Afrika Kusini wasijaribu kutaka kuzichapa na Rwanda. Watachakazwa vibaya sana

Afrika Kusini wasijaribu kutaka kuzichapa na Rwanda. Watachakazwa vibaya sana

Kagame ana watu huko SA. AMBAYO NI KAMA STATE ILIYO FAIL. NIMEKAA MIAKA 3 SA. naifahamu. Kagame alishaingia SA. AKAUA MTU ALIYETAKA NA AKAONDOKA BILA SHIDA. ANAIJUA SA. Wewe hujui kitu.

Nimefanya kazi mataifa makubwa 7 hapa Afrika na matatu madogo ikiwemo Rwanda. Naelewa. Kwa sasa nipo MAREKANI mwaka wa ...... Huu. Kagame nafahamu kwa nini anadindisha kwa Sa. Sasa wewe sema ni kahawa. Wala sikukatazi.
Vipi kuhusu jeshi la Tz?
 
Kagame anajiamini anajua anachofanya. Kumwambia SA kuwa "ukitaka kupigana njoo...... " Anajua kuwa SA. hawana jeshi lenye nidhamu na pia hawaifahamu Congo na Misitu yake. Huwezi pigana na Kagame katika misitu ya Congo atakuchapa. Anaifahamu vizuri.

Labda sasa mpigane kwa kurushiana mabomu tu juu kwa juu. Lakini mimi nimefanya kazi na jesh la SA. wa hovyo sana wale jamaa hawana nidhamu kabisa. Watu wa starehe kinyama. Piga sana pombe na mademu. Halafu hawataki shida.

Tofauti na M23 na Kagame.hawa jamaa ni wabishi sana. Nimeona kazi zao hasa huko maporini. SADC na MONUSCO wanapata kipigo sometimes hawaelewi wafanye nini. Wanachoka. Hali ni mbaya kwao.

Ramaphosa ni mmoja ya Maraisi Bwege sana. Ni kama tutusa tu. Ndo maana Kagame hamwogopi. Na hana uungwaji mkono mkubwa huko SA. Basi tu wananchi wa SA ndo wale wale wanaumizwa na ukabila.

Soma pia:
Kagame atapigiwa ndani ya Kigali mpaka achakae. Mwehu na muuaji.
 
Kagame anajiamini anajua anachofanya. Kumwambia SA kuwa "ukitaka kupigana njoo...... " Anajua kuwa SA. hawana jeshi lenye nidhamu na pia hawaifahamu Congo na Misitu yake. Huwezi pigana na Kagame katika misitu ya Congo atakuchapa. Anaifahamu vizuri.

Labda sasa mpigane kwa kurushiana mabomu tu juu kwa juu. Lakini mimi nimefanya kazi na jesh la SA. wa hovyo sana wale jamaa hawana nidhamu kabisa. Watu wa starehe kinyama. Piga sana pombe na mademu. Halafu hawataki shida.

Tofauti na M23 na Kagame.hawa jamaa ni wabishi sana. Nimeona kazi zao hasa huko maporini. SADC na MONUSCO wanapata kipigo sometimes hawaelewi wafanye nini. Wanachoka. Hali ni mbaya kwao.

Ramaphosa ni mmoja ya Maraisi Bwege sana. Ni kama tutusa tu. Ndo maana Kagame hamwogopi. Na hana uungwaji mkono mkubwa huko SA. Basi tu wananchi wa SA ndo wale wale wanaumizwa na ukabila.

Soma pia:

View: https://x.com/RwandaMoD/status/1885025761335332901?t=NlwpwJKhHTaNSKbwSDg8wQ&s=19
 
Kagame anajiamini anajua anachofanya. Kumwambia SA kuwa "ukitaka kupigana njoo...... " Anajua kuwa SA. hawana jeshi lenye nidhamu na pia hawaifahamu Congo na Misitu yake. Huwezi pigana na Kagame katika misitu ya Congo atakuchapa. Anaifahamu vizuri.

Labda sasa mpigane kwa kurushiana mabomu tu juu kwa juu. Lakini mimi nimefanya kazi na jesh la SA. wa hovyo sana wale jamaa hawana nidhamu kabisa. Watu wa starehe kinyama. Piga sana pombe na mademu. Halafu hawataki shida.

Tofauti na M23 na Kagame.hawa jamaa ni wabishi sana. Nimeona kazi zao hasa huko maporini. SADC na MONUSCO wanapata kipigo sometimes hawaelewi wafanye nini. Wanachoka. Hali ni mbaya kwao.

