Afrika Kusini wasijaribu kutaka kuzichapa na Rwanda. Watachakazwa vibaya sana

Afrika Kusini wasijaribu kutaka kuzichapa na Rwanda. Watachakazwa vibaya sana

Kagame anajiamini anajua anachofanya. Kumwambia SA kuwa "ukitaka kupigana njoo...... " Anajua kuwa SA. hawana jeshi lenye nidhamu na pia hawaifahamu Congo na Misitu yake. Huwezi pigana na Kagame katika misitu ya Congo atakuchapa. Anaifahamu vizuri.

Labda sasa mpigane kwa kurushiana mabomu tu juu kwa juu. Lakini mimi nimefanya kazi na jesh la SA. wa hovyo sana wale jamaa hawana nidhamu kabisa. Watu wa starehe kinyama. Piga sana pombe na mademu. Halafu hawataki shida.

Tofauti na M23 na Kagame.hawa jamaa ni wabishi sana. Nimeona kazi zao hasa huko maporini. SADC na MONUSCO wanapata kipigo sometimes hawaelewi wafanye nini. Wanachoka. Hali ni mbaya kwao.

Ramaphosa ni mmoja ya Maraisi Bwege sana. Ni kama tutusa tu. Ndo maana Kagame hamwogopi. Na hana uungwaji mkono mkubwa huko SA. Basi tu wananchi wa SA ndo wale wale wanaumizwa na ukabila.

Soma pia:
Hata kwa hesabu tu ya kipofu jambo lako haliwezekani.

Fananisha uchumi wa South Africa na Rwanda alafu uone nani anaweza kugharamia vita kwa mda mrefu na kumiliki zana za kisasa za vita.

Angalia population ya South Africa ni zaidi ya milioni 80 alafu population ya rwanda ni ni almost milioni 14 hadi 15, unadhani hapa nani atakuwa na man power ya kutosha kwa ajili ya vita.

Angalia ukubwa wa eneo la Rwanda alafu fananisha na South Africa, Rwanda ukubwa wake kieneo ni sawa na mkoa wa KAGERA, probably inaweza kushambuliwa kutoka pande zote 4 za dunia bila kipingamizi chochote maana ni land locked country haina hata bahari.

Shame on you Idiot
 
Hata kwa hesabu tu ya kipofu jambo lako haliwezekani.

Fananisha uchumi wa South Africa na Rwanda alafu uone nani anaweza kugharamia vita kwa mda mrefu na kumiliki zana za kisasa za vita.

Angalia population ya South Africa ni zaidi ya milioni 80 alafu population ya rwanda ni ni almost milioni 14 hadi 15, unadhani hapa nani atakuwa na man power ya kutosha kwa ajili ya vita.

Angalia ukubwa wa eneo la Rwanda alafu fananisha na South Africa, Rwanda ukubwa wake kieneo ni sawa na mkoa wa KAGERA, probably inaweza kushambuliwa kutoka pande zote 4 za dunia bila kipingamizi chochote maana ni land locked country haina hata bahari.

Shame on you Idiot
Shame on you Idiot
 
Kagame anajiamini anajua anachofanya. Kumwambia SA kuwa "ukitaka kupigana njoo...... " Anajua kuwa SA. hawana jeshi lenye nidhamu na pia hawaifahamu Congo na Misitu yake. Huwezi pigana na Kagame katika misitu ya Congo atakuchapa. Anaifahamu vizuri.

Labda sasa mpigane kwa kurushiana mabomu tu juu kwa juu. Lakini mimi nimefanya kazi na jesh la SA. wa hovyo sana wale jamaa hawana nidhamu kabisa. Watu wa starehe kinyama. Piga sana pombe na mademu. Halafu hawataki shida.

Tofauti na M23 na Kagame.hawa jamaa ni wabishi sana. Nimeona kazi zao hasa huko maporini. SADC na MONUSCO wanapata kipigo sometimes hawaelewi wafanye nini. Wanachoka. Hali ni mbaya kwao.

Ramaphosa ni mmoja ya Maraisi Bwege sana. Ni kama tutusa tu. Ndo maana Kagame hamwogopi. Na hana uungwaji mkono mkubwa huko SA. Basi tu wananchi wa SA ndo wale wale wanaumizwa na ukabila.

Soma pia:
sijui kwa nini watu huwa wanaiinua sana rwandam ambayo iliomba poo kwa kikwete kipindi kile kimyakimya. nakuhakikishia, haitachukua hata mwezi south africa atakuwa amefika ikulu ya kigali na kumfunga kamba kagame. mateso wanayopata wakongo ni makubwa sana, asilete kibesi wakati watu wanatoa machozi huko.
 
