Afrika mashariki na afrika kwa ujumla Tanzania kuongoza kuwa na reli ya kisasa ya umeme.

Afrika mashariki na afrika kwa ujumla Tanzania kuongoza kuwa na reli ya kisasa ya umeme.

Stima huku inaitwa umeme.. ukiwa kwenye jukwaa la waTanzania andika Kiswahili cha waTanzania..

Kingine. Muweke umeme kwenye treni zenu au msiweke hiyo ni shauri yenu, gesi yetu inatosha kabisa kuzalisha umeme wa kuendesha hizo treni ndio maana tumeamua kuweka miundombinu ya umeme kabisa.. hao wanasiasa wenu wanajiandaa kuwapiga tena kwenye hiyo kandarasi ya treni za umeme.. kaeni macho.
Kabla mjenge miundo mbinu ya umeme, ndio mjenge reli, hiyo itakuwa 2030
 
Raha yetu Tanzania tunajitekenyaga na kucheka wenyewe, kutokutoka nje kumefanya kila kitu tunasema Africa Mashariki na kati wakati tunachowazidi wenzetu sisi ni Lugha ya Kiswahili tu

Napenda Kiswahili cha Tanzania sana, sijui mmejifunzia wapi???
 
Bro kwani hela tunachukua kwako??
Mkuu sio kwamba tunadiscourage ujenzi wa treni za umeme...

Tunataka tutumie fursa ya jf kushauri kuwa iwekwe miundombinu mizuri kabla ya project kuanza...

Otherwise umeme uwe ni sehemu ya mradi
 
Mkuu sio kwamba tunadiscourage ujenzi wa treni za umeme...

Tunataka tutumie fursa ya jf kushauri kuwa iwekwe miundombinu mizuri kabla ya project kuanza...

Otherwise umeme uwe ni sehemu ya mradi
Bro hujakosea.. ila sidhani kama serikali inaweza kuingia kwenye mradi mkubwa kama huo ikiwa inajua kabisa haina capacity.. hasa katika era hii ya mass information.

Ukiacha kuwa installments za Kinyerezi 3 inaendelea ambayo itaboost sana upatikanaji wa umeme, treni za diesel zimepitwa na wakati.

Ingawaje miundombinu ya treni za umeme initially huwa ni costful, ila maintanance yake haisumbui sana, na treni za umeme zina advantage ya speed, clean pamoja kupunguza gharama za kuagiza mafuta.

So kama ni kuishauri serikali basi iwe katika technical areas ila sio katika vitu ambavyo tayari imeshavijua.

Kumalizia, hii project ni ambitious, expensive but worth it.
 
Treni ya 240 km/hr kwa reli ipi?? Ile mliyopigwa mchana kweupe na wachina.. I doubt kama inaweza hata kusukuma 180.

kenyan SGR was designed to chinese class 1 standard with maximum design speeds of 250 km/h
meaning after electrification when kenya has enough power ,we will be able to buy new trains that run at 240 km/h maximum

pia elimu yenyu inafanya hamwezi kutafoutisha kati ya avarage speed na maximum speed ,mnafikiri train kenya imenunua ati maximum speed ni 120km/h

the devil is always in the details😛


https://JamiiForums.com.s3.amazonaws.com/2017/01/144587_3b6257d81b749367347e5e85d95c0473.png
https://JamiiForums.com.s3.amazonaws.com/2017/01/144588_23b8500ee5415f75c522eebe4f4e8dcf.png
https://JamiiForums.com.s3.amazonaws.com/2017/01/144589_8e763e2025bdd0112b2d5814bac4c0e8.png
wjy98irozmt1l588e37376883c.jpg
 
Hapa naona Morocco tunamuweka pembeni
kisha afuate Ethiopia
ndio waje sasa waleee Walio unguliwa na shoka mpini ukabaki hahaha

Morocco tunakushukuru kutulindia nafasi yetu
e831d1fbd441d70b0f3dfd3f2fb72374.jpg
How

Mna confuse Tram na Railways

Smh am all for this news but Ethiopias passenger Rail inakaa hivi

1486204670069.jpg



1486204714037.jpg



Kenya passenger Rail inakaa hivi
1486204734338.jpg
1486204742088.jpg
1486204749541.jpg
1486204842105.jpg


Muache kusambaza Rumours Kenyas Freight train ndio zina sura mbaya lakini passenger train Hazina
 
Hahahaa! Kenyans mna wivu...! [emoji23][emoji23]

We are kidding..! Mshakuja kutoa kejeli...

