Afrika Kusini wasijaribu kutaka kuzichapa na Rwanda. Watachakazwa vibaya sana

Afrika Kusini wasijaribu kutaka kuzichapa na Rwanda. Watachakazwa vibaya sana

Hizi jumuiya zilibidi ziwe hazicheki na nyani kama vile ECOWAS ilivyomtoa Yahya kule... Sema sasa wanaonea noma maana wote ni wale wale, huyu anawaza nikijitia kimbelembele kesho ntaiba uchaguzi na mimi waniandame, mwingine anawaza nitabadili katiba nibake madarakani waniandame basi wanaamua kupiga kimya.
Kitu kinachombeba Rwanda ni dunia kama iliwatelekeza kwenye mauaji yao. Kwa namna fulani kama amepewa room flani hivi!

Ukiwavamia moja kwa moja dunia itakuangalia vibaya! Na hiyo room Kagame ndiyo anaitumia.

Ni kama room anayoitumia Israel kwa majuaji ya kimbari aliyofanyiwa kwenye ww2. Sometimes wanatumia hiyo excuse kufanya mambo ya ajabu.
 
Navyokaona haka kajamaa kamti mkavu. Kanaweza zichukua hizi nchi zote hapa East Africa na hata Centre au nasema uongo? Unajua majeshi ya nchi ngapi yapo Congo? Yanachapika.

Wameshindwaje mfutilia mbali hawa jamaa? Inashangaza sana. Ilitakiwa hao M23 wawe wameshaisha na hawataki hata kujisikia wenyewe. Lakini wanatamba mpaka leo na Kagame hajifichi kuwa anashirikiana nao. Na bado wakimzingua anawazingua. Hamwogopi wowote, hacheki na wowote.

Wasiwasi wangu akiamua kuzitawala hizi nchi za EA. Si itakuwa balaaa? Tutawezana kweli?
 
Kagame ana watu huko SA. AMBAYO NI KAMA STATE ILIYO FAIL. NIMEKAA MIAKA 3 SA. naifahamu. Kagame alishaingia SA. AKAUA MTU ALIYETAKA NA AKAONDOKA BILA SHIDA. ANAIJUA SA. wewe hujui kitu. Nimefanya kazi mataifa makubwa 7 hapa Afrika na matatu madogo ikiwemo Rwanda. Naelewa. Kwa sasa nipo MAREKANI mwaka wa ...... Huu. Kagame nafahamu kwa nini anadindisha kwa Sa. Sasa wewe sema ni kahawa. Wala sikukatazi.
Lakn syo kweny issue za security kufanya kaz hzo nch haimaanish unajua usalama na sr yao kagame anamuonea tu DRC ebu amjarbu Mburund
 
Uingereza na washirika wanachokitafuta ni kuharibu usalama maeneo mengi Africa kadri iwezekanavyo na kuharibu uchumi wa nchi hizi ili kumzubaisha mchina, huku wakivuna rasilimali burebure.
Kagame yeye ni mbwa tu anaetumwa kuchokoza ili apatikane wa kuchoma utambi
 
Back
Top Bottom