Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haha tena kwa huko congo ndo kwenyewe .......wale waganga waliokua wanasikika huko kigoma wanawatengeneza majambazi ndo haohao wa huko msituni , wengi wanasaidia wapiganaji wa kule na pia kazi za kwenye migodiOngezea na mbinu nyingine kongwe ya vita ya msituni ni nguvu za giza. Unakuta wahuni mwilini wana vitambaa vyekundu mara vifundo vya dawa shingoni, mikononi na viunoni.
Kikubwa jamaa kaonyesha anajua kucheza kete zake.....nchi zimeungana vs yeye peke yake na katuliza watuMnamkuza sana Kagame eti anaungwa mkono na mabeberu.
Naona mnatakia Kagame mabaya.
Hizi ni dalili za kifo kwake
Hii ni sababu mojawapo pia West wamekaa pembeni kabisa na hii issue ya Rwanda vs DRC, West au UN wakitoa kelele kidogo tu anatumia genocide kama kichaka cha kuwazodoa na kujifichia.Kitu kinachombeba Rwanda ni dunia kama iliwatelekeza kwenye mauaji yao. Kwa namna fulani kama amepewa room flani hivi!
Ukiwavamia moja kwa moja dunia itakuangalia vibaya! Na hiyo room Kagame ndiyo anaitumia.
Ni kama room anayoitumia Israel kwa majuaji ya kimbari aliyofanyiwa kwenye ww2. Sometimes wanatumia hiyo excuse kufanya mambo ya ajabu.
Nchi zipi zilizoungana na zimeungana ili zifanye nn?Kikubwa jamaa kaonyesha anajua kucheza kete zake.....nchi zimeungana vs yeye peke yake na katuliza watu
Acha kuotaKagame anajiamini anajua anachofanya. Kumwambia SA kuwa "ukitaka kupigana njoo...... " Anajua kuwa SA. hawana jeshi lenye nidhamu na pia hawaifahamu Congo na Misitu yake. Huwezi pigana na Kagame katika misitu ya Congo atakuchapa. Anaifahamu vizuri.
Labda sasa mpigane kwa kurushiana mabomu tu juu kwa juu. Lakini mimi nimefanya kazi na jesh la SA. wa hovyo sana wale jamaa hawana nidhamu kabisa. Watu wa starehe kinyama. Piga sana pombe na mademu. Halafu hawataki shida.
Tofauti na M23 na Kagame.hawa jamaa ni wabishi sana. Nimeona kazi zao hasa huko maporini. SADC na MONUSCO wanapata kipigo sometimes hawaelewi wafanye nini. Wanachoka. Hali ni mbaya kwao.
Ramaphosa ni mmoja ya Maraisi Bwege sana. Ni kama tutusa tu. Ndo maana Kagame hamwogopi. Na hana uungwaji mkono mkubwa huko SA. Basi tu wananchi wa SA ndo wale wale wanaumizwa na ukabila.
Soma pia:
Labda kwa manenoAcha kujidanganya , huyo mti mkavu atapigwa mpaka achakae.
Acha kuotaAcha kuota
Kumbuka alitaka vita ya kirafiki na MsogaWanamwendekeza sana huyu jamaa akitoka Congo sijui atahamia wapi.
Military budget yq Rwanda kwa mwaka ni kiasi gani?Acha kuota
Nenda kanywe maji ukojoe na kulala mwanangu.Kagame anajiamini anajua anachofanya. Kumwambia SA kuwa "ukitaka kupigana njoo...... " Anajua kuwa SA. hawana jeshi lenye nidhamu na pia hawaifahamu Congo na Misitu yake. Huwezi pigana na Kagame katika misitu ya Congo atakuchapa. Anaifahamu vizuri.
Labda sasa mpigane kwa kurushiana mabomu tu juu kwa juu. Lakini mimi nimefanya kazi na jesh la SA. wa hovyo sana wale jamaa hawana nidhamu kabisa. Watu wa starehe kinyama. Piga sana pombe na mademu. Halafu hawataki shida.
Tofauti na M23 na Kagame.hawa jamaa ni wabishi sana. Nimeona kazi zao hasa huko maporini. SADC na MONUSCO wanapata kipigo sometimes hawaelewi wafanye nini. Wanachoka. Hali ni mbaya kwao.
Ramaphosa ni mmoja ya Maraisi Bwege sana. Ni kama tutusa tu. Ndo maana Kagame hamwogopi. Na hana uungwaji mkono mkubwa huko SA. Basi tu wananchi wa SA ndo wale wale wanaumizwa na ukabila.
Soma pia:
Majeshi yako kule for peace keeping not war. Mnavyomkuza mnasahau ni juzi tu hao m23 walikimbizwa na jwtz kipindi cha mkwere. Na Rwanda hayuko peke yake Kuna Mseven pembeniNavyokaona haka kajamaa kamti mkavu. Kanaweza zichukua hizi nchi zote hapa East Africa na hata Centre au nasema uongo? Unajua majeshi ya nchi ngapi yapo Congo? Yanachapika.
Wameshindwaje mfutilia mbali hawa jamaa? Inashangaza sana. Ilitakiwa hao M23 wawe wameshaisha na hawataki hata kujisikia wenyewe. Lakini wanatamba mpaka leo na Kagame hajifichi kuwa anashirikiana nao. Na bado wakimzingua anawazingua. Hamwogopi wowote, hacheki na wowote.
Wasiwasi wangu akiamua kuzitawala hizi nchi za EA. Si itakuwa balaaa? Tutawezana kweli?
Nenda kanywe maji ukojoe na kulala mwanangu.Nenda kanywe maji ukojoe na kulala mwanangu.
unaenda vitani kulinda amani halafu unaogopa kudanjaNdio hivyo vita sio poa, kuuliwa walinda amani 13 sio jambo dogo
Imeingia siyo?😉😉😉😉😉Nenda kanywe maji ukojoe na kulala mwanangu.