Afrika mashariki na afrika kwa ujumla Tanzania kuongoza kuwa na reli ya kisasa ya umeme.

ndo maana tumewatosa AU! thanks to Museveni's advice
 
Hapa bavicha hutawasikia.....wanasubiria mradi ukwame waje na pumba
Mimi ni Pro-Bavicha 100% ila nnajivunia utekelezaji wa miradi kama hii ya kimaendeleo,kwa maana kwa miaka mingi hichi ndicho kilichowafanya ccm watuchukie! Sisi ni watu wa kudai yale ambayo ni haki ya watanzania wote na ambayo tuna imani kuwa yapo ndani ya uwezo wa serikali,kwa mradi huu hata ungeniambia nipunguze bajeti ya mlo wa familia yangu ili kuchangia mradi huu NIPO TAYARI!! Wala hutauona UBAVICHA wangu hapo! Hata kama ningeambiwa kuwa nitakufa kesho bado nina hamasa ya kuona mradi huu unafanikiwa,ili watoto na wajukuu wangu waje kujua ni nini baba na babu yao alikuwa akipigania enzi zake alipodharaulika kwa UBAVICHA wake!! Kwa maana nchi isipokuwa Nna maendeleo hata watoto na wajukuu zetu watatudharau kwa kushindwa kuibana serikali ya ccm na kupelekea maccm kujinufaisha huku yakiiacha nchi ikiwa hoi taabani!! Hivyo kama kuna mahali Bavicha wanahitajika kujitoa kwa hali na mali ni kwenye miradi ya aina hii!! MIMI NIPO TAYARI!
 
Wote tunafurahi nchi yetu ikisonga mbele ila dizaini yako ya kuchekacheka na kuandikaandika kama chizi inaboa!! Ficha upumbavu wako!
Ukiona nimekuboa ujue ujumbe umekupata.
 
Nimejaribu kuvuta picha baada ya hiyo reli nakaona fahari kwa Tanzania yangu lakin nikajiuliza tena huo umeme wa uhakika kiasi hicho tunao?
 
Yaani unanichekesha sana. Yaani kenya muwe na train ya speed 240km/hr kwa reli ipi hiyo!!? Mbona kona za reli hiyo kali sana?? Au hujasoma physics. Yaani mkiwa na hiyo train sisi TZ tutakuwa na train ya Jet engine.
Train ya jet engine? Are you even listening to yourself? A jet engine train was tried in France over 100 years ago and it failed. These days people talk of MAGLEV technology which you obviously are not cognizant with.
 
Morocco.And they bought second hand trains ,sioni nini tanzania wanasema ,read reports and see ethiopia is the first ...tayari wana electric railway kutoka djibouti soo the fact that tanzania hata construction ya reli bado haija commence ...ni manaongoza ...tayari morocco wana trains ..nyinyi hata reli na stima yenyewe hamna
 
Wewe uko nyuma sana mambo ya ulimwengu kaa kimya. South Africa ina standard Gauge siku nyingi sana.
Kenya imepata juzi Ethiopia siku nyingi
 
Kabla ya kuropoka chunguza kwanza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…