Afrika Kusini wasijaribu kutaka kuzichapa na Rwanda. Watachakazwa vibaya sana

Afrika Kusini wasijaribu kutaka kuzichapa na Rwanda. Watachakazwa vibaya sana

Waha ni Kigoma huko Burundi ni Wahutu, just clarifying.
Tanzania hakuna ukabila unless useme wewe ni Mrundi, hatuwezi kuendeshwa na ukabila kwenye vita vya kikabila vya nchi nyingine.
Haya mimi ni Mburundi na Burundi ndiyo itayomyoa PAKA.
 
Mimi nilisha ongea humu zamani Rwanda wako vizuri kwenye vita hata JWTZ hawa mnao wasifu hawamuwezi Rwanda. Hivi JWTZ si wapo Congo sa qamefanya nini kuwazuia hao M23


JWTZ wale walio mpiga Idd Amin ni wale wa Nyerere si hawa wa show off na mizinga mitatu ya saba saba.

South Africa hawezi kupigana vita niko na wewe kumilik8 ndege za vita ay drones huwezi shinda vita vya chini.

Afu lazima watu waelelewe Rwanda hapo Congo hatoki akitoka ndio nchi yake imekufa tofauti na South Africa na Tanzania pamoja na hao Malawi

Mimi nakubaliana na wewe msitu wa Congo utawamaliza hao South Africa, Tanzania na Malawi.

Poleni mnao dhani vita ni kurusha mabomu kwa kutumia Sukhui za Congo mbona ni mapambo zimefanya nini au drones zake mpaa alie aombe msada kutoka South Africa
JWTZ ya sasa ni Bongo movie, watu bado wanaongelea jeshi la Nyerere wanasahau hili sasa wanaingia jeshini kwa vimemo.
 
Ni mjinga fulani hivi! Akianza kushambuliwa huwa analia kwenye Jumuiya za Kimataifa.

Kipindi cha mwanzo Tanzania ilipotoa kipondo kizito akatoa waraka mrefu kuanza kulia lia kwenye Jumuiya za Kimataifa.
Mzee Kikwete alimpiga vibaya sana hukohuko kwenye misitu ya Congo.
 
Haamii popote, hiyo huwa ni propaganda ya Wacongo wapiganiwe vita vyao na watu wengine. Wenyewe hawana utashi wala morari kuipigania nchi yao then watuletee utapeli wao wa Kicongo eti wakimaliza Congo watavamia nchi nyingine that's bull crap, wanalea wenyewe vi-ingredients vinavyowapa Rwanda vijisababu vya kusaidia waasi then vijana wetu wakawafie wao huku wenyewe wakiwa busy na sebene huko Kinshasa.
Congolese naturally ni matapeli, wanatengeza 'atmosphere' ya eti PK akimaliza Congo(DRC) atavamia nchi nyingine hivyo asaidiwe kitu ambacho indirectly ni kuziokoa hizo nchi nyingine, bullshit.
Manipulation at it's finest.
Uliza kwanini Nigeria licha ya kuwa nchi tajiri ila Hadi Sasa hawajawamaliza boko Haram
 
Easier said than done, wajaribu wakaone kale kamtu kembamba kama hawatasikia kako Bujumbura state house kanakunywa chai. Burundi ndiyo mizoga kabisa bora hata DRC.
Kwa hiyo unatuchukulia Warundi poa tu.Mbona 2015 hakunywea au bado anasubiri vitumbua.
 
Maafisa wa jeshi la Rwanda uliwaona Monduli usidhani that's the only place walipo, they're everywhere. Israel wapo, UK wapo, US wapo, Uganda wapo, Kenya wapo yaani wamewekeza katika jeshi kama Tanzania ilivyokuwa enzi za Nyerere. Wao mafunzo ya mbinu, discipline na kila kitu kinachowasaidia literally katika kila nyanja hawakiachi.
Wacongo wao wamebaki kuwa 'kubwa jinga' busy na masebene yao hiku viongozi wao wa kiraia na kijeshi wakishindana kuiba madini kujilimbikizia Ufaransa na Ubelgiji.
Sasa mwanafunzi atamzidi mwalimu wake? Naona humu mnawasifia. DRC sio kubwa jinga bali US na EU ulafi wao wa mali ndio unaosabisha yote haya,hawa jamaa wakitaka lao hawajali ni nani na njia ipi watumie,kwani wapo tayari kutumia njia haramu kwa ajili ya maslahi yao.
 
Kagame anajiamini anajua anachofanya. Kumwambia SA kuwa "ukitaka kupigana njoo...... " Anajua kuwa SA. hawana jeshi lenye nidhamu na pia hawaifahamu Congo na Misitu yake. Huwezi pigana na Kagame katika misitu ya Congo atakuchapa. Anaifahamu vizuri.

Labda sasa mpigane kwa kurushiana mabomu tu juu kwa juu. Lakini mimi nimefanya kazi na jesh la SA. wa hovyo sana wale jamaa hawana nidhamu kabisa. Watu wa starehe kinyama. Piga sana pombe na mademu. Halafu hawataki shida.

Tofauti na M23 na Kagame.hawa jamaa ni wabishi sana. Nimeona kazi zao hasa huko maporini. SADC na MONUSCO wanapata kipigo sometimes hawaelewi wafanye nini. Wanachoka. Hali ni mbaya kwao.

Ramaphosa ni mmoja ya Maraisi Bwege sana. Ni kama tutusa tu. Ndo maana Kagame hamwogopi. Na hana uungwaji mkono mkubwa huko SA. Basi tu wananchi wa SA ndo wale wale wanaumizwa na ukabila.