Ni kweli unachosema ila kwenye vita ya miguu kukwama ni lazima kama utamfuata adui kwake na mahali ambapo anapajua zaidi
Ni kama mtu aingie kwako

Hata US huko Iraq walishinda kwa ndege za kivita
Kama unampiga adui kutoka angani sawa ila kwa ardhi ni ngumu labda uwe na mapandikizi kwa miaka mingi
yah ardhini inabidi jeshi liwe vizuri ili kuweza kushinda, tena eneo kama wewe ni mgeni
 
Kagame ana watu huko SA. AMBAYO NI KAMA STATE ILIYO FAIL. NIMEKAA MIAKA 3 SA. naifahamu. Kagame alishaingia SA. AKAUA MTU ALIYETAKA NA AKAONDOKA BILA SHIDA. ANAIJUA SA. Wewe hujui kitu.

Nimefanya kazi mataifa makubwa 7 hapa Afrika na matatu madogo ikiwemo Rwanda. Naelewa. Kwa sasa nipo MAREKANI mwaka wa ...... Huu. Kagame nafahamu kwa nini anadindisha kwa Sa. Sasa wewe sema ni kahawa. Wala sikukatazi.
Mwanangu unaweza kutishia mtu 😂😂
Kwa mtu mgeni hapa anaweza anza kuogopa 😂

Kwamba ulifanya kazi Rwanda pale kama mtu wa Secret service ? Huko USA upo white house ? Au ni muuza viaz mtaani ndio unajifanya unajua nch nzima ?
 
Navyokaona haka kajamaa kamti mkavu. Kanaweza zichukua hizi nchi zote hapa East Africa na hata Centre au nasema uongo? Unajua majeshi ya nchi ngapi yapo Congo? Yanachapika.

Wameshindwaje mfutilia mbali hawa jamaa? Inashangaza sana. Ilitakiwa hao M23 wawe wameshaisha na hawataki hata kujisikia wenyewe. Lakini wanatamba mpaka leo na Kagame hajifichi kuwa anashirikiana nao. Na bado wakimzingua anawazingua. Hamwogopi wowote, hacheki na wowote.

Wasiwasi wangu akiamua kuzitawala hizi nchi za EA. Si itakuwa balaaa? Tutawezana kweli?
Wee jamaa una degedege wahi hospital
i!
 
Ngoja uone kama Ramaphosa atatia pua yake. Si amekaribishwa.
When comparing the South African Army to the Rwandan Army, the South African Army generally holds a significant advantage due to its larger size, more advanced weaponry, and greater combat experience, particularly in conventional warfare; however, the Rwandan Army is considered highly disciplined and effective in asymmetric warfare, especially in peacekeeping and counter-insurgency operations, which could be a factor in certain scenarios
 
Mwanangu unaweza kutishia mtu 😂😂
Kwa mtu mgeni hapa anaweza anza kuogopa 😂

Kwamba ulifanya kazi Rwanda pale kama mtu wa Secret service ? Huko USA upo white house ? Au ni muuza viaz mtaani ndio unajifanya unajua nch nzima ?
Mi ni mbeba mabox tu mitaani USA.
 
When comparing the South African Army to the Rwandan Army, the South African Army generally holds a significant advantage due to its larger size, more advanced weaponry, and greater combat experience, particularly in conventional warfare; however, the Rwandan Army is considered highly disciplined and effective in asymmetric warfare, especially in peacekeeping and counter-insurgency operations, which could be a factor in certain scenarios
I totally agree with you. Those are factors to be considered when discussing these two nations. SA army lacks discipline and internal motivation. They are like a bunch of teenagers.
 
Mara nyingi hizo rank zinaangaliaga bajet, mavifaa yako na mazaga mengine,,,ila vita ya msituni usiombee ukutane na wataalam na hilo eneo wao ndo wawe wenyeji...Mmarekani alipambana na Vietnam na ubabe wake wote ila ikafika mahali ikabidi aondoke tu sio kwamba alishindwa, ila ile kitu unajua umemaliza adui kumbe bado inatesa sana hadi unaamua mwenyewe unasepa, ndo kama M23 wakipatikana wanachapika unajua umemaliza kumbe wanarudi kujipanga wakikaa sawa wanarudi tena , kumaliza hizo vita ni ngumu hadi watu waamue kukubaliana kuyajenga................modern warfare imebase sana kwenye miji na jangwani bado hatujaona mapambano makubwa ya kivita msituni,,,,ndo maana unaweza ukawa na mavifaa ya kutosha ukienda kichwakichwa unakalishwa
Ongezea na mbinu nyingine kongwe ya vita ya msituni ni nguvu za giza. Unakuta wahuni mwilini wana vitambaa vyekundu mara vifundo vya dawa shingoni, mikononi na viunoni.
 
