Afrika mashariki na afrika kwa ujumla Tanzania kuongoza kuwa na reli ya kisasa ya umeme.

Kama Airline iliwashinda mtaweza Trains?? Smh

Tutangoja 2030 Kenya Railway itanunua majority stake Tanzania Rail juu mturuki atashindwa kuwa chungia
Kwikwikwikwi. Baada ya kuiba ndege za EAC ndio mnajifanya wajuaji!!? Hivi unajua ilipokuwa EAC mlitapel ndege za shirika la ndege EAC!!? Kwikwikwikwi. Subiri viboko vikuingie vizuri.
 
You need to update yourself with other projects which are being undertaken, simultaneously the power problem will be history. Teething problems cannot delay other projects which JPM has given priority in order to stimulate the sleeping giant of Africa.

BTW Stop rumour mongering.
 
Naona hili swala la umeme (stima kwa majirani) limewashika wakenya pabaya. Treni za umeme zitakuja kabla ya Kenya, na zitatumia umeme unaozalisha maalum kwaajili ya hizo treni tu. Gasi, makaa ya mawe tunayo ya kututosha kwa zaidi ya miaka 100 au zaidi, kwasababu kila Mara tumavumbuwa gesi mpya na makaa mapya.
 
Hivi wajapan hiyo treni watakayozindua mwakani ya 500kmh ikoikoje
 
Kwikwikwikwikwi. Yaani raha sana. Tunawachapa viboko vya matakoni taratibu. Mkiwa nayo ya 240km/hr sisi itakuwa ni Jet engine train.
kwikwi mwenyewe, hapa hakuna watoto wadogo wanaoshindana kimaneno na kijenga nyumba za makaratasi.........
zenu mmeshaambiwa mkieka umeme zinaenda na speed ya 160km/hr hata haziko mbali na zetu za diesel.....
sisis phase one ikishakamilika tunaanza mipango ya kueka umeme sasa vile tutakua na umeme wa kutosha na speed yetu itakua 240km/hr ...... baada ya stima yenu ya 160km/hr hakuna mahali kwengine mtaendeleza...mtabaki hapo hapo mpaka mwaka 2100
 
Hivi treni ya umeme na umeme huu wa magumashi itawezekana kweli?
Hali ya umeme imearika sana siku za karibuni, sio kama kipindi cha JK, though still kuna mapungufu kwenye usambazaji kwa kuwa miundombinu ilikuwa imechoka. Awamu ya nne ilijitahidi sana kurekebisha na kuiboresha miundombinu na awamu hii uzalishaji umeimarika sana.

Kwa kawaida miezi hii yenye jua kali enzi zile umeme ulikuwa ni majanga.
 
Yaani unapenda kunichekesha sana. Zenu za sasa ni mwendo wa kinyonga 90KM/hr - 100KM/hr
Speed hiyo ya 240km/hr kwa reli hiyo yenye kona za 90 degree.Yaani unanichekesha sana. Nakwambia hivi sikiliza kwa makini mkiwa na hiyo ya 240km/hr sisi tutakuwa na train ya jet engine.
 

ethiopia eastern africa-kama kweli mtaijenga hiyo reli na sio story za gongo nyie sio wa kwanza wala mwisho!!!





Night Views












 
ethiopia eastern africa-kama kweli mtaijenga hiyo reli na sio story za gongo nyie sio wa kwanza wala mwisho!!!





Night Views












Mbona unaweweseka sana? Kila kona mnapigwa.
Na baada ya muda uganda watagoma kupitia kwenu huko. Tanzania Oyeeee!! Kenya Hoiiiii!!!
 
"kuwa chungia" uliambiwa ni ng'ombe porini au mbuzi?? πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜›
Kama Airline iliwashinda mtaweza Trains?? Smh

Tutangoja 2030 Kenya Railway itanunua majority stake Tanzania Rail juu mturuki atashindwa kuwa chungia
 
Brazil, Tanzania in power planning talks
By Michael Place - Friday, February 3, 2017
Government officials from Tanzania and Brazil have met to discuss power sector planning and regulations. A Tanzanian delegation visited Brazil's mining and ...

Subscriber-Only Content
BNamericas develops thousands of news articles, analyses and features every month, always concentrating on how to make or save money in Latin American business.

  • Unique Content
    Up-to-the-minute and field-proven industry news in English and Spanish
  • Insight
    Constantly looking ahead to help the client better understand the future of the market
  • Efficient Products
    Receive emails and alerts; follow companies and projects that matter to you
  • Ask Us
    Access our on-the-ground expert team
Email address
Already a subscriber? Please, login

This news article is one of hundreds published daily by Business News Americas about the commodities, markets, movements, companies, projects, economics and politics integral to the development of Latin America. Including news and insight from South America, Central America and the Caribbean, BNamericas includes insight and forecasts for business opportunities in Mexico. The business development service focuses on major projects, active companies, such as and business and sales contacts, providing networking opportunities with leading executives throughout Latin America.

https://www.bnamericas.com/en/news/electricpower/brazil-tanzania-in-power-planning-talks/
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…