Soma pia:
Stori za wala ndumu na Smart Gin hizi.
Hamna unachojua
 
Unajarbu kujustify vitu hata huelewi unachokiongea. Kuishi SA, Rwanda na USA it does not necessarily makes you the clever. Usafananishe mtu kunyongana hotelini na vita, kwahiyo vita ikitokea Hao jamaa wa kagame South Africa watafanya nini? Kila kitu ulichosema ni story za kijiweni tu hamna valid point hata kidogo. South Africa akiamua kumshambulia Rwanda sio lazima atume wanajeshi anaweza kutuma ndege na the fact that anasupport kutoka DRC, DRC inaweza kutumika kama staging ground ya attacks kwa kutumia ndege, drones mizinga amboza SA anazo nyingi infact anatengeza mwenyewe SA haitaji kutuma jeshi la chini kumpiga Rwanda, vilevile Rwanda ni nchi ndogo sana haitachukua muda madaraja, kambi za kijeshi, airport, reserve za mafuta, mifumo ya mawasiliano na vyanzo vyote muhimu kushambuliwa. Ni vigumu Rwanda kurudisha attack South Africa sababu Hana long range missile, Hana ndege za kutosha, Hana support kutoka nchi yeyote ya SADC inayopakana na SA that he can use as a stagging ground vilevile Rwanda ni landlocked country Hana boti za kusafiri kwenda kushambulia SA. Kilichobaki ni labda terrorist attacks ambzo SA anaweza ku contains. Rwanda anapiga biti kisa anajua kwamba bunge la SA haliwezi izinisha vita, if it happens Rwanda atafurahia na mind you charter ya SADC inasema mmoja akishambuliwa wote wanaulazima kuunga mkono
Not the clever. Sema does not make clever. Dogo hujui kitu. Nyamaza tu.
 
Unajua hata nzi angeweza kabisa kuwa Kama nyuma

Usiwe nzi my friend…. Mavi siyo chakula

Hii akili yako si salama sana Kwa wanaokupenda
Unajua hata nzi angeweza kabisa kuwa Kama nyuma

Usiwe nzi my friend…. Mavi siyo chakula

Hii akili yako si salama sana Kwa wanaokupenda

Unajua hata nzi angeweza kabisa kuwa Kama nyuma

Usiwe nzi my friend…. Mavi siyo chakula

Hii akili yako si salama sana Kwa wanaokupenda
 
kwetu asijaribu kupatamani, atapigwa mpaka kwake
Ana watu kibao wamejaa kwenye serikali yetu...
Mimi nawafahamu watu kibao ambao wanafanya kazi tz ambao ni watu wake kuna mmoja hata sikwuahi kujua kama ni kutoka huko wakati nimemfahamu kwa zaidi ya miaka 20 na mara ya mwisho wakati namwona ndiyo wale walikuwa wanajenga dodoma enzi za magu hapo ndipo alinieleza amefikaje hapo na akaniambia kuwa ni mtu wa huko. Mimi wakati namfahamu alikuwa analisha ng'ombe kwa jamaa fulani ila nikaja kumwona ameshapanda hadi kufika kuwa kwenye hilo shirika la ujenzi.
 
Kagame anajiamini anajua anachofanya. Kumwambia SA kuwa "ukitaka kupigana njoo...... " Anajua kuwa SA. hawana jeshi lenye nidhamu na pia hawaifahamu Congo na Misitu yake. Huwezi pigana na Kagame katika misitu ya Congo atakuchapa. Anaifahamu vizuri.

Labda sasa mpigane kwa kurushiana mabomu tu juu kwa juu. Lakini mimi nimefanya kazi na jesh la SA. wa hovyo sana wale jamaa hawana nidhamu kabisa. Watu wa starehe kinyama. Piga sana pombe na mademu. Halafu hawataki shida.

Tofauti na M23 na Kagame.hawa jamaa ni wabishi sana. Nimeona kazi zao hasa huko maporini. SADC na MONUSCO wanapata kipigo sometimes hawaelewi wafanye nini. Wanachoka. Hali ni mbaya kwao.

Ramaphosa ni mmoja ya Maraisi Bwege sana. Ni kama tutusa tu. Ndo maana Kagame hamwogopi. Na hana uungwaji mkono mkubwa huko SA. Basi tu wananchi wa SA ndo wale wale wanaumizwa na ukabila.

Soma pia:
Screenshot_20250131-054422.jpg
 
Hizi jumuiya zilibidi ziwe hazicheki na nyani kama vile ECOWAS ilivyomtoa Yahya kule... Sema sasa wanaonea noma maana wote ni wale wale, huyu anawaza nikijitia kimbelembele kesho ntaiba uchaguzi na mimi waniandame, mwingine anawaza nitabadili katiba nibake madarakani waniandame basi wanaamua kupiga kimya.
Umewaza mbali sana huenda hii ikawa ni sababu inayowafanya wasite kumuadabisha Rwanda haiwezekani kinchi kidogo kama kile wakiogope haimake sense.
 
Uzuri wa JF kwenye kila mada kuna watu wamebobea
Kuna ma General wa jeshi humu...

Kuna wataalamu wa mambo ya anga humu....

Kuna wasemaji wa waasi wa M23 humu......

Kwa kifupi JF imekamilika
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
na pia kuna walioishi karibu na Ikulu ya kila nchi,hahahaha
 
Inaonekana wewe ni mmoja wa wale watu wanao chukulia vita kama kwenye movie za kimarekani, kama unajinadi umefanya kazi na jeshi la afrika kusini basi pia ungejua kwamba ni moja ya nchi afrika zenye jeshi la kisasa na bora kabisa na silaha zingine wana tengeneza wenyewe
 
Back
Top Bottom