Navyokaona haka kajamaa kamti mkavu. Kanaweza zichukua hizi nchi zote hapa East Africa na hata Centre au nasema uongo? Unajua majeshi ya nchi ngapi yapo Congo? Yanachapika.

Wameshindwaje mfutilia mbali hawa jamaa? Inashangaza sana. Ilitakiwa hao M23 wawe wameshaisha na hawataki hata kujisikia wenyewe. Lakini wanatamba mpaka leo na Kagame hajifichi kuwa anashirikiana nao. Na bado wakimzingua anawazingua. Hamwogopi wowote, hacheki na wowote.

Wasiwasi wangu akiamua kuzitawala hizi nchi za EA. Si itakuwa balaaa? Tutawezana kweli?
Wanyarwanda wamejazana kibao Munduli na vyuo vyetu vya kijeshi kufundishwa maswala ya uongozi na skills za kijeshi. Vitu vingine kama hamjui nyamazeni tu, ila hao unao wasifia ni weupe.

Sema tu nchi za Magharibi zinamlinda sababu maslahi yao DRC, maana zaidi ya asilimi sabini Cobalt inayotumika kwenye kutengeneza mabetri ya simu na magari inatokea DRC, bado kuna dhahabu, almasi,copper na madini mengine mengi.

Na kama hujui huu ugomvi Russia anataka kuununua na tayari kishatoa onyo kwa M23 na Rwanda waiache DRC na anafanya hivi kuwavurugia nchi za Magharibi hasa upande wa Cobalt,hata hao Mercenaries wapo kulinda maslahi ya nchi za Magharibi.
 
Kagame anajiamini anajua anachofanya. Kumwambia SA kuwa "ukitaka kupigana njoo...... " Anajua kuwa SA. hawana jeshi lenye nidhamu na pia hawaifahamu Congo na Misitu yake. Huwezi pigana na Kagame katika misitu ya Congo atakuchapa. Anaifahamu vizuri.

Labda sasa mpigane kwa kurushiana mabomu tu juu kwa juu. Lakini mimi nimefanya kazi na jesh la SA. wa hovyo sana wale jamaa hawana nidhamu kabisa. Watu wa starehe kinyama. Piga sana pombe na mademu. Halafu hawataki shida.

Tofauti na M23 na Kagame.hawa jamaa ni wabishi sana. Nimeona kazi zao hasa huko maporini. SADC na MONUSCO wanapata kipigo sometimes hawaelewi wafanye nini. Wanachoka. Hali ni mbaya kwao.

Ramaphosa ni mmoja ya Maraisi Bwege sana. Ni kama tutusa tu. Ndo maana Kagame hamwogopi. Na hana uungwaji mkono mkubwa huko SA. Basi tu wananchi wa SA ndo wale wale wanaumizwa na ukabila.

Soma pia:

Kagame hajasema ukweli wote Jeshi la South Africa na Tanzania pale ni kitu kimoja.
 
Kagame anajiamini anajua anachofanya. Kumwambia SA kuwa "ukitaka kupigana njoo...... " Anajua kuwa SA. hawana jeshi lenye nidhamu na pia hawaifahamu Congo na Misitu yake. Huwezi pigana na Kagame katika misitu ya Congo atakuchapa. Anaifahamu vizuri.

Labda sasa mpigane kwa kurushiana mabomu tu juu kwa juu. Lakini mimi nimefanya kazi na jesh la SA. wa hovyo sana wale jamaa hawana nidhamu kabisa. Watu wa starehe kinyama. Piga sana pombe na mademu. Halafu hawataki shida.

Tofauti na M23 na Kagame.hawa jamaa ni wabishi sana. Nimeona kazi zao hasa huko maporini. SADC na MONUSCO wanapata kipigo sometimes hawaelewi wafanye nini. Wanachoka. Hali ni mbaya kwao.

Ramaphosa ni mmoja ya Maraisi Bwege sana. Ni kama tutusa tu. Ndo maana Kagame hamwogopi. Na hana uungwaji mkono mkubwa huko SA. Basi tu wananchi wa SA ndo wale wale wanaumizwa na ukabila.

Soma pia:
Kwa akili yako watapambana misitu ya kongo rwanda atafunuliwa kigali!
 
Back
Top Bottom