Stay tuned!
Tuna uwivu aje ur literally on a kenyan forum announcing Tanzanian News ...shows how much No kenyan cares about tanzania ndio maana mnakuja na viji habari vyenu hapa
 
FYI this is Gonna cost 1.1bn$ ....mtangoja hzo electric trains mpaka mpende
 
Stima huku inaitwa umeme.. ukiwa kwenye jukwaa la waTanzania andika Kiswahili cha waTanzania..

Kingine. Muweke umeme kwenye treni zenu au msiweke hiyo ni shauri yenu, gesi yetu inatosha kabisa kuzalisha umeme wa kuendesha hizo treni ndio maana tumeamua kuweka miundombinu ya umeme kabisa.. hao wanasiasa wenu wanajiandaa kuwapiga tena kwenye hiyo kandarasi ya treni za umeme.. kaeni macho.
Yet Kenya still produces more electricity than Tanzania
 
Raha yetu Tanzania tunajitekenyaga na kucheka wenyewe, kutokutoka nje kumefanya kila kitu tunasema Africa Mashariki na kati wakati tunachowazidi wenzetu sisi ni Lugha ya Kiswahili tu
This should be given a medal of honor True Tanzanian Hero!!
 
Yet Kenya still produces more electricity than Tanzania
Hiyo sisi haituhusu, kama mna produce umeme mwingi au kidogo thats up to you brother.

After all kama mna produce umeme mwingi mbona hamku-electrify reli yenu?

So bottom line, mradi wenu wa kwanza mlitapeliwa, wajanja wanaangalia jinsi ya kuwatapeli tena kwenye huo wa umeme.. kaeni macho majirani.
 
Kwikwikwikwikwi. Yaani raha sana. Tunawachapa viboko vya matakoni taratibu. Mkiwa nayo ya 240km/hr sisi itakuwa ni Jet engine train.
Nope Tanzanias Railway itakuwa completed earliest 2025

Kenya iko slated 42months from now

Electrifying the rail in Kenya will start in 2k19 at 49bn kshs

By 2020 tutakuwa na trains zingine ....mtaisoma Namba mpaka tufe 2070
 
Nope Tanzanias Railway itakuwa completed earliest 2025

Kenya iko slated 42months from now

Electrifying the rail in Kenya will start in 2k19 at 49bn kshs

By 2020 tutakuwa na trains zingine ....mtaisoma Namba mpaka tufe 2070
Yaani unanichekesha sana. Yaani kenya muwe na train ya speed 240km/hr kwa reli ipi hiyo!!? Mbona kona za reli hiyo kali sana?? Au hujasoma physics. Yaani mkiwa na hiyo train sisi TZ tutakuwa na train ya Jet engine.
 
Hiyo sisi haituhusu, kama mna produce umeme mwingi au kidogo thats up to you brother.

After all kama mna produce umeme mwingi mbona hamku-electrify reli yenu?

So bottom line, mradi wenu wa kwanza mlitapeliwa, wajanja wanaangalia jinsi ya kuwatapeli tena kwenye huo wa umeme.. kaeni macho majirani.
Still produces more electricity fool

Mturuki anawaundia reli ya 1.1bn$

Smh

Mtapata kweli hata stations ama ni reli pekee wanaunda ....mtakuwa mna mwagwa kando ya Barabara wakenya meanwhile tunaanda treni Nairobi hapa
1486206464446.jpg


Tuna pata pumziko hapa
1486206486707.jpg


Tuna Shukia Mombasa
1486206502416.jpg
 
Yaani unanichekesha sana. Yaani kenya muwe na train ya speed 240km/hr kwa reli ipi hiyo!!? Mbona kona za reli hiyo kali sana?? Au hujasoma physics. Yaani mkiwa na hiyo train sisi TZ tutakuwa na train ya Jet engine.
Kama Airline iliwashinda mtaweza Trains?? Smh

Tutangoja 2030 Kenya Railway itanunua majority stake Tanzania Rail juu mturuki atashindwa kuwa chungia
 
Back
Top Bottom