Afrika mashariki na afrika kwa ujumla Tanzania kuongoza kuwa na reli ya kisasa ya umeme.

1. Currently Tanzania consumes less electricity than Kenya.

2. Despite consuming less than Kenya, Tanzania still encounters way more blackouts than Kenya.

Any smart person can judge from the points above that Tanzania is far from having an electric train. Even for Kenya it was not possible though we have it in future plans. You guys need to stop listening to politicians. Hii mambo yenu ya tuta-, tunge- itabidi muachane nayo. Honestly there's almost zero chance that your stations will be anything close to our stations for the start. All I see is a huge disappointment amongst you folks considering how eager you are to beat Kenya who's dream is already actualized and though some people are not happy with the quality of our trains, everyone agrees that our stations are among the best in the world.
 
Mpuuzi ww
 
Kwikwikwikwikwi. Wazee wa takwimu mpo?
 
Raha yetu Tanzania tunajitekenyaga na kucheka wenyewe, kutokutoka nje kumefanya kila kitu tunasema Africa Mashariki na kati wakati tunachowazidi wenzetu sisi ni Lugha ya Kiswahili tu
Kwikwikwikwi. Wenzenu na nani?
Wewe umeenda kericho tokea mabwepande ndio unasema umetembea!!!? Kwikwikwi!!!
 
Halafu inaelekea Mwanza na siyo kigoma? Dar Mwanza kuna barabara ya Lami, Kigoma ambapo hakuna lami kutoka Dar imeachwa hoi, mpaka aje Raisi kutoka kigoma ndo itajengwa? Haya bwana...
Soma melezo vizuri acha uvivu. Hivi unaijua reli ya kati wewe?
Reli inaenda:-
Mwanza
Kigoma
Burundi
Rwanda

Uweunasoma sio kuropoka ropoka.
 
Hii ndo inaitwaga ,"alternative facts".

Treni ya umeme kwa hizi megawat zetu 900 is a dream.

Na kama main target ni kusafirisha mizigo,train ya umeme haitaweza kwani mara nyingi diesel train ndo hutumika kwa shughuli hizo,
bullet train ni kwa ajili ya abiria labda na vipacel tu,this is as far as i understant
 
Kwikwikwikwi. Wenzenu na nani?
Wewe umeenda kericho tokea mabwepande ndio unasema umetembea!!!? Kwikwikwi!!!
Alipojuja Kibaki kuaga Tanzania alituasa sana kwa sauti yake "Ninyi watanzania mpende pia kutoka muone wenzenu nchi jirani wanafanya nini sio kukaa pwani pwani tu " Ukimsikiliza Mbongo utasikitika anajua Dar ndio bora, Tanzania ndio kisiwa cha Amani, anajua ndio nchi Tajiri, akifika tu hapo Kericho anashindwa hata kusalimiana
 
Nilijua ni matamko kumbe ni kweli !!!

Haya kila la kheri watanzania ila wakaze vizuri mataluma maana biashara ya vyuma chakavu inakuja kasi sana
 
Wewe Mkenya hebu toa ifinyu wako wa mawazo hapa. Kibaki is who in our country?
Kibaki anaheshima kwenu sio kwetu. Kwikwikwikwi unadhani watanzania wanalevel za kwenu huko kenya?
Kwikwikwikwi!! unanifanya nicheke sana. Yaani nyie wakenya huwa mnanichekesha sana mnapoenda toilet kwikwikwikwi.

Tunarudi kwenye mada sasa Tanzania inajenga reli ya kisasa ya kutumia umeme.
 
Hujui Kinyerezi II na Kinyerezi III zinaisha sio muda mrefu!!? Unadhani wewe unaakili saaaaaana kuliko ma engineers walio plan? Au ndio ule ulimbukeni wa kujifanya unajua vitu kumbe ni hopeless!!?
 
kwani watu wamefyatu au vipi. did you guys suddenly lost your memory.... ati mtakua first in Africa? reaaly

treni ya ethiopia imeshajengwa, ni ya stima na inasonga kwa average ya 160km/h ya abiria.


treni za tz bado ziko kwa ndoto, anyway, pia hizo kama zitaekwa stima zitaenda kama za ethiopia at 160km/hr
treni za kenya zimeanza kuwasili, zinatumia diesel, zinasonga avg ya 120km/h ... hio tofauti ni ndogo sana ukilinganisha cost of electric consumption itakayi hitajika ukilinganisha diesel consuption....

Alafu isitoshe kenya badae inapanga kueka umeme, tukishaweka umeme, reli za kenya za abiria zitakua zibasonga kwa kasi ya 240km/hr ..... kwahivyo you can all piss off in advance!!!!
 
😛Zitakua zinasonga alafu nani anapakua?? 😛

Kiswahili cha kenya ni comedy tupu
 
Kwikwikwikwikwi. Yaani raha sana. Tunawachapa viboko vya matakoni taratibu. Mkiwa nayo ya 240km/hr sisi itakuwa ni Jet engine train.
 
Ndoto za alinacha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…