Afrika Kusini wasijaribu kutaka kuzichapa na Rwanda. Watachakazwa vibaya sana

Afrika Kusini wasijaribu kutaka kuzichapa na Rwanda. Watachakazwa vibaya sana

Ongezea na mbinu nyingine kongwe ya vita ya msituni ni nguvu za giza. Unakuta wahuni mwilini wana vitambaa vyekundu mara vifundo vya dawa shingoni, mikononi na viunoni.
Haha tena kwa huko congo ndo kwenyewe .......wale waganga waliokua wanasikika huko kigoma wanawatengeneza majambazi ndo haohao wa huko msituni , wengi wanasaidia wapiganaji wa kule na pia kazi za kwenye migodi
 
Kitu kinachombeba Rwanda ni dunia kama iliwatelekeza kwenye mauaji yao. Kwa namna fulani kama amepewa room flani hivi!

Ukiwavamia moja kwa moja dunia itakuangalia vibaya! Na hiyo room Kagame ndiyo anaitumia.

Ni kama room anayoitumia Israel kwa majuaji ya kimbari aliyofanyiwa kwenye ww2. Sometimes wanatumia hiyo excuse kufanya mambo ya ajabu.
Hii ni sababu mojawapo pia West wamekaa pembeni kabisa na hii issue ya Rwanda vs DRC, West au UN wakitoa kelele kidogo tu anatumia genocide kama kichaka cha kuwazodoa na kujifichia.
 
Hivi mti mkavu mnayem-hype humu ndio huyu ambaye aliguswa kidogo na kikosi cha walinda amani wa JWTZ akalialia kwenye jumuiya za kimataifa mixer M23 kushusha waraka wa malalamiko ama kuna mwingine?

Kumbuka hakuna jeshi la nchi yoyote hapa linalopigana kwa niaba ya DRC isipokuwa majeshi yote yanayoenda hapo yanaenda kwa oparesheni maalumu ya kulinda amani siyo kuwapiganisha waasi
 
Kagame anajiamini anajua anachofanya. Kumwambia SA kuwa "ukitaka kupigana njoo...... " Anajua kuwa SA. hawana jeshi lenye nidhamu na pia hawaifahamu Congo na Misitu yake. Huwezi pigana na Kagame katika misitu ya Congo atakuchapa. Anaifahamu vizuri.

Labda sasa mpigane kwa kurushiana mabomu tu juu kwa juu. Lakini mimi nimefanya kazi na jesh la SA. wa hovyo sana wale jamaa hawana nidhamu kabisa. Watu wa starehe kinyama. Piga sana pombe na mademu. Halafu hawataki shida.

Tofauti na M23 na Kagame.hawa jamaa ni wabishi sana. Nimeona kazi zao hasa huko maporini. SADC na MONUSCO wanapata kipigo sometimes hawaelewi wafanye nini. Wanachoka. Hali ni mbaya kwao.

Ramaphosa ni mmoja ya Maraisi Bwege sana. Ni kama tutusa tu. Ndo maana Kagame hamwogopi. Na hana uungwaji mkono mkubwa huko SA. Basi tu wananchi wa SA ndo wale wale wanaumizwa na ukabila.

Soma pia:
Acha kuota
 

Attachments

  • 20250130_195827.jpg
    20250130_195827.jpg
    154.5 KB · Views: 2
Kagame anajiamini anajua anachofanya. Kumwambia SA kuwa "ukitaka kupigana njoo...... " Anajua kuwa SA. hawana jeshi lenye nidhamu na pia hawaifahamu Congo na Misitu yake. Huwezi pigana na Kagame katika misitu ya Congo atakuchapa. Anaifahamu vizuri.

Labda sasa mpigane kwa kurushiana mabomu tu juu kwa juu. Lakini mimi nimefanya kazi na jesh la SA. wa hovyo sana wale jamaa hawana nidhamu kabisa. Watu wa starehe kinyama. Piga sana pombe na mademu. Halafu hawataki shida.

Tofauti na M23 na Kagame.hawa jamaa ni wabishi sana. Nimeona kazi zao hasa huko maporini. SADC na MONUSCO wanapata kipigo sometimes hawaelewi wafanye nini. Wanachoka. Hali ni mbaya kwao.

Ramaphosa ni mmoja ya Maraisi Bwege sana. Ni kama tutusa tu. Ndo maana Kagame hamwogopi. Na hana uungwaji mkono mkubwa huko SA. Basi tu wananchi wa SA ndo wale wale wanaumizwa na ukabila.

Soma pia:
Nenda kanywe maji ukojoe na kulala mwanangu.
 
Navyokaona haka kajamaa kamti mkavu. Kanaweza zichukua hizi nchi zote hapa East Africa na hata Centre au nasema uongo? Unajua majeshi ya nchi ngapi yapo Congo? Yanachapika.

Wameshindwaje mfutilia mbali hawa jamaa? Inashangaza sana. Ilitakiwa hao M23 wawe wameshaisha na hawataki hata kujisikia wenyewe. Lakini wanatamba mpaka leo na Kagame hajifichi kuwa anashirikiana nao. Na bado wakimzingua anawazingua. Hamwogopi wowote, hacheki na wowote.

Wasiwasi wangu akiamua kuzitawala hizi nchi za EA. Si itakuwa balaaa? Tutawezana kweli?
Majeshi yako kule for peace keeping not war. Mnavyomkuza mnasahau ni juzi tu hao m23 walikimbizwa na jwtz kipindi cha mkwere. Na Rwanda hayuko peke yake Kuna Mseven pembeni
 
Back
Top Bottom