maonyesho ya uimara wa jeshi lao tayari kwa mapambano. Kagame ajipange, kainchi kote wanaweza wakafungiwa ndani.

Unaweza fuatilia youtube kwa kuandika maneno haya.

South African National Defence Force - Capability Demonstration!​

 
Kagame anajiamini anajua anachofanya. Kumwambia SA kuwa "ukitaka kupigana njoo...... " Anajua kuwa SA. hawana jeshi lenye nidhamu na pia hawaifahamu Congo na Misitu yake. Huwezi pigana na Kagame katika misitu ya Congo atakuchapa. Anaifahamu vizuri.

Labda sasa mpigane kwa kurushiana mabomu tu juu kwa juu. Lakini mimi nimefanya kazi na jesh la SA. wa hovyo sana wale jamaa hawana nidhamu kabisa. Watu wa starehe kinyama. Piga sana pombe na mademu. Halafu hawataki shida.

Tofauti na M23 na Kagame.hawa jamaa ni wabishi sana. Nimeona kazi zao hasa huko maporini. SADC na MONUSCO wanapata kipigo sometimes hawaelewi wafanye nini. Wanachoka. Hali ni mbaya kwao.

Ramaphosa ni mmoja ya Maraisi Bwege sana. Ni kama tutusa tu. Ndo maana Kagame hamwogopi. Na hana uungwaji mkono mkubwa huko SA. Basi tu wananchi wa SA ndo wale wale wanaumizwa na ukabila.

Soma pia:
Kwamba wewe kiazi umefanya kazi na Jeshi la SA!!!?

Makalio
 
Back
Top Bottom