Ramaphosa ni mmoja ya Maraisi Bwege sana. Ni kama tutusa tu. Ndo maana Kagame hamwogopi. Na hana uungwaji mkono mkubwa huko SA. Basi tu wananchi wa SA ndo wale wale wanaumizwa na ukabila.

Soma pia:

View: https://x.com/Labella_Mafia95/status/1884964753845453296?t=oHCP9ywAMcspwAO58OhayA&s=19
 
Kagame ana watu huko SA. AMBAYO NI KAMA STATE ILIYO FAIL. NIMEKAA MIAKA 3 SA. naifahamu. Kagame alishaingia SA. AKAUA MTU ALIYETAKA NA AKAONDOKA BILA SHIDA. ANAIJUA SA. Wewe hujui kitu.

Nimefanya kazi mataifa makubwa 7 hapa Afrika na matatu madogo ikiwemo Rwanda. Naelewa. Kwa sasa nipo MAREKANI mwaka wa ...... Huu. Kagame nafahamu kwa nini anadindisha kwa Sa. Sasa wewe sema ni kahawa. Wala sikukatazi.
Unajarbu kujustify vitu hata huelewi unachokiongea. Kuishi SA, Rwanda na USA it does not necessarily makes you clever. Usafananishe mtu kunyongana hotelini na vita, kwahiyo vita ikitokea Hao jamaa wa kagame South Africa watafanya nini? Kila kitu ulichosema ni story za kijiweni tu hamna valid point hata kidogo. South Africa akiamua kumshambulia Rwanda sio lazima atume wanajeshi anaweza kutuma ndege na the fact that anasupport kutoka DRC, DRC inaweza kutumika kama staging ground ya attacks kwa kutumia ndege, drones mizinga amboza SA anazo nyingi infact anatengeza mwenyewe SA haitaji kutuma jeshi la chini kumpiga Rwanda, vilevile Rwanda ni nchi ndogo sana haitachukua muda madaraja, kambi za kijeshi, airport, reserve za mafuta, mifumo ya mawasiliano na vyanzo vyote muhimu kushambuliwa. Ni vigumu Rwanda kurudisha attack South Africa sababu Hana long range missile, Hana ndege za kutosha, Hana support kutoka nchi yeyote ya SADC inayopakana na SA that he can use as a stagging ground vilevile Rwanda ni landlocked country Hana boti za kusafiri kwenda kushambulia SA. Kilichobaki ni labda terrorist attacks ambzo SA anaweza ku contains. Rwanda anapiga biti kisa anajua kwamba bunge la SA haliwezi izinisha vita, if it happens Rwanda atafurahia na mind you charter ya SADC inasema mmoja akishambuliwa wote wanaulazima kuunga mkono
 
Unajarbu kujustify vitu hata huelewi unachokiongea. Kuishi SA, Rwanda na USA it does not necessarily makes you the clever. Usafananishe mtu kunyongana hotelini na vita, kwahiyo vita ikitokea Hao jamaa wa kagame South Africa watafanya nini? Kila kitu ulichosema ni story za kijiweni tu hamna valid point hata kidogo. South Africa akiamua kumshambulia Rwanda sio lazima atume wanajeshi anaweza kutuma ndege na the fact that anasupport kutoka DRC, DRC inaweza kutumika kama staging ground ya attacks kwa kutumia ndege, drones mizinga amboza SA anazo nyingi infact anatengeza mwenyewe SA haitaji kutuma jeshi la chini kumpiga Rwanda, vilevile Rwanda ni nchi ndogo sana haitachukua muda madaraja, kambi za kijeshi, airport, reserve za mafuta, mifumo ya mawasiliano na vyanzo vyote muhimu kushambuliwa. Ni vigumu Rwanda kurudisha attack South Africa sababu Hana long range missile, Hana ndege za kutosha, Hana support kutoka nchi yeyote ya SADC inayopakana na SA that he can use as a stagging ground vilevile Rwanda ni landlocked country Hana boti za kusafiri kwenda kushambulia SA. Kilichobaki ni labda terrorist attacks ambzo SA anaweza ku contains. Rwanda anapiga biti kisa anajua kwamba bunge la SA haliwezi izinisha vita, if it happens Rwanda atafurahia na mind you charter ya SADC inasema mmoja akishambuliwa wote wanaulazima kuunga mkono

View: https://x.com/MpepoLungi/status/1885056348850627024?t=INwZtC-PjWe7knIDg__VZA&s=19
 
Kagame anajiamini anajua anachofanya. Kumwambia SA kuwa "ukitaka kupigana njoo...... " Anajua kuwa SA. hawana jeshi lenye nidhamu na pia hawaifahamu Congo na Misitu yake. Huwezi pigana na Kagame katika misitu ya Congo atakuchapa. Anaifahamu vizuri.

Labda sasa mpigane kwa kurushiana mabomu tu juu kwa juu. Lakini mimi nimefanya kazi na jesh la SA. wa hovyo sana wale jamaa hawana nidhamu kabisa. Watu wa starehe kinyama. Piga sana pombe na mademu. Halafu hawataki shida.

Tofauti na M23 na Kagame.hawa jamaa ni wabishi sana. Nimeona kazi zao hasa huko maporini. SADC na MONUSCO wanapata kipigo sometimes hawaelewi wafanye nini. Wanachoka. Hali ni mbaya kwao.

Ramaphosa ni mmoja ya Maraisi Bwege sana. Ni kama tutusa tu. Ndo maana Kagame hamwogopi. Na hana uungwaji mkono mkubwa huko SA. Basi tu wananchi wa SA ndo wale wale wanaumizwa na ukabila.

Soma pia:
Banyamulenge mmejaa humu. Nyie ni jamii hatari haifai ht kuishi karibu nanyi. Mmeuana na wahutu hamjatosheka, watutsi Wana laana ya asili, siyo watu wa amani
 
Unajarbu kujustify vitu hata huelewi unachokiongea. Kuishi SA, Rwanda na USA it does not necessarily makes you the clever. Usafananishe mtu kunyongana hotelini na vita, kwahiyo vita ikitokea Hao jamaa wa kagame South Africa watafanya nini? Kila kitu ulichosema ni story za kijiweni tu hamna valid point hata kidogo. South Africa akiamua kumshambulia Rwanda sio lazima atume wanajeshi anaweza kutuma ndege na the fact that anasupport kutoka DRC, DRC inaweza kutumika kama staging ground ya attacks kwa kutumia ndege, drones mizinga amboza SA anazo nyingi infact anatengeza mwenyewe SA haitaji kutuma jeshi la chini kumpiga Rwanda, vilevile Rwanda ni nchi ndogo sana haitachukua muda madaraja, kambi za kijeshi, airport, reserve za mafuta, mifumo ya mawasiliano na vyanzo vyote muhimu kushambuliwa. Ni vigumu Rwanda kurudisha attack South Africa sababu Hana long range missile, Hana ndege za kutosha, Hana support kutoka nchi yeyote ya SADC inayopakana na SA that he can use as a stagging ground vilevile Rwanda ni landlocked country Hana boti za kusafiri kwenda kushambulia SA. Kilichobaki ni labda terrorist attacks ambzo SA anaweza ku contains. Rwanda anapiga biti kisa anajua kwamba bunge la SA haliwezi izinisha vita, if it happens Rwanda atafurahia na mind you charter ya SADC inasema mmoja akishambuliwa wote wanaulazima kuunga mkono
Mzimbabwe tu alimnyoosha PAKA PAUL mpaka majeshi yake yakakimbilia Angola kwa msaada wa Unita.
 
Kagame anajiamini anajua anachofanya. Kumwambia SA kuwa "ukitaka kupigana njoo...... " Anajua kuwa SA. hawana jeshi lenye nidhamu na pia hawaifahamu Congo na Misitu yake. Huwezi pigana na Kagame katika misitu ya Congo atakuchapa. Anaifahamu vizuri.

Labda sasa mpigane kwa kurushiana mabomu tu juu kwa juu. Lakini mimi nimefanya kazi na jesh la SA. wa hovyo sana wale jamaa hawana nidhamu kabisa. Watu wa starehe kinyama. Piga sana pombe na mademu. Halafu hawataki shida.

Tofauti na M23 na Kagame.hawa jamaa ni wabishi sana. Nimeona kazi zao hasa huko maporini. SADC na MONUSCO wanapata kipigo sometimes hawaelewi wafanye nini. Wanachoka. Hali ni mbaya kwao.

Ramaphosa ni mmoja ya Maraisi Bwege sana. Ni kama tutusa tu. Ndo maana Kagame hamwogopi. Na hana uungwaji mkono mkubwa huko SA. Basi tu wananchi wa SA ndo wale wale wanaumizwa na ukabila.

Soma pia:
Unajua hata nzi angeweza kabisa kuwa Kama nyuma

Usiwe nzi my friend…. Mavi siyo chakula

Hii akili yako si salama sana Kwa wanaokupenda
 
Wanamwendekeza sana huyu jamaa akitoka Congo sijui atahamia wapi.
Haamii popote, hiyo huwa ni propaganda ya Wacongo wapiganiwe vita vyao na watu wengine. Wenyewe hawana utashi wala morari kuipigania nchi yao then watuletee utapeli wao wa Kicongo eti wakimaliza Congo watavamia nchi nyingine that's bull crap, wanalea wenyewe vi-ingredients vinavyowapa Rwanda vijisababu vya kusaidia waasi then vijana wetu wakawafie wao huku wenyewe wakiwa busy na sebene huko Kinshasa.
Congolese naturally ni matapeli, wanatengeza 'atmosphere' ya eti PK akimaliza Congo(DRC) atavamia nchi nyingine hivyo asaidiwe kitu ambacho indirectly ni kuziokoa hizo nchi nyingine, bullshit.
Manipulation at it's finest.
 
Wanyarwanda wamejazana kibao Munduli na vyuo vyetu vya kijeshi kufundishwa maswala ya uongozi na skills za kijeshi. Vitu vingine kama hamjui nyamazeni tu, ila hao unao wasifia ni weupe.

Sema tu nchi za Magharibi zinamlinda sababu maslahi yao DRC, maana zaidi ya asilimi sabini Cobalt inayotumika kwenye kutengeneza mabetri ya simu na magari inatokea DRC, bado kuna dhahabu, almasi,copper na madini mengine mengi.

Na kama hujui huu ugomvi Russia anataka kuununua na tayari kishatoa onyo kwa M23 na Rwanda waiache DRC na anafanya hivi kuwavurugia nchi za Magharibi hasa upande wa Cobalt,hata hao Mercenaries wapo kulinda maslahi ya nchi za Magharibi.
Maafisa wa jeshi la Rwanda uliwaona Monduli usidhani that's the only place walipo, they're everywhere. Israel wapo, UK wapo, US wapo, Uganda wapo, Kenya wapo yaani wamewekeza katika jeshi kama Tanzania ilivyokuwa enzi za Nyerere. Wao mafunzo ya mbinu, discipline na kila kitu kinachowasaidia literally katika kila nyanja hawakiachi.
Wacongo wao wamebaki kuwa 'kubwa jinga' busy na masebene yao hiku viongozi wao wa kiraia na kijeshi wakishindana kuiba madini kujilimbikizia Ufaransa na Ubelgiji.
 
Kagame anajiamini anajua anachofanya. Kumwambia SA kuwa "ukitaka kupigana njoo...... " Anajua kuwa SA. hawana jeshi lenye nidhamu na pia hawaifahamu Congo na Misitu yake. Huwezi pigana na Kagame katika misitu ya Congo atakuchapa. Anaifahamu vizuri.

Labda sasa mpigane kwa kurushiana mabomu tu juu kwa juu. Lakini mimi nimefanya kazi na jesh la SA. wa hovyo sana wale jamaa hawana nidhamu kabisa. Watu wa starehe kinyama. Piga sana pombe na mademu. Halafu hawataki shida.

Tofauti na M23 na Kagame.hawa jamaa ni wabishi sana. Nimeona kazi zao hasa huko maporini. SADC na MONUSCO wanapata kipigo sometimes hawaelewi wafanye nini. Wanachoka. Hali ni mbaya kwao.

Ramaphosa ni mmoja ya Maraisi Bwege sana. Ni kama tutusa tu. Ndo maana Kagame hamwogopi. Na hana uungwaji mkono mkubwa huko SA. Basi tu wananchi wa SA ndo wale wale wanaumizwa na ukabila.

Soma pia:
Mimi nilisha ongea humu zamani Rwanda wako vizuri kwenye vita hata JWTZ hawa mnao wasifu hawamuwezi Rwanda. Hivi JWTZ si wapo Congo sa wamefanya nini kuwazuia hao M23


JWTZ wale walio mpiga Idd Amin ni wale wa Nyerere, si hawa wa show off na mizinga mitatu ya saba saba.

South Africa hawezi kupigana vita niko na wewe kabisa hapo, kumiliki ndege za vita au drones huwezi shinda vita vya chini.

Afu lazima watu waelelewe Rwanda hapo Congo hatoki, akitoka ndio nchi yake imekufa, tofauti na South Africa na Tanzania pamoja na hao Malawi

Mimi nakubaliana na wewe msitu wa Congo utawamaliza hao South Africa, Tanzania na Malawi.

Poleni mnao dhani vita ni kurusha mabomu kwa kutumia ndege, Sukhui za Congo mbona ni mapambo zimefanya nini au drones zake, mpaa alie aombe msada kutoka South Africa
 
Back
Top